Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Turudi enzi za vibubu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwenda bank mara Moja tu unavuta mtonyo wote unaskuti nao tu hakuna namna.....Hiyo 100 ni kawaida haina madhara, ,sasa baada ya balaa hili nimehamisha 5000 imekatwa 4000 jumla 9000 kwa sasa hata, ATM,bank teller zinawekwa tozo rasmi kwa sasa
Kama ina sink kwenye mdomo wako sawa ila kwenye Takwimu uchumi Unapata ndio maana ikipita mtaani unaona mambo yanaenda..The Sunk Cost Fallacy it is no more the fallacy. is it a reality that the economy is sinking?
Kwa akili ya Miguu kwenye Chemba ya Lami hatutokiTunaviongozi wa ajabu ajabu sijui
Hawana ubunifu.
Kazi kutuvalia mikoti
Uwezo wa mwigulu nchemba ni mdogo sana anachojua ni kuongeza sifuriWandugu hii nchi kama tumelaaniwa vile, zile tozo za kwenye simu sasa rasmi kwenye bank transaction zote ni balaa. Siku ya kufa nyani miti yote huteleza, najifikiria sasa bora bitcon kama zingekuwa kima cha chini, ukigeuka huku mfumuko wa bei, kule tozo .
Miaka yote hua hawapewi,NEC ndio hua inawapa.Halafu huyo huyo ndio mtampa uraisi ili awapige vizuri poor Tanzanians. Sixth regime is a total failure
[emoji102]dah wanakata yote hiyo hata aibu hawana ...dah kweli bongo ufala umezidiHiyo 100 ni kawaida haina madhara, ,sasa baada ya balaa hili nimehamisha 5000 imekatwa 4000 jumla 9000 kwa sasa hata, ATM,bank teller zinawekwa tozo rasmi kwa sasa
Absolutely right.Ni kwenda bank mara Moja tu unavuta mtonyo wote unaskuti nao tu hakuna namna.....
We jamaa ni mpuuzi kweli yani, kwahio hio elfu 12 unaona inaweza fidia matozo yaliojazwa kila kona?Watu wameongezewa 12,000-50,000 kwa mwezi wanalalamika kwamba haitoshi na haina maana..
Wakati huo huo serikali imeweka tozo za kuanzia 1200-3,000 kwa miamala kulingana na kiwango cha kutoa wanadai ni kubwa Sana..
Kwa mazingira haya ni ngumu Sana kumuelewa Mtanzania ndio maana naunga mkono serikali.
Ni kweli hatufanani lakini hoja ilijikita kwenye salary na sio wafanyabiashara.Mkuu hatufanani kama wew hufanyi transaction za kutosha Benk usitegemee na wote wapo ivo ivo!
Kinachokera zaidi hata ukiweka pesa zako tu wanakupiga tozo ya serikalini
Sina miamala mingi zaidi ya Bando la simu.Eeeeehn ......Wacha weeeee tuamze na miamala ya simu unafanya mingapi Kwa mwezi!!?? Haupati hiyo 12 elfu kwenye miamala tu!!??
Usigeneralize sasa matumizi yako na ya mwengine.Sina miamala mingi zaidi ya Bando la simu.
Wewe ni mfanyakazi au mfanyabiashara?Usigeneralize sasa matumizi yako na ya mwengine.
Vyote.... Uliza tu.Wewe ni mfanyakazi au mfanyabiashara?
Ni KIBAKA karibu yako !Wandugu hii nchi kama tumelaaniwa vile, zile tozo za kwenye simu sasa rasmi kwenye bank transaction zote ni balaa. Siku ya kufa nyani miti yote huteleza, najifikiria sasa bora bitcon kama zingekuwa kima cha chini, ukigeuka huku mfumuko wa bei, kule tozo .