Tozo hazina maumivu makali, Wanasiasa uchwara mnatafuta kiki za kisiasa, mnashugulika na Mwigulu kwajili ya speculation za 2030

Duh

Petroli imepanda.Mafuta yamepanda.Vitu vyote vimepanda na tozo juu
 
We ni mjinga?.
Kwa hiyo unadhani kila anayelalamikia tozo ni mwamasiasa?.
Kuwa CCM sio lazima uwe mbu-mbu-mbu.
 
Serikali imefafanua kila kitu kwa ufasaha na inaendelea kupokea maoni zaidi pale itaKapohitajika kurekebisha itafanya hivyo, lengo la serikali siyo kuwaumiza wananchi wake Bali kushirikiana na wananchi wake katika ujenzi wa Taifa letu
Sijui umetokea wapi.
Too many useless threads by you.
 
Tunawahesabu tu mnaolipwa kutetea tozo did ajabu utumbo ulioweka unalipwa na tozo zetu
 
Duh

Petroli imepanda.Mafuta yamepanda.Vitu vyote vimepanda na tozo juu
Mfumuko wa Bei Ni wa kidunia lakini hata hivyo mh Rais wetu mpendwa amejitahidi kupambana nao kwa kuweka Ruzuku ya billioni Mia moja kila mwezi katika mafuta, pia katika pembejeo hasa mbolea ametoa Ruzuku ya billioni Mia moja hamsini, Embu mpongeze mh Rais wetu mpendwa
 
unajua Kama hyo tozo ni HELA ZA WATU ZINACHUKULIWA?
 
"Nasoma vitimbwi vya wanasiasa waliostaafishwa siasa na wananchi mwaka 2020"

Ulipoanza uzi wako na sentensi niliyoinukuu hapo juu umeharibu thamani nzima ya kile ulichokiandika. Tone moja tu la mafuta ya taa huaribu ladha ya maji yote ya kunywa yaliyopo katika jagi.

Uhuni uliofanywa na JPM, tume ya uchaguzi, vyombo vya dola na CCM unauita chaguo la wananchi. Siku nyingine jaribu kuficha ujinga wako mbele ya hadhara.
 
 

Attachments

  • FB_IMG_1662265649264.jpg
    53 KB · Views: 5
Aya sasa
 

Attachments

  • FB_IMG_1662265649264.jpg
    53 KB · Views: 4

Utabiri wa Magufuli watimia kwenye Tozo aliwahi kusema mtatozwa sana viongozi wanakopa kwa mabeberu.​


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…