TOZO ni Payback ya Globalist kwa Watanzania kwa kuhepa Lockdown!

TOZO ni Payback ya Globalist kwa Watanzania kwa kuhepa Lockdown!

Tanzania ndiyo nchi pekee au moja kati ya nchi chache Duniani ambazo hazikwenda lockdown ya corona, wakati wengine wamejifungia chumi zao zikidumaa sisi tulipiga kazi kama Kiongozi wetu alivyosema, fikiria tu Uganda walifunga Shule kwa zaidi ya wiki 80, sisi hakuna lockdown tulipiga kazi, sasa Globalist wamekuja kutuadhibu kwa ujumla wetu.

Hizi TOZO siyo takwa la Mwigulu au Samia bali wao ni watekelezaji tu, hii inatoka juu moja kwa moja kwa Globalist ofcourse Mwigulu alichukuwa Mikopo yao na kukubali masharti hivyo ni lazima atekeleze, vinginevyo analo.

Hivyo Watanzania msilie sana, sasa ni wakati wenu, wakati wenzenu wamejifungia sisi tulipiga kazi, Globalist hakupenda na sasa ni Payback time unaweza kuita Lockdown yetu kama ukipenda.

Globalist ni World Bank, IMF, UN, WHO, EU, USA, China & Co.
Sio kweli
 
Natarajia tozo kwa mabanda ya TV wanao onyesha mpira
Watu wa salon zote
Boda boda wote

Maana yule jamaaa sijui alisomea uchumi gani anashindwa kuwaza kisomi anakuja na hoja dhaifu kama hzo za mitozo kila sehemu.
 
Tanzania ndiyo nchi pekee au moja kati ya nchi chache Duniani ambazo hazikwenda lockdown ya corona, wakati wengine wamejifungia chumi zao zikidumaa sisi tulipiga kazi kama Kiongozi wetu alivyosema, fikiria tu Uganda walifunga Shule kwa zaidi ya wiki 80, sisi hakuna lockdown tulipiga kazi, sasa Globalist wamekuja kutuadhibu kwa ujumla wetu.

Hizi TOZO siyo takwa la Mwigulu au Samia bali wao ni watekelezaji tu, hii inatoka juu moja kwa moja kwa Globalist ofcourse Mwigulu alichukuwa Mikopo yao na kukubali masharti hivyo ni lazima atekeleze, vinginevyo analo.

Hivyo Watanzania msilie sana, sasa ni wakati wenu, wakati wenzenu wamejifungia sisi tulipiga kazi, Globalist hakupenda na sasa ni Payback time unaweza kuita Lockdown yetu kama ukipenda.

Globalist ni World Bank, IMF, UN, WHO, EU, USA, China & Co.

Hizi tozo ni mikopo chefuchefu aliyokopa Magufuli, hakuna namna lazima hizi tozo zipitishwe, na usitegemee kama viongozi wa serikali watathubutu kusema ni mikopo ya hatari aliyokopa Magufuli. Ifahamike propaganda iliyokuwepo wakati wa hiyo mikopo ilikuwa ni fedha zetu za ndani. Sasa ni kilio kwa kwenda mbele.
 
Tanzania ndiyo nchi pekee au moja kati ya nchi chache Duniani ambazo hazikwenda lockdown ya corona, wakati wengine wamejifungia chumi zao zikidumaa sisi tulipiga kazi kama Kiongozi wetu alivyosema, fikiria tu Uganda walifunga Shule kwa zaidi ya wiki 80, sisi hakuna lockdown tulipiga kazi, sasa Globalist wamekuja kutuadhibu kwa ujumla wetu.

Hizi TOZO siyo takwa la Mwigulu au Samia bali wao ni watekelezaji tu, hii inatoka juu moja kwa moja kwa Globalist ofcourse Mwigulu alichukuwa Mikopo yao na kukubali masharti hivyo ni lazima atekeleze, vinginevyo analo.

Hivyo Watanzania msilie sana, sasa ni wakati wenu, wakati wenzenu wamejifungia sisi tulipiga kazi, Globalist hakupenda na sasa ni Payback time unaweza kuita Lockdown yetu kama ukipenda.

