Tetesi: Tozo ya Muda wa Maongezi yaiva, kuipuliwa muda wowote na serikali ya Mama

Tetesi: Tozo ya Muda wa Maongezi yaiva, kuipuliwa muda wowote na serikali ya Mama

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
E6aANMrXEAAller.jpeg

E6Z0zHMWUAAczQh.jpeg


Ni mwendo wa kuipua tu. Kabla ya tozo ya miamala haijapoa,kinaipuliwa kitu Airtime Levy. Mlaji kuwa tayari,kama hutashiba sema waipue kitu kingine
 
Waliopitisha ni wabunge ambao ni wawakilishi wa wananchi kweli? Km ni wao basi hamna haja ya kuwa na wabunge! Badala ya kuwatetea wananchi waliowapeleka bungeni mmegeuka watetezi wa serikali?

Tunaandaa maandamano yasiyo na kikomo kulizunguka jengo la bunge kushinikiza na nyie mlipe kodi kwenye mishahara yenu! #wabunge walipe kodi na posho zipunguzwe!
 
Waliopitisha ni wabunge ambao ni wawakilishi wa wananchi kweli? Km ni wao basi hamna haja ya kuwa na wabunge! Badala ya kuwatetea wananchi waliowapeleka bungeni mmegeuka watetezi wa serikali? Tunaandaa maandamano yasiyo na kikomo kulizunguka jengo la bunge kushinikiza na nyie mlipe kodi kwenye mishahara yenu! #wabunge walipe kodi na posho zipunguzwe!
Kwani wewe uliwachagua au waliwekwa na mwenda zake.
Bahati mbaya aliondoka kwani asivyo na kaba siku moja angewaumbua kama alivyowaumbua madiwani pale Karimjee hall.
 
Hii iwe ni funzo kwa ma CCM kuhusu mtu wa aina gani wanamteua kuwa makamo wa raisi. Nina hakika kipindi cha mwendazake angewekwa mtu mwenye maono kidogo kwenye umakamu leo hii angejua nani wa kumuweka wapi.

Ila tulie nae sasa akipelekewa listi yeye anaidhinisha tu na kutangaza.

Tumeishia ni kina Mwigulu wanaojali biashara na maslahi yao binafsi tu mwisho wa siku tutakuja kutozwa mpaka kodi ya kupumua.
 
Mwigulubamesema watakusanya trillion 5 sijui ana uhakiaka gani kuwa watu hawatabuni mbinu mbadala ya kukwepa huu mtego uchwara
Eeh ni kweli watakusanya trillion 5 za matusi kutoka kwa wananchi! Yupo sahihi!!!
 
Hii iwe ni funzo kwa ma CCM kuhusu mtu wa aina gani wanamteua kuwa makamo wa raisi. Nina hakika kipindi cha mwendazake angewekwa mtu mwenye maono kidogo kwenye umakamu leo hii angejua nani wa kumuweka wapi. Ila tulie nae sasa akipelekewa listi yeye anaidhinisha tu na kutangaza.
Tumeishia ni kina Mwigulu wanaojali biashara na maslahi yao binafsi tu mwisho wa siku tutakuja kutozwa mpaka kodi ya kupumua.
Kodi ya kulala na mkeo iko jikoni 😂😂😂
 
... kutuma pesa unaweza kutafuta njia mbadala; kwenye muda wa maongezi hakuna ujanja; hakuna "njia mbadala"; haikwepeki.
 
Back
Top Bottom