Dahhhh....[emoji39][emoji39]
Na kwenye wallet nimeona tango..[emoji849][emoji849]
Kukosa hela ni jambo baya sana wallah...[emoji17][emoji17]View attachment 1612457
lengo hasa lilikuwa ni hilo Tango, kuwa wanaume lazima tuitwe vibamia, km mtu anatumia Tango
hiyo picha tofauti kabisa na gari inayouzwa, (kwa karibu linganisha makochi ya kwenye Passo, inayouzwa ni meusi hayo yenye Tango kijivu na ni issue ya zamani