Globalist ni World Bank, IMF, UN, WHO, EU, USA, China & Co.
Uvccm wewe
 
Utetezi dhaifu mno.

Hayo ni mambo ya kufikirika tu.

Hakuna uhalisia hapo.
 
Hizi tozo ni mikopo chefuchefu aliyokopa Magufuli, hakuna namna lazima hizi tozo zipitishwe, na usitegemee kama viongozi wa serikali watathubutu kusema ni mikopo ya hatari aliyokopa Magufuli. Ifahamike propaganda iliyokuwepo wakati wa hiyo mikopo ilikuwa ni fedha zetu za ndani. Sasa ni kilio kwa kwenda mbele.

Magufuli akope halafu Samia pamoja na chuki yote hiyo aogope kusema? Unaishi Dunia gani vile?
 
Unafikiri Mikopo waliochukuwa wanalipaje hayo Madeni na Riba yake? Au guarantee ya hiyo Mikopo ni nini unafikiri?
Kwani wakati wanachukua walikushirikisha? Kwani walichukua tu bila plan? Awamu ya JPM mnasema alikopa sana, kwani alilipaje?
 
Tanzania ndiyo nchi pekee au moja kati ya nchi chache Duniani ambazo hazikwenda lockdown ya corona, wakati wengine wamejifungia chumi zao zikidumaa sisi tulipiga kazi kama Kiongozi wetu alivyosema, fikiria tu Uganda walifunga Shule kwa zaidi ya wiki 80, sisi hakuna lockdown tulipiga kazi, sasa Globalist wamekuja kutuadhibu kwa ujumla wetu.

Hizi TOZO siyo takwa la Mwigulu au Samia bali wao ni watekelezaji tu, hii inatoka juu moja kwa moja kwa Globalist ofcourse Mwigulu alichukuwa Mikopo yao na kukubali masharti hivyo ni lazima atekeleze, vinginevyo analo.

Hivyo Watanzania msilie sana, sasa ni wakati wenu, wakati wenzenu wamejifungia sisi tulipiga kazi, Globalist hakupenda na sasa ni Payback time unaweza kuita Lockdown yetu kama ukipenda.

Globalist ni World Bank, IMF, UN, WHO, EU, USA, China & Co.
Acha kutunga Uongo
 
mm nimejiuliza sana kwan wanapofanya hvo si wanawaumiza hata wale wanaowasaidia kuwaibia kura kipindi cha kampeni waalimu na maaskari sasa wataacha shobo maana wao ndo wanalia lia sana na kipindi cha uchaguzi wanamsaada mkubwa kwenye kuiba kura sasa wakae wajitafakari waendelee kuwaibia ila wakiingia madarakani chamoto tunakipata wote au wafanye mambo yao yanayowahusu[emoji41]
 
Tanzania ndiyo nchi pekee au moja kati ya nchi chache Duniani ambazo hazikwenda lockdown ya corona, wakati wengine wamejifungia chumi zao zikidumaa sisi tulipiga kazi kama Kiongozi wetu alivyosema, fikiria tu Uganda walifunga Shule kwa zaidi ya wiki 80, sisi hakuna lockdown tulipiga kazi, sasa Globalist wamekuja kutuadhibu kwa ujumla wetu.

Hizi TOZO siyo takwa la Mwigulu au Samia bali wao ni watekelezaji tu, hii inatoka juu moja kwa moja kwa Globalist ofcourse Mwigulu alichukuwa Mikopo yao na kukubali masharti hivyo ni lazima atekeleze, vinginevyo analo.

Hivyo Watanzania msilie sana, sasa ni wakati wenu, wakati wenzenu wamejifungia sisi tulipiga kazi, Globalist hakupenda na sasa ni Payback time unaweza kuita Lockdown yetu kama ukipenda.

Globalist ni World Bank, IMF, UN, WHO, EU, USA, China & Co.
Rais Samia amefanya mengi mazuri hawezi kufanya jambo kuwakomoa watanzania tozo ni kwaajili ya maendeleo yetu wenyewe lazima tutoe haina kupinga
 
Back
Top Bottom