Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,377
- 2,800
Ni utapeli mkubwa sana et kodi iyo ndiyo itatatua matatizo wakat miaka 60 hamna walichofnya na kodi zilikuepowalipew na mikopo bado wanaiba wala hawafungwi hawa hawana uchungu na pesa za uma kabisaNi ulaghai kuwataka kuwaaminisha wananchi kuwa tozo zitawapatia huduma za jamii.
Ikumbukwe kuwa kodi lukukii, mikopo na misaada kibao kwa miongo kadhaa vimeshindwa kufua dafu