Tozo za miamala zitasaidia ujenzi wa Shule zaidi ya 10,000; zahanati zaidi ya 4,500 na vituo vya afya 570 ifikapo 2025. Uzalendo zaidi unahitajika

Kwa hiyo tuporwe kila kitu hata kula tushindwe tupate utapiamlo na vidonda vya tumbo...kesho na kesho kutwa nani atalipa hiyo kodi ya kuwajengea hizo Zahanati wakati Walipaji watakuwa hawana tena uwezo wa kutengeneza kipato?.

Hoja hapa ni kumkamua Ng'ombe huku naye anakula.

Kumwambia Ng'ombe sasa ale Mlo mmoja tu eti familia inataka kuboresha maisha ni kauli ya Mfugaji punguani.
 
Source?
 
Haya mahesabu yangefanywa kwenye ile gharama ya lile sanamu..
 
Hayo ni mawazo yako au ya mama samia au serikali yetu kwa ujumla?
 
Mpaka anakatwa mamilion nikwamba nayeye kaingiza mabilioni huo ndo utaratibu.
 
Tatizo la Uhuru ni nini?

Wao wameandika alichosema waziri,
Uhuruuuu...!!! Baada ya heading hii, Samia Suluhu Hasani akija na MABADIRIKO, NAO WATABADILI HEADING... mama kasikia kilio, ni msikivu, TOZO ilikuwa haramu...!!
Tatizo la Uhuru ni nini?

Wao wameandika alichosema Waziri Ummy,


.
 
Hivi wewe uko nchi gani? Maana kama ni tanzania lazima uone kuwa maumivu na malalamiko hayatoki chadema yanatoka kwa wananchi ambao ndio hao wanaitwa wanyonge. Usijitie upofu na ushabiki tozo sio rafiki full stop.
 
Kwa hiyo hamkujengewa hivo vitu kabla kwa kuwa hakukuwa na tozo? Kwa hio bila tozo hizi haiwezekani kujengewa?. Ewe mtu wa kijijini unaemiliki simu?.
 
Hivi wewe uko nchi gani? Maana kama ni tanzania lazima uone kuwa maumivu na malalamiko hayatoki chadema yanatoka kwa wananchi ambao ndio hao wanaitwa wanyonge. Usijitie upofu na ushabiki tozo sio rafiki full stop.
Kuna kodi isiyouma?
 
Hizi tozo sio kodi ni Wizi..
 
Kodi zilizokuwa zinakusanywa hapo awali zilikuwa zinafanyia nini?
Elewa maana ya Bajeti ya nyongeza,

Hii basket fund niekwaajili yaemaendeleo vijijini tu,

Budget zingine zitaendelea kama kawaida
 
Mkuu hayo mazahanati na vituo vya afya havisaidii kitu, wangesema hospital zote za mikoa au wilaya zitakuwa na madktari bingwa wa magonjwa mbalimbali ikiwemo na vifaa tiba kama CT scan, MRI nk hapo ingekuwa sawa, kwenye vituo vya afya na zahanati waganga wanatibu kwa kutabiri tu matokeo yake vifo visivyo vya lazima vinakuwa vingi.Hivi CT scan ni sh ? kwann haipo kila mkoa? mgonjwa ulazimika kwenda km 300 kupata huduma hiyo hamuoni kama ni umbali mlefu sana? nako akienda hiyo gharama sasa!!!! kama sio mtumishi wa huma mwenye bima ya afya anakufa wanamwangalia tu. Hizo tozo zingelenga hapo, vituo vya afya wananchi wanaweza kujenga wenyewe kwa nguvu zao na serikali ikachangia kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…