Najua mkuu ila jamaa hajatofautisha,maana hata ist zipo zenye 1.8L japo chache.Mzee hio premio lazma itakuwa ile yenye 1.8L code 1ZZ-FE iko powerful sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua mkuu ila jamaa hajatofautisha,maana hata ist zipo zenye 1.8L japo chache.Mzee hio premio lazma itakuwa ile yenye 1.8L code 1ZZ-FE iko powerful sana.
Mkuu kwa hiyo na V8 nayo itaachwa kisa body inakinzana na upepo?point unayo lakini ungehusisha gari zilizo kundi moja kwenye engine specs lakini body zikiwa tofauti.Xtrail inachots upepo ila premio inateleza kwenye upepo lazima ikimbie skwa urauisi zaidi
Hahahah Prado imesalimu amri kwa subaru.Unakimbia kwa ajili gani?Mambo ya ligi za barabarani?Utasikia sijui "leo nimetumia Subaru yangu kuikimbiza prado hadi imesalim amri!"Huu kama siyo utoto ni nini?
Kibongo bongo ukiondoa vibao vya hamsini hamna speed limit nyingine.Hoja sahihi siyo kusema kila mtu abaki na chake.Hoja sahihi ni kila mtu abaki na kilicho sahihi.Kwani kwa mfano kama Juma kilicho chake barabarani ni kuona fahari kugonga wenzake kwa gari lake tunaweza kusema kuwa abaki na chake?
Hatuwezi kusema kuwa abaki na chake kwa sababu tabia yake hiyo inaumiza wengine. Pia hii tabia ya kitoto ya mtu kusema na kujinadi kuwa "leo nimetumia Subaru yangu kuikimbiza Prado hadi imesalim amri!",pia hatuwezi kusema mtu kama huyu abaki nayo kwa sababu ni tabia ambayo inaweza kusababisha ajali na kuumiza wengine.
Ulitembea vizuri masaa takribani 6, nishachomoka saa 11 alfajiri dar, watu wanakimu swala nipo pale magomeni mapipa, saa 4 nipo dodoma.Juzi-kati nimetoka DAR saa 7 usiku na nimeingia Dodoma saa 1 asubuh na Toyota rumion nakumbuka kipande cha kutoka Dodoma kuitafuta singida nimewapa adabu na adhabu madereva wa IST,raum,wish,rush na spacio.
Aisee kama Kwenye suala la balance basi rumion iko vizuri Sana hii ndinga ni balaa nilikuwa naenda Hadi speed 170 km/h na gari iko stable.
Nissan X trail nimefukuzana nayo kipande cha shelui kuitafuta nzega hii gari ni ya kawaida Sana njiani mara nyingi jamaa alikuwa ananipita Kwenye vibao vya 50
Kwa usiku aisee ni hatari sana kuendesha gari hasa kipande cha kutoka DAR -morogoro,hata sehemu ambazo tunatembea speed kubwa ni vichache sanaUlitembea vizuri masaa takribani 6, nishachomoka saa 11 alfajiri dar, watu wanakimu swala nipo pale magomeni mapipa, saa 4 nipo dodoma.
Nilikuwa nina nissan xtrail sikumbuki nani alinipita njiani wakati naenda.
Huwa tunajitoa akili, kuna haraka, na gari zinatunogea, ila mwendo mkali sio kitu kizuri.
Dah....kifizikia....kimsingi....Kasi ya gari hutegemea mambo makuu matatu.....Haya mambo ya sijui gari fulani inakimbia sana ni utoto wa chekechea na darasa la kwanza!Nilipokuwa chekechea ndiyo umri pekee ambao nilikuwa nashobokea gari kukimbia sana.
Ukimuona mtu mzima anashobokea magari kukimbia jua huyo ni punguani.Mtu mzima unapaswa uzungumzia mambo ya features za usalama,comfortability,durability ya gari, fuel economy, upatikanaji wa mafundi wa kisasa na kadhalika.
Najua mkuu ila jamaa hajatofautisha,maana hata ist zipo zenye 1.8L japo chache.
Hujui unachobishia jutia ujinga wako IST inaanzia cc1298- 1797Acha uongo.
Mtu hajui chochote yeye ni kubisha tu!Acha ubishi.....View attachment 2187449View attachment 2187450
Kuna watu wabishi sana kweny hili jukwaa, halafu hawana uelewa wa kutosha..Mtu hajui chochote yeye ni kubisha tu!
Ukibonyeza button ya overdrive gari inachanganya vzuri sanaUlitembea vizuri masaa takribani 6, nishachomoka saa 11 alfajiri dar, watu wanakimu swala nipo pale magomeni mapipa, saa 4 nipo dodoma.
Nilikuwa nina nissan xtrail sikumbuki nani alinipita njiani wakati naenda.
Huwa tunajitoa akili, kuna haraka, na gari zinatunogea, ila mwendo mkali sio kitu kizuri.
Hujui unachobishia jutia ujinga wako IST inaanzia cc1298- 1797
New model ama old?Mkuu namiliki Premio mda sana, mashine wazimu
Angalieni speedometer. Yenye speed kubwa ndo inayokimbia.Jamaa yangu huyu alikuwa na Nissain Xtrail ile new model. Akanunua na Toyota Premio kwa ajili ya Mkewe. Anasema kwa Uzoefu wake baada ga kuzitumia zote kwa safari ndefu amegundua Toyotw Premio (model ya kati ) inakimbia zaidi kuliko Nissan Xtrail.
Nlijiuliza IS IT POSSIBLE? on what basis? Akasisitiza Premio imetulia zaidi pia kuliko Xtrail ukiwa mwendo mkali barabarani.
Je, kama ni kweli nini kinaweza kuwa sababu?
Easy...gari za mbio zote huwa zipo chini...kadri body inavyokua kubwa drag force nayenyewe inakua kubwa zaidiJamaa yangu huyu alikuwa na Nissain Xtrail ile new model. Akanunua na Toyota Premio kwa ajili ya Mkewe. Anasema kwa Uzoefu wake baada ga kuzitumia zote kwa safari ndefu amegundua Toyotw Premio (model ya kati ) inakimbia zaidi kuliko Nissan Xtrail.
Nlijiuliza IS IT POSSIBLE? on what basis? Akasisitiza Premio imetulia zaidi pia kuliko Xtrail ukiwa mwendo mkali barabarani.
Je, kama ni kweli nini kinaweza kuwa sababu?
Hakuna uhusiano wa speed kwa shotii na tolu 🚮Ni kweli, mfano wake ni mtu mrefu mkimbiaji ngongoti na mtu wan size ya Kati mkimbiaj wakianza kukimbia yule ngongoti atashindwa na yule wa kati.[emoji16][emoji16]