Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
- Thread starter
- #41
Nawashangaa, hii gari nmeiona barabarani ndio nikaipenda. Nina IST new model yaani hata kidogo tu hazifanani.Msichukulie gari kufanana vitu vichache mkabadili majina.
Basi prado KDJ nayo tuiite hilux sababu ina 1KD engine.