SOLD: Toyota starlet iko kwenye hali nzuri sana na inaendeshwa na mdada

SOLD: Toyota starlet iko kwenye hali nzuri sana na inaendeshwa na mdada

Status
Not open for further replies.
Hakuna Gari Isiyo na Rangi, Hata Japan huko Magari ya Rangi,
Ila Gari ikirudiwa Rangi hapa TZ means ilipata tatizo labda (ajali) ndio ikapelekea kurudiwa rangi,

View attachment 926717

View attachment 926719
mkuu gari haijawahi pata ajali rangi iliyokuja nayo ni maroon binafsi hiyo rangi siipendi nimeweka ninayoipenda(dark gray) hata gari niliyoagiza ikifika tu nitabadilisha rangi ili niweke ninayopenda
 
mkuu gari haijawahi pata ajali rangi iliyokuja nayo ni maroon binafsi hiyo rangi siipendi nimeweka ninayoipenda(dark gray) hata gari niliyoagiza ikifika tu nitabadilisha rangi ili niweke ninayopenda
Haina Noma Mkuu,
Kwa Mnunuzi hilo la Kubadili Rangi atalikuta/thibitisha kwenye Kadi,
By the way kuna Rangi kweli hazivutii ila ndo ukute umeipata gari nzuri, hapo ni kubadilisha tu ikifika.
 
mkuu gari haijawahi pata ajali rangi iliyokuja nayo ni maroon binafsi hiyo rangi siipendi nimeweka ninayoipenda(dark gray) hata gari niliyoagiza ikifika tu nitabadilisha rangi ili niweke ninayopenda

Sasa kuna watu wanakurupuka tu bila kujua anasema usinunue gari ilipigwa rangi dah hahhaah
 
Mkuu nimenunua Toyota Corona old model namba DHA kwa mtu for 4.5m nazani linanitosha iyo starlet kwa 6m kabebee mpunga.
 
Inauzwa
Original
Samsung note 8
Brand new
64gb
Price:-1,300,000 TZS
LOC:- DAR-KKOO
call:- 0714750433
 

Attachments

  • Photo 06-11-2018, 09 44 46 (4).jpg
    Photo 06-11-2018, 09 44 46 (4).jpg
    62.8 KB · Views: 33
SALE:-
BRAND NEW
SAMSUNG S8 PLUS
64GB
PRICE:-1,050,000 TZS
Call:-0714750433
Location :- DAR-KKOO
 

Attachments

  • Photo 30-10-2018, 15 30 46.jpg
    Photo 30-10-2018, 15 30 46.jpg
    11.8 KB · Views: 33
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom