Toyota Rumion 2008 vs 2010; nichukue ipi wakuu?

Toyota Rumion 2008 vs 2010; nichukue ipi wakuu?

Ngariba1

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2017
Posts
1,829
Reaction score
3,807
Habari ya wakati huu wakuu.

Mwenzenu nimeamua kuchukua Rumion ila sasa nimekuta kuna toleo la 2007-2008 na toleo la 2010-2015.

Haya matoleo mawili nimeona yana tofauti ndogo za muonekano; show ya mbele, ndani kwenye dashboard hasa sehemu ya AC na ndani kwa nyuma. Sijui kuhusu uimara, perfomance na changamoto zake kulingana na matoleo hayo mawili.

Naombeni mnishauri nichukue ipi kwa kuzingatia uzoefu wenu.
IMG-20211231-WA0035.jpg

2010
IMG-20211231-WA0012.jpg

2008

UPDATE 17 April 2022

Niliamua kuchukua la 2008 kwa sababu ya bajeti. 2010 ushuru wake ulikuwa juu.

Gari zuri halina shida. Utulivu barabarani, space kubwa ya kutosha na lina mziki mkubwa sana, hakuna haja ya kuongeza speaker za ziada.

Changamoto yake kuu ilikuwa kugusa chini. Hata tofali la block likilazwa huvuki. Ni kama ilivyo kwa crown, Wish, Alphad, IST, Vitz n.k.

Nimeshaitatua hiyo changamoto kwa kuliinua. Nimeweka spensa (nimeandika kama inavyotamkwa) kwa Tsh. 60,000 (vifaa na ufundi). Hakuna kilichobadilika kimuonekano na utendaji na haligusi tena.

Asanteni nyote mliochangia mawazo.
 
H
Habari ya wakati huu wakuu.

Mwenzenu nimeamua kuchukua Rumion ila sasa nimekuta kuna toleo la 2007-2008 na toleo la 2010-2015.

Haya matoleo mawili nimeona yana tofauti ndogo za muonekano; show ya mbele, ndani kwenye dashboard hasa sehemu ya AC na ndani kwa nyuma. Sijui kuhusu uimara, perfomance na changamoto zake kulingana na matoleo hayo mawili.

Naombeni mnishauri nichukue ipi kwa kuzingatia uzoefu wenu.
View attachment 2071197
2010View attachment 2071198
2008
Hizi Gari Bumper zake zipo chini sana utafikiri ni feeders, Nikushauri kama wewe sio bitoz, tafuta gari nyingine ambayo haina bumper hizo kama Toyota Allex au Runnx.

Nakuhakikishia hiyo gari ukichukua, itachakaa ndani ya mwaka mmoja sababu ya mabarabara yetu kwa kuchubua bumber lako hilo la mbele au kuling'oa kabisa.
 
H

Hizi Gari Bumper zake zipo chini sana utafikiri ni feeders, Nikushauri kama wewe sio bitoz, tafuta gari nyingine ambayo haina bumper hizo kama Toyota Allex au Runnx.

Nakuhakikishia hiyo gari ukichukua, itachakaa ndani ya mwaka mmoja sababu ya mabarabara yetu kwa kuchubua bumber lako hilo la mbele au kuling'oa kabisa.
Asante kwa ushauri mkuu.

Vipi ushauri kuhusu matoleo hayo mawili?
 
Tafuta rumion 2010 yenye "valve matic" hii imeboreshwa kwenye performance ya engine inachanganya mapema Sana kutokana na huo mfumo wake WA valve
Asante mkuu. Nimesoma mahali kuwa unayo hii gari, vipi suala la bampa la mbele ni kweli linasumbua kugusa chini? kama ndio, Umelitatuaje?
 
Asante mkuu. Nimesoma mahali kuwa unayo hii gari, vipi suala la bampa la mbele ni kweli linasumbua kugusa chini? kama ndio, Umelitatuaje?
Mimi mwenyewe najitahidi kupambana mwaka huu ili nibadilishe gari maana huwa unanitesa Sana kwenye barabara za mashimo yaani hii gari utaipenda Sana kwenye lami na Safar ndefu....kama unaishi kwenye sehemu ambayo barabara ni mbovu achana nalo utalitesa Sana
 
Mimi mwenyewe najitahidi kupambana mwaka huu ili nibadilishe gari maana huwa unanitesa Sana kwenye barabara za mashimo yaani hii gari utaipenda Sana kwenye lami na Safar ndefu....kama unaishi kwenye sehemu ambayo barabara ni mbovu achana nalo utalitesa Sana
Nimepokea ushauri mkuu. Asante
 
Back
Top Bottom