Kuna siku moja ilinitokea kwenye kubadili tairi, fundi alikuta tairi moja nati hazijakaza kabisa nikabaki kuduwaa.Nilichogundua ni kwamba magari yanayotumia sport rimu zina tabia ya kujifungua taratibu,hivyo ni muhimu kujaribu kukaza matairi yako mara kwa mara
sina uzoefu na prado hivyo sijui kama matairi yanachomoka kwa kujifungua tairi au ni ekseli nzima inachomoka.
Naomba ufafanuzi zaidi ili tuchukue tahadhari kikamilifu.
Vipi kuhusu Nissan x trail 2010Kuna siku moja ilinitokea kwenye kubadili tairi, fundi alikuta tairi moja nati hazijakaza kabisa nikabaki kuduwaa.
Inategemea ni Prado toleo lipi!Prado ndo maana yameshuka Bei kinoma
2008 kushuka chiniInategemea ni Prado toleo lipi!
Kama ni haya ya 2015 kuja juu haya haykamatiki
mkuu samahani nina shida na wewe private messageNilikuwa nalo likanichomokea tairi mara mbili ila sikupata madhara namshukuru Mungu. Niliuzilia mbali wasukuma wanahangaika nalo Mwanza huko. Nissan expensive to maintain but iko mwake. L/C vx nazo nzuri sana. Toyota sijui kuna hujuma au ni kukosea tuu.
Gari salama ya Mjapan ni NissanHivi kwa nini haya Ma Prado yanaongoza kuchomoka tairi la mbele?
Nimeshakutana na jamaa kama wanne hivi katika nyakati tofauti tofauti wakiwa wamechomokewa na tairi za mbele. Nikawaza kama wangepatwa na maswahibu hayo katika speed kubwa, si ingekuwa ni balaaa?
Jamani mnaomiliki haya magari kwa usalama wenu, hakikisheni mmebadilisha vikorokoro vinavyoshikilia matairi ya mbele ili kukwepa balaa hili!
Duuh hivi huwa mnajibuje comment bila kuangalia ni ya mwaka gani na aliyecomment last activity yake ni lini, yani unajibu comment ya 2014 (miaka tisa nyuma) na mwenye hiyo comment mwenyewe last activity yake ni 2018 (miaka mitano nyuma), au mwenzetu umerudi back in timeKuna siku moja ilinitokea kwenye kubadili tairi, fundi alikuta tairi moja nati hazijakaza kabisa nikabaki kuduwaa.
😀 😀 mbele kwa mbeleDuuh hivi huwa mnajibuje comment bila kuangalia ni ya mwaka gani na aliyecomment last activity yake ni lini, yani unajibu comment ya 2014 (miaka tisa nyuma) na mwenye hiyo comment mwenyewe last activity yake ni 2018 (miaka mitano nyuma), au mwenzetu umerudi back in time
Sijakuelewa yaani, comment yangu inahusiana nini na mwaka wa aliyecomment last activity?Duuh hivi huwa mnajibuje comment bila kuangalia ni ya mwaka gani na aliyecomment last activity yake ni lini, yani unajibu comment ya 2014 (miaka tisa nyuma) na mwenye hiyo comment mwenyewe last activity yake ni 2018 (miaka mitano nyuma), au mwenzetu umerudi back in time
Hivi lengo la kumquote mtu humu jf ni niniSijakuelewa yaani, comment yangu inahusiana nini na mwaka wa aliyecomment last activity?
Hivi kwa nini haya Ma Prado yanaongoza kuchomoka tairi la mbele?
Nimeshakutana na jamaa kama wanne hivi katika nyakati tofauti tofauti wakiwa wamechomokewa na tairi za mbele. Nikawaza kama wangepatwa na maswahibu hayo katika speed kubwa, si ingekuwa ni balaaa?
Jamani mnaomiliki haya magari kwa usalama wenu, hakikisheni mmebadilisha vikorokoro vinavyoshikilia matairi ya mbele ili kukwepa balaa hili!
Haya mwingine huyuHawafanyi service na kuwa makini
2008 kushuka chini