Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Kmmmk walai Magufuli alikuwa mwanaume, nchi ilisonga bila kuumizana wala kelele
Bila kuumizana ? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli kufa usifiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kmmmk walai Magufuli alikuwa mwanaume, nchi ilisonga bila kuumizana wala kelele
Wewe au ndugu yako yeyote hamkuwahi kuumizwa naye?!Kmmmk walai Magufuli alikuwa mwanaume, nchi ilisonga bila kuumizana wala kelele
Wewe achana na magufuli huu ujinga wa tozo ni wa mwigulu na huyo mama tuwe wakweli!Mwigulu huyu ni Masalia ya Magufuli, hakustaili kupewa uwaziri wowote ule.
Nchi ilisonga ila sasa mnaletewa bill. Ni kama mtu aliyeenda hotelini akaagiza chakula akala akashiba akafurahi halafu alivyoletewa bill anashtuka. Miradi yote serikali ilifanya lