Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,298
Sijui na mie sijawaelewa?! Kwa hayo makampuni ya simu kukutana, ina maana warekebishe humo humo kwenye sekta ya mawasiliano (ambayo haitakuwa tofauti na tozo la sim card), au wawatafutie chanzo kipya?! Aiseee......choka kabisa.
Kama hawazitegemei kampuni za simu kujua sehemu nyengine mbadala wa serikali kupata mapato yake, ina maana wanataka hiyo kodi ibadilishiwe sehemu iingizwe huko huko kwenye kampuni za mawasiliano
Sasa umesikia wapi kampuni ikasema tutozeni sisi extra kodi ili wateja wasipate udhia?
Maana yake ni kwamba kodi hiyo tutailipa sisi wananchi kupitia mawasiliano kwa njia moja ama nyengine