nishapata ajari na prado old model, hizi gari zinahitaji umakini sana hasa ukiwa speed, maana ukiilaza upande mmoja, ukaamishia upande wa pili, unaweza jikuta umehama njia, instability ni ndogo sana. Though prado za kuanzia 2007 barabarani zipo stable compared na zile za zamani.
Bahati mbaya sifanyi kitu ili nisifiwe, siko kwajili ya kumridhisha au kumsifia mtu hasa nikijua kuwa kuna vichaa kama nyie......hata hivyo sioni kama kulikua na sababu ya wewe ku-comment kwenye huo "utumbo". kitu cha kushangaza kinachonipa mashaka na akili yako na uwezo wako wa kufikiri ni kuona jinsi unavyofanya hitimisho kuwa mimi ni punguani na kwamba hakuna namna ambayo ninaweza kubadilika, Kweli? unakaa kwenye Key board unahitimisha hivyo? Hahahahaaa haya tuendelee Mimi Punguani na Wewe mwenye akili......
Unalaza ukiwa unataka kufanya nini mkuu???!!!!
hahahahahahaha....anakwepa mbuzi au mashimo!
Kama kuna vitu huwa namuona mtu jiniaz, ni akiongelea mambo ya mfumo wa gari. SIjui eksozi, sterling pound, kabyuleta na otoneta.
I know nothing, yaani ni Mungu saidia tu. Kasheshe ni kupeleka gereji, unaulizwa unafanya service ya nini na nini, najibu ya gari zima.
Last May I saw one along Makongo Juu road having the same problem. I did confirm what I have been hearing around for quite some time.
Model gani?Leo nimeyaona mawili moja barabara ya stendi ya shamba na jingine karibu na sekondari ya neluka na tatizo hilohilo.
Limesha jibiwa model kuanzia 2005 kushuka chini....
Huenda asirudi kutueleza. Dunia ina mengi. Kuendesha prado at 150 KPH ni kutafuta matatizoYakikuta uje utuelezee
Prado zipo za aina kadhaa. Unatoa tahadhari kwa Prado aina gani? Au ili mradi ni Prado ni hatari?Hivi kwa nini haya Ma Prado yanaongoza kuchomoka tairi la mbele? Nimeshakutana na jamaa kama wanne hivi katika nyakati tofauti tofauti wakiwa wamechomokewa na tairi za mbele. Nikawaza kama wangepatwa na maswahibu hayo katika speed kubwa, si ingekuwa ni balaaa?
Jamani mnaomiliki haya magari kwa usalama wenu, hakikisheni mmebadilisha vikorokoro vinavyoshikilia matairi ya mbele ili kukwepa balaa hili!
Prado fj120 au hizo Trj120 ishort 120 series nadhani watakuwa walirekebisha hio kasoro. Nimeride kwenye mbili tofauti so far comfortability ndani cabin sio kitoto. Hasa ikiwa full a/c vioo juu husikii ukelele wowote yani zaidi ya kubembelezwa tu na suspension za kunesanesa.2005 ziko bomba....stable and comfy ride....
Wewe kanyaga tu mpaka mwisho, ikomoe tu gari. Walioweka hivyo vibao ni "wajinga", au sio?Hicho ni kikomo cha kasi ya ushauri sio sheria
100km/h ni kasi ya juu ya ushauri kwa magari na mwanga mwingine
magari nje ya maeneo yaliyojengwa.