Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Huu ni ushenziMkuu, hapa nimefanya kuzoom inn hizi picha....[emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 1612530View attachment 1612531
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni ushenziMkuu, hapa nimefanya kuzoom inn hizi picha....[emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 1612530View attachment 1612531
Wa dalali NgoshaKwan huo mguu katika pedo huko chini Ni wa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nani?????
Mkuu kuna mteja anayo 2.2m nikikuletea unaniachia bei gan hapo Januari hii ?wakuu 2mil haitowezekana.
ongezen 5 tufanye biashara
Hebu bofya 0744033555 kisha piga tuongeeMkuu kuna mteja anayo 2.2m nikikuletea unaniachia bei gan hapo Januari hii ?
[emoji23][emoji23][emoji23]Dahhhh....[emoji39][emoji39]
Na kwenye wallet nimeona tango..[emoji849][emoji849]
Kukosa hela ni jambo baya sana wallah...[emoji17][emoji17]View attachment 1612457
Acha dharau kwenye biashara za watu sio poa kabisaSiyo ya wizi mkuu? Bei ndogo mno
Passo cheap kuliko SANLG or FEKON.Toyota passo inauzwa kwa bei poa
Engine cc 990
Year made 2004
Rangi: Grey
iko full AC yani hamna tabu
Bei: milioni 2 na laki 6 tu.
Gari iko kimara
nicheki 0683011003 tumalize biashara
Mama la mama hataki stress za wanaume kajiongeza na tango lakeDahhhh....[emoji39][emoji39]
Na kwenye wallet nimeona tango..[emoji849][emoji849]
Kukosa hela ni jambo baya sana wallah...[emoji17][emoji17]View attachment 1612457
Hivi lina kazi gani hilo tango?Dahhhh....[emoji39][emoji39]
Na kwenye wallet nimeona tango..[emoji849][emoji849]
Kukosa hela ni jambo baya sana wallah...[emoji17][emoji17]View attachment 1612457
Jikune huo upele mkuuAcha dharau kwenye biashara za watu sio poa kabisa
Asante lakini bado kumbuka uchofanya sio busaraJikune huo upele mkuu
Mkuu kuna matapeli kibao JF.
Natambua hilo lakini si vema kufanya generalization ..kumbu wengi si woteMkuu kuna matapeli kibao JF.
Sio kweli kabisa passo haiwezi kuwa cheap kuliko San LG. Niambie wapi utaweza kupata Sanlg used kwa 2.5million [emoji23][emoji23][emoji23]Passo cheap kuliko SANLG or FEKON.