Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee,Naendelea kupokea maoni wakuu
Asante mkuuMzee,
Asilimia kubwa, maana ya utengenezwaji mwaka mwingine, inamaanisha "Upgrading"
Haswa kwenye mifumo, interior/exterior n.k
Binafsi nikushauri chukua hiyo uliyopenda
The good thing is, ni Corolla, huwa haina mafua.
Asante mkuuThe latest imekaa vyema zaidi
Unaweza kuchukua hiyo.
Ukipenda, karibu ofisini uagize kupitia sisi , na uweze kujipatia punguzo na offer kem-kem
Pole mkuuHili silipendi hata kuliona. (Samahani lakini). Bora hata Raum kuliko hiki kidude
Naendelea kupokea maoni wakuu
Poa mkuu, nitazingatia huu ushauri nitakapotaka kununua tena.Chukua gari za kiume, Premio...
Achana na mabox hayo...
Utaonekana mshamba kwa watoto wa mjini
Gari ya kwanza ni ngumu kufuata ushauri, mara nyingi huwa inatokea kuipenda baada ya kufanya test drive ya gari hiyo... Ila wanaokushauri uachane na ni rumion utakuja wakumbuka. Kwa sasa najua huwezi kuwaelewa maana umeshapagawa 😂Poa mkuu, nitazingatia huu ushauri nitakapotaka kununua tena.
Kwa sasa nishauri kati ya hizo gari mbili kama nilivyouliza
Mkuu hili si gari langu la kwanza. Ukija ushauri wa maana kama technical issues napokea na kuufanyia kazi ila mtu kuniandikia eti achana na hilo gari lina sura mbaya sio ushauri mkuu.Gari ya kwanza ni ngumu kufuata ushauri, mara nyingi huwa inatokea kuipenda baada ya kufanya test drive ya gari hiyo... Ila wanaokushauri uachane na ni rumion utakuja wakumbuka. Kwa sasa najua huwezi kuwaelewa maana umeshapagawa 😂
Karibu sana.Asante mkuu
H
Hizi Gari Bumper zake zipo chini sana utafikiri ni feeders, Nikushauri kama wewe sio bitoz, tafuta gari nyingine ambayo haina bumper hizo kama Toyota Allex au Runnx.
Nakuhakikishia hiyo gari ukichukua, itachakaa ndani ya mwaka mmoja sababu ya mabarabara yetu kwa kuchubua bumber lako hilo la mbele au kuling'oa kabisa.
Inaonekana mna huduma mbovu.. kuna siku na zaidi ya mala mbili.. Nimewatumia ujumbe mnajibu kwa nyodo as if hamjui kazi yenu.. msitoe namba kama hampo serious ku handle wateja kwa njia za simuThe latest imekaa vyema zaidi
Unaweza kuchukua hiyo.
Ukipenda, karibu ofisini uagize kupitia sisi , na uweze kujipatia punguzo na offer kem-kem
Asante mkuu. Nitachukua toleo jipya.Kuhusiana na hizo gari mbili kama ulivyouliza ni bora uchukue toleo jipya, Ila naomba nieleze waziwazi hiyo dhambi ya kukushauri ununue Rumion mie sijashiriki.
Asante
Safi mkuu ukishalipata itupe mrejesho wa wadau mara sijui bampa limeshuka chini etc..Mungu akijaalia nataka nije nikae humo namiAsante mkuu. Nitachukua toleo jipya.
JenezaHiyo gari na hayo mabampa ya mbele siielewagi kabisa yan, ukipita mabonde kuinama una drive huku huna raha.Kwa lami iko vizuri kama vp chukua hilo toleo la kwanza.