Tozo zaisababishia Vodacom hasara ya Tsh. Bilioni 103.8

Tozo zaisababishia Vodacom hasara ya Tsh. Bilioni 103.8

Hahahahahaha hao ni Vodacom tu (mtandao ambao umepiga hatua sana katika huduma za kifedha) wanalalamika , hao mbulula wengine nao watajitokeza tu.

Huna hela wala hufanyi biashara ya maana utajuaje athari za kulimbikiza makato yasiyo na msingi katika uchumi? Hii comment yako imedhihirisha ufukara wa kiuchumi na maarifa ulionao.
Tulishahamia Airtel na Tigo na halotel kitambo.
 
Kampuni ya mtandao wa simu Vodacom imetangaza kupata hasara kwenye package yao ya M-Pesa ya Billion 103.8 sawa na 9.8% wapoteza kwnye Tozo ambapo walitakiwa wakusanye billion 956.

Watu 1.3M waliacha kutumia mtandao wao wa M-Pesa
Hapo wange pata hapo kodi shs ngapi? Kama voda imepata hiyo hasara kampuni nyingine za mawasiliano nazo? Serikali imekosa kodi kiasi gani kwenye mashirika ya mawasiliano?

Mnyiramba an azungumzia tozo.

Sijui Mh Rais haoni kama Mwigulu hajui anacho fanya au tayari amesha logwa tayari?

Sasa asubiri hasara ya mabenki. Yata rudi kule kule kwa mwenda zake.

Mwigulu ana sababisha wananchi wana ichukia serikali yao kwa mawazo yake mgando.
 
Hii taarifa ni tofauti na taarifa iliyotolewa Mh Waziri, Mh alisema tozo zimeongeza mzunguko wa fedha na transaction zimeongezeka
Mwigulu ana mdanganya Mh. Rais kwa nia ya kumgombanisha na wananchi
 
Hizoni porojo na excuses za failures zao..

Mbona hatusikii Tigo na wengine wakitangaza hizo hasara za tozo,,,
Tigo HAIPO kwenye Soko la Hisa. Haifungwi KISHERIA kusema WAZIWAZI. Vodacom wapo.Wanafungwa Kisheria.

LAKINI,

Naunga mkono hoja yako kuu kwamba hii ni KUTUMIA TOZO kama EXCUSE.

Unapopanga kukusanya Trilioni 1.06 halafu ukakusanya Pungufu kwa Bilioni 103, maana yake ni kwamba VIHATARISHI vimezidi nguvu BAHATI. Vihatarishi vinashusha MAPATO chini ya lengo na Bahati zinakuvusha juu ya lengo.

Sasa,
Vodacom kutuambia ETI billion 103 lost Revenue ni kutokana na Tozo PEKEE ni UONGO. Hapo nakuunga mkono.
Vipi kuhusu Wizi wa Bundle na effects zake kama wateja wanaowaacha, wanaopunguza matumizi, wanaoamua kukopa kwa songesha au M-PAWA na kutolipa ili kuiKOMOA Vodacom, vipi kuhusu Mfumo wao MBOVU wa kuajiri???

Unatumiwa SMS ya Salio la Bundle, unafanya hesabu BASED ON the SMS, hesabu hazisomani; Unaamua kupiga 100, Mdada/Mkaka yule anakujibu kwamba mfumo wake unaonyesha umemaliza kifurushi na kwamba hakuSHAURI uifuate hiyo SMS. Yaani kweli kabisa? Mbona hii SMS ya Salio HAIKOSEI kwenye Salio la SMS na Dakika??? Vodacom wana kihatarishi kingine cha "VODA LOCUTA CAUSA FINITA" yaani "VODA AMESEMA, SHAURI LA KESI LIMEFUNGWA". Monopoly Risk,Dictating Risk....

Haya yote yamewekwa KAPUNI, wamesemea TOZO.

Ndio maana mie nasema wenye Nchi ni sisi Wananchi. Tupigane Vita zetu WENYEWE. TusiDANDIE washirika waFITINI kama Vodacom. Wao nao wana Vita zao, waziendeleze bila KUJIKOSHA kwetu.

