Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
: Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya wanyongwe.
: Tozo iendelee.
: Tozo iendelee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iendeleeee [emoji24][emoji24][emoji24]:Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya wanyongwe.
:Tozo iendelee.
Wananchi ndio wagumu mkuuNchi ngumu hii [emoji848][emoji848]
Na watawala wetu wajifunze . Ila tutalipa tu maana c tumekubali kuvumilia na kuumia..Wananchi ndio wagumu mkuu
Lini mlikuwa matajiri?Mwigulu atatuumiza Sana ufurahi kuona tukiwa masikini
Kutoa pesa bank kuna tozoMlisema mtakimbilia kwenye mabenki sio? Haya kimbilieni sasa
Mlisema mtakimbilia kwenye mabenki sio? Haya kimbilieni sasa
Mkuu wazo lako zuri jaribu kuliboresha tu kwa kujivisha mabomu ulipuke nae. Utuokoe na hizi tozo.Mungu anisamehe, mimi ningekua na bunduki wale waliopitisha tozo nilkua nakufa na mmoja
Mwigulu huyu ni Masalia ya Magufuli, hakustaili kupewa uwaziri wowote ule.Mwigulu atatuumiza Sana ufurahi kuona tukiwa masikini
Acha inyeshe tu🤣Sasa nyumba yote inavuja hakuna mahali pa kukimbilia kujificha tena.. bado miaka minne, tutafanya ukarabati
Hii ni Tozonia au Tanzania ??!!Habari wakuu,
Miamala yote ya fedha ya kibenki itayofanyika kupitia simu itaanza kukatwa tozo. Mathalan unataka kuhamisha fedha kutoka kwa Helena mwenye akaunti namba XX kwenda Huruma mwenye Account namba XY na ukatumia simu kufanya mchakato huo utawajibika kuichangia Serikali katika ujenzi wa madarasa, zahanati na mengineyo waliyoyasema...
Bado mna maumivu? Nilisikia shangwe za umma, wake kwa waume, walio ajirani na kutoka kwa wenye wenza ajirani, wakisifu na kushangweka kuwa baada ya miaka 5 migumu, hatimaye madaraja yamepanda, wamelipwa malimbikizo, paye imepunguzwa n.kHii Nchi imeshakua tayari ya moto! Ingawa kwa sisi watumishi wa umma, kitambo haya maumivu tulishayazoea.