Ryaro ryaro
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 380
- 1,170
Nimekusoma Mkuu ni Uchumi wao Kweli kwa maana tayari tupo uchumi wa kati...Bila shaka wanasimamisha uchumi wao kwanza chanzo muhimu tukiwa sisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekusoma Mkuu ni Uchumi wao Kweli kwa maana tayari tupo uchumi wa kati...Bila shaka wanasimamisha uchumi wao kwanza chanzo muhimu tukiwa sisi.
Uzuri ni kwamba linapo kuja suala la tozo hakuna kijani Wala nyekundu wote mwendo na makato ni Yale yale
Wapo humu wanatuenjoy tu kuwa watalialia baadae watakaa kimya [emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu ataanguka chapHuyu ni wa kukomaa naye tu. La miamala atashindwa kama itakavyokuwa kwa yote yasiyo ya haki.
Hata hivyo jitihada zetu zinazoonekana ni muhimu sana.
Hatari snKuna ka "listi" ka mijamaa ambayo hupagawa vilivyo ikisikia: katiba mpya, chadema, Mbowe, Corona - vikiwamo chanjo na tahadhari zake nk.
Hadi sasa naiona inapita juu kwa juu. Kimyaaa! Kama haina macho vile.
Hiiiiii bagosha!
Madelu anamdanganya nani kuwa miamala iko pale pale?
1. Mawakala wakuu wanasema biashara imedoda.
2. Makampuni ya simu yenye miundo mbinu ya biashara hii yanasema biashara imedoda.
3. Binafsi ninawafahamu wengi walioachana na mambo ya miamala ya simu.
4. Sijafanya muamala wa simu tangia upuuzi huu urasimishwe.
5. Nawajua wengi ambao kama ilivyo #4 wameikwepa anayoiita huyu bwana eti kuwa ni tozo ya uzalendo.
6. Nk.
Ukweli mchungu hakuna miamala kama kuna hizi tozo.
Mbona wao mishahara, posho, na marupurupu yao hayahusiki?
Mwigulu Nchemba: Serikali imekusanya bilioni 48 kutoka kwenye Tozo za miamala ya simu kwa wiki nne
Wakuu, Waziri wa Fedha, Dr Mwigulu Nchemba anazungumza na waandishi wa habari muda huu kuhusu miradi ya Serikali pamoja na Tozo za miamala ya simu pamoja na mafuta. Kuwa nami kukujuza yanayojiri ========== Mwigulu Nchemba-Waziri wa Fedha na Mipango =▷ Itakuwa aibu mtanzania yoyote alie hai...www.jamiiforums.com
Biashara ipi imedoda?