Kusema wamepata HASARA ni UONGO pia, wamepata faida ya Bilioni 64.364 ambayo ni ONGEZEKO la asilimia 39.6 ukilinganisha na mwaka ulioishia Machi 2022. Faida GHAFI pia IMEONGEZEKA kutoka nakisi ya bilioni 30 mpaka ya bilioni 20. Hawana HASARA. Wana vihatarishi na WAMEDANGANYA kwamba bilioni 103 ya upungufu wa mapato imetokana na kihatarishi kimoja!!!

Uongo,Uongooo....Hiyo ni Uongo Bwana.
[emoji1860][emoji1860][emoji1860]
 
tatizo viongozi wetu hawaangalii nchi inaendaje. wanachowaza ni ukusanyaji mwingi na sio bora
 
Na badoo hadi waache kutuma kale ka message ka 'M-Pesa faida' wanakonileteaga nikiwa na njaa ya hela. 😀
 
Mie mwenyewe siweki ela kwenye Laini za simu tangu mwaka Jana mwezi wa 6
 
Tigo HAIPO kwenye Soko la Hisa. Haifungwi KISHERIA kusema WAZIWAZI. Vodacom wapo.Wanafungwa Kisheria.

LAKINI,

Naunga mkono hoja yako kuu kwamba hii ni KUTUMIA TOZO kama EXCUSE.

Unapopanga kukusanya Trilioni 1.06 halafu ukakusanya Pungufu kwa Bilioni 103, maana yake ni kwamba VIHATARISHI vimezidi nguvu BAHATI. Vihatarishi vinashusha MAPATO chini ya lengo na Bahati zinakuvusha juu ya lengo.

Sasa,
Vodacom kutuambia ETI billion 103 lost Revenue ni kutokana na Tozo PEKEE ni UONGO. Hapo nakuunga mkono.
Vipi kuhusu Wizi wa Bundle na effects zake kama wateja wanaowaacha, wanaopunguza matumizi, wanaoamua kukopa kwa songesha au M-PAWA na kutolipa ili kuiKOMOA Vodacom, vipi kuhusu Mfumo wao MBOVU wa kuajiri???

Unatumiwa SMS ya Salio la Bundle, unafanya hesabu BASED ON the SMS, hesabu hazisomani; Unaamua kupiga 100, Mdada/Mkaka yule anakujibu kwamba mfumo wake unaonyesha umemaliza kifurushi na kwamba hakuSHAURI uifuate hiyo SMS. Yaani kweli kabisa? Mbona hii SMS ya Salio HAIKOSEI kwenye Salio la SMS na Dakika??? Vodacom wana kihatarishi kingine cha "VODA LOCUTA CAUSA FINITA" yaani "VODA AMESEMA, SHAURI LA KESI LIMEFUNGWA". Monopoly Risk,Dictating Risk....

Haya yote yamewekwa KAPUNI, wamesemea TOZO.

Ndio maana mie nasema wenye Nchi ni sisi Wananchi. Tupigane Vita zetu WENYEWE. TusiDANDIE washirika waFITINI kama Vodacom. Wao nao wana Vita zao, waziendeleze bila KUJIKOSHA kwetu.

Kusema wamepata HASARA ni UONGO pia, wamepata faida ya Bilioni 64.364 ambayo ni ONGEZEKO la asilimia 39.6 ukilinganisha na mwaka ulioishia Machi 2022. Faida GHAFI pia IMEONGEZEKA kutoka nakisi ya bilioni 30 mpaka ya bilioni 20. Hawana HASARA. Wana vihatarishi na WAMEDANGANYA kwamba bilioni 103 ya upungufu wa mapato imetokana na kihatarishi kimoja!!!

Uongo,Uongooo....Hiyo ni Uongo Bwana.
[emoji1860][emoji1860][emoji1860]
Hongera sana Mkuu umeongea ukweli mtupu bila kuegemea upande wowote
 
Hizoni porojo na excuses za failures zao..

Mbona hatusikii Tigo na wengine wakitangaza hizo hasara za tozo,,,
Sio kila kampuni ina taratibu ya kuweka wazi taarifa zake maana hii si Mara ya kwanza voda kufanya hivi hata kipindi vifurushi vimepanda pia walioweka taarifa zao wazi hats kama wasingesema vitu vingine vipo wazi matumizi ya miamala imepungua sio kama awali
 
Back
Top Bottom