Toyota Probox hii ina shida gani?

Toyota Probox hii ina shida gani?

Ulichojibu unaonyesha wazi wewe hujui gari, gari zote hizi zinazokuja Afrika 90% zimetengenezwa miaka mpaka 25 nyuma na ni mpya Kwa hapa Afrika, zina nguvu na hazina shida huku kwetu na unaweza dunda nayo miaka 15 ikikutazama tu, hapo Kuna shida tu ya kiufundi basi na siyo hizo blaa blaa zingine
Hatarudia Tena, Gari Tunazonunua Ulichosema Ndiyo Ukweli
Gari Mpya Kabisa Kilometres 0 Kununua Ni Serikali, Kampuni Ndiyo Wanaoweza

 
Gari ya Mwaka 2012 huu ni Mwaka 2022 na imeshatembea Km 145k alafu unashangaa hayo matatizo na service zenyewe hizi za mafundi wetu hawa wa ramli[emoji1787][emoji1787]??
Mkuu nadilisha gari hilo kabla halijakutia hasara. Huu ndio ushauri wangu.
Gari la mwaka 2012 mbona ni jipya ndugu?? Magari mengi tunayotumia wabongo ni ya mwaka 1999 hadi 2007 hapo. Hiki chuma ni kipya.
 
Wapi nimeandika hiyo hari siyo mpya? Umeelewa nilichoandika au unakurupuka kutoa Comments?
Si umesema umejitoa kwenye huu uzi wewe? Eti una mambo mengi ya msingi kufanya.

Sasa mbona bado unapitisha kichupi chako mbele za wanaume!!
 
Back
Top Bottom