Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Levy ya king’amuziVingamuzi msisahau... Levy kila mahali
Jenga nchi acha malalamiko kijanaHabari wakuu,
Miamala yote ya fedha ya kibenki itayofanyika kupitia simu itaanza kukatwa tozo. Mathalan unataka kuhamisha fedha kutoka kwa Helena mwenye akaunti namba XX kwenda Huruma mwenye Account namba XY na ukatumia simu kufanya mchakato huo utawajibika kuichangia Serikali katika ujenzi wa madarasa, zahanati na mengineyo waliyoyasema.
Kwanini Serikali wasingetumia pesa za kununulia ndege zisizozalisha na gharama za kufanya royal tour kufanya yote wanayotaka kufanya. Ni muda wa kufikiria kupunguza matumizi badala ya kututoza kodi mara mbili mbili kuongeza mapato kufanya matumizi yasiyo na kipaumbele au umuhimu.
View attachment 1926880
Hizo sio kodi ni Tozo za kufosi kingiLIPA KODI; Jenga nchi
Acha upuuzi wewe! Magufuli hakuwa na akili za kijinga kama huyo MwiguluMwigulu huyu ni Masalia ya Magufuli, hakustaili kupewa uwaziri wowote ule.
Kmmmk walai Magufuli alikuwa mwanaume, nchi ilisonga bila kuumizana wala keleleMama yenu huyo , mlishangilia kifo cha pjm mtamkumbuka, sasa hivi ni mwendo wa kuzulula tozo ni mwendo wa safari. Mlivyokuwa wajinga mnashangilia.
😅😅😅😅😅😅 walishabikia kuongezwa elfu 50 kwenye mshahara? Upuuzi mtupuBado mna maumivu? Nilisikia shangwe za umma, wake kwa waume, walio ajirani na kutoka kwa wenye wenza ajirani, wakisifu na kushangweka kuwa baada ya miaka 5 migumu, hatimaye madaraja yamepanda, wamelipwa malimbikizo, paye imepunguzwa n.k
Imekuaje tena hii kauli ya kuzoea maumivu mtalaamu?
Ndiyo faida ya kuwa nchi yenye wananchi mafala. Viongozi wanatumbua na wananchi wanakamuliwa! Tutakiona cha mtema kuni kama hatutakuwa wakali.
Kwenye maji mmesahau? Wekeni tozo tunapolipia bill za maji.
Duuuh 😲😲🤣Waambieni mama D na Jumbe Brown masiempre wawaombee poo, labda watasikilizwa
Mpemba yupi ?!!Yule mpemba anaua nchi
🤣🤣Wale wataalamu wa chuma ulete na bukula ndiyo wapo salama sasa. miamala yao haipiti TCRA. Tena wanaweza kumpiga hata mama na meneja wa TRA.