TOZO ni Payback ya Globalist kwa Watanzania kwa kuhepa Lockdown!

TOZO ni Payback ya Globalist kwa Watanzania kwa kuhepa Lockdown!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Tanzania ndiyo nchi pekee au moja kati ya nchi chache Duniani ambazo hazikwenda lockdown ya corona, wakati wengine wamejifungia chumi zao zikidumaa sisi tulipiga kazi kama Kiongozi wetu alivyosema, fikiria tu Uganda walifunga Shule kwa zaidi ya wiki 80, sisi hakuna lockdown tulipiga kazi, sasa Globalist wamekuja kutuadhibu kwa ujumla wetu.

Hizi TOZO siyo takwa la Mwigulu au Samia bali wao ni watekelezaji tu, hii inatoka juu moja kwa moja kwa Globalist ofcourse Mwigulu alichukuwa Mikopo yao na kukubali masharti hivyo ni lazima atekeleze, vinginevyo analo.

Hivyo Watanzania msilie sana, sasa ni wakati wenu, wakati wenzenu wamejifungia sisi tulipiga kazi, Globalist hakupenda na sasa ni Payback time unaweza kuita Lockdown yetu kama ukipenda.

Globalist ni World Bank, IMF, UN, WHO, EU, USA, China & Co.
 
Tanzania ndiyo nchi pekee au moja kati ya nchi chache Duniani ambazo hazikwenda lockdown ya corona, wakati wengine wamejifungia chumi zao zikidumaa sisi tulipiga kazi kama Kiongozi wetu alivyosema, fikiria tu Uganda walifunga Shule kwa zaidi ya wiki 80, sisi hakuna lockdown tulipiga kazi, sasa Globalist wamekuja kutuadhibu kwa ujumla wetu.

Hizi TOZO siyo takwa la Mwigulu au Samia bali wao ni watekelezaji tu, hii inatoka juu moja kwa moja kwa Globalist ofcourse Mwigulu alichukuwa Mikopo yao na kukubali masharti hivyo ni lazima atekeleze, vinginevyo analo.

Hivyo Watanzania msilie sana, sasa ni wakati wenu, wakati wenzenu wamejifungia sisi tulipiga kazi, Globalist hakupenda na sasa ni Payback time unaweza kuita Lockdown yetu kama ukipenda.

Globalist ni WB, IMF, UN, WHO, EU, USA, China & Co.
Tazama hii nguruwe ya samia inatetea mafiii ya ccm[emoji849][emoji849]
 
Tanzania ndiyo nchi pekee au moja kati ya nchi chache Duniani ambazo hazikwenda lockdown ya corona, wakati wengine wamejifungia chumi zao zikidumaa sisi tulipiga kazi kama Kiongozi wetu alivyosema, fikiria tu Uganda walifunga Shule kwa zaidi ya wiki 80, sisi hakuna lockdown tulipiga kazi, sasa Globalist wamekuja kutuadhibu kwa ujumla wetu.

Hizi TOZO siyo takwa la Mwigulu au Samia bali wao ni watekelezaji tu, hii inatoka juu moja kwa moja kwa Globalist ofcourse Mwigulu alichukuwa Mikopo yao na kukubali masharti hivyo ni lazima atekeleze, vinginevyo analo.

Hivyo Watanzania msilie sana, sasa ni wakati wenu, wakati wenzenu wamejifungia sisi tulipiga kazi, Globalist hakupenda na sasa ni Payback time unaweza kuita Lockdown yetu kama ukipenda.

Globalist ni WB, IMF, UN, WHO, EU, USA, China & Co.
Weka ushahidi.
 
Tanzania ndiyo nchi pekee au moja kati ya nchi chache Duniani ambazo hazikwenda lockdown ya corona, wakati wengine wamejifungia chumi zao zikidumaa sisi tulipiga kazi kama Kiongozi wetu alivyosema, fikiria tu Uganda walifunga Shule kwa zaidi ya wiki 80, sisi hakuna lockdown tulipiga kazi, sasa Globalist wamekuja kutuadhibu kwa ujumla wetu.

Hizi TOZO siyo takwa la Mwigulu au Samia bali wao ni watekelezaji tu, hii inatoka juu moja kwa moja kwa Globalist ofcourse Mwigulu alichukuwa Mikopo yao na kukubali masharti hivyo ni lazima atekeleze, vinginevyo analo.

Hivyo Watanzania msilie sana, sasa ni wakati wenu, wakati wenzenu wamejifungia sisi tulipiga kazi, Globalist hakupenda na sasa ni Payback time unaweza kuita Lockdown yetu kama ukipenda.

Globalist ni WB, IMF, UN, WHO, EU, USA, China & Co.
Dah inasikitisha. Hakika wanakomoa watanzania.
 
Tanzania ndiyo nchi pekee au moja kati ya nchi chache Duniani ambazo hazikwenda lockdown ya corona, wakati wengine wamejifungia chumi zao zikidumaa sisi tulipiga kazi kama Kiongozi wetu alivyosema, fikiria tu Uganda walifunga Shule kwa zaidi ya wiki 80, sisi hakuna lockdown tulipiga kazi, sasa Globalist wamekuja kutuadhibu kwa ujumla wetu.

Hizi TOZO siyo takwa la Mwigulu au Samia bali wao ni watekelezaji tu, hii inatoka juu moja kwa moja kwa Globalist ofcourse Mwigulu alichukuwa Mikopo yao na kukubali masharti hivyo ni lazima atekeleze, vinginevyo analo.

Hivyo Watanzania msilie sana, sasa ni wakati wenu, wakati wenzenu wamejifungia sisi tulipiga kazi, Globalist hakupenda na sasa ni Payback time unaweza kuita Lockdown yetu kama ukipenda.

Globalist ni WB, IMF, UN, WHO, EU, USA, China & Co.
Kweli wewe ni kijakazi.
 
Tanzania ndiyo nchi pekee au moja kati ya nchi chache Duniani ambazo hazikwenda lockdown ya corona, wakati wengine wamejifungia chumi zao zikidumaa sisi tulipiga kazi kama Kiongozi wetu alivyosema, fikiria tu Uganda walifunga Shule kwa zaidi ya wiki 80, sisi hakuna lockdown tulipiga kazi, sasa Globalist wamekuja kutuadhibu kwa ujumla wetu.

Hizi TOZO siyo takwa la Mwigulu au Samia bali wao ni watekelezaji tu, hii inatoka juu moja kwa moja kwa Globalist ofcourse Mwigulu alichukuwa Mikopo yao na kukubali masharti hivyo ni lazima atekeleze, vinginevyo analo.

Hivyo Watanzania msilie sana, sasa ni wakati wenu, wakati wenzenu wamejifungia sisi tulipiga kazi, Globalist hakupenda na sasa ni Payback time unaweza kuita Lockdown yetu kama ukipenda.

Globalist ni WB, IMF, UN, WHO, EU, USA, China & Co.
Kapo kaukweli ndani ya hii kitu !! Hii sio bure !! Jamaa wanatupangia humu duniani namna ya kuishi !!
 
Ningeamini hayo kama lisingeanzia kwa Zungu lingeanzia kwa Zitto Kabwe au Lissu
 
Ningeamini hayo kama lisingeanzia kwa Zungu lingeanzia kwa Zitto Kabwe au Lissu

Kwa Utawala huu hakuna tofauti kati ya hao watu uliowataja, wote ni wamoja na ndiyo maana wako kimya, ni wanufaika wakubwa wa huu Utawala wa sasa!
 
Kwa Utawala huu hakuna tofauti Kati ya hao watu uliowataja, wote ni wamoja na ndiyo maana wako kimya, ni wanufaika wakubwa wa huu Utawala wa sasa!
Nchi iko kwenye silent mode hadi atakapotokea mtu wa kukata chain ya walamba asali.😂
 
Mfumo mbovu wa Ujamaa umeharibu uchumi. Wa kumlaumu ni Nyerere aliyeleta huo mfumo.
 
Back
Top Bottom