Toyota Prado, 'The Most Dangerous Vehicle' Seen

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,636
Reaction score
2,728
Hivi kwa nini haya Ma Prado yanaongoza kuchomoka tairi la mbele?

Nimeshakutana na jamaa kama wanne hivi katika nyakati tofauti tofauti wakiwa wamechomokewa na tairi za mbele. Nikawaza kama wangepatwa na maswahibu hayo katika speed kubwa, si ingekuwa ni balaaa?

Jamani mnaomiliki haya magari kwa usalama wenu, hakikisheni mmebadilisha vikorokoro vinavyoshikilia matairi ya mbele ili kukwepa balaa hili!
 
Mimi mpaka sasa nimeshazikuta njiani zaidi ya 15 tatizo likiwa hilohilo. Inasemekana Toyota Prado zilikosewa muundo wa tyre za mbele(front axle), lakini hata walipogundua, Toyota hawakuzirudisha kama wafanyavyo kwa nyingine zinapogundulika tatizo. Cha kushukuru Mungu, siku zote huwa zinachomokea kwenye rough road na barabara zenye pot holes ambamo mara nyingi madereva huwa mwendo mdogo.
 
Duu kumbe ila tairi kuchomoka ni uzembe wa hali ya juu...
 
Prado ni gari hatari sana... nimepoteza marafiki na mimi mwaka jana karibia iniue, tatizo ni instability hasa matairi ya mbele

huwa nashauri marafiki zangu wenye pesa kuwa ni bora ununue gari yenye higer running cost kuliko cheap running cost with your life on the line
 
Majuzi tu Jamaa yangu alipata ajali Mbaya sana moshi akitokea Dar, chanzo cha ajali kikiwa ni tatizo hili Hili. Bahati walikuwa wameingia rough road ingawa spidi ilikuwa bado kubwa Kidogo - 80 KPH.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Majuzi tu Jamaa yangu alipata ajali Mbaya sana moshi akitokea Dar, chanzo cha ajali kikiwa ni tatizo hili Hili. Bahati walikuwa wameingia rough road ingawa spidi ilikuwa bado kubwa Kidogo - 80 KPH.


Sent from my iPhone using JamiiForums
ina shida ya stability

i am a person who drive long distance, ila nikiendesha prado nachoka sana kwasababu ni gari inayohitaji full attention, jiwe dogo linaweza kuitoa barabarani, breki kali inakutupa, kona ndogo inaweza kukutupa

gari inachupa
 
Kuna model nyingi za Prado kwa sasa hivi, hebu tujuzeni ni model zote au za kuanzia miaka fulani kurudi nyuma? This is my dream car in the line, hasa model ya kuanzia 2005 kuja mbele.
Cc:Janjaweed
Mchambuzi
 
Hahahahaaaaa Waziri wa Fedha alisema eti yamechakaaa Ndio maana yanapata ajali. Mimi Naka Duet kangu natembea 130 kwenye corner, napishana na mabasi nikiwa 140 bila kuhisi hata mtikisiko. Nyie endeleeni na hayo maPadro yenu.

mwendo mdundo ....
 
Mkuu Kingmairo kauliza swaIi Ni Prado zote au mnazungumzia model gani wakuu?
 
Last edited by a moderator:
Mimi haijatupa mtu na Imetembea Iringa Dar at 150km
Dodoma Dar at 150.
Haijafanyiwa service iko Dar inaendelea poa TRJ120 Prado 2005
 
ina shida ya stability

i am a person who drive long distance, ila nikiendesha prado nachoka sana kwasababu ni gari inayohitaji full attention, jiwe dogo linaweza kuitoa barabarani, breki kali inakutupa, kona ndogo inaweza kukutupa

gari inachupa

ni kweli mkuu hili gari lilipinduka nusu liue familia! Kwenye rasta za barabarani ni gari hatarishi saaana...yaani kiukweli sio gari la kujiamini muda wowote litakufnyia chochote halina ballance"
 
Nilichogundua ni kwamba magari yanayotumia sport rimu zina tabia ya kujifungua taratibu,hivyo ni muhimu kujaribu kukaza matairi yako mara kwa mara
sina uzoefu na prado hivyo sijui kama matairi yanachomoka kwa kujifungua tairi au ni ekseli nzima inachomoka.
Naomba ufafanuzi zaidi ili tuchukue tahadhari kikamilifu.
 
Hahahahaaaaa Waziri wa Fedha alisema eti yamechakaaa Ndio maana yanapata ajali. Mimi Naka Duet kangu natembea 130 kwenye corner, napishana na mabasi nikiwa 140 bila kuhisi hata mtikisiko. Nyie endeleeni na hayo maPadro yenu.

Nyinyi ndio mnasababisha ajali watu wanapoteza maisha yao halafu mnajisifu. Tanzania maximum speed ni 100Kph.

Kama una nia ya kujiua usitafutie balaa na wengine, kuna njia nyingi za kujipotezea maisha bila kupotezea maisha na wengine nazo zipo nje ya barabarani.

Huo ni ujinga na si sifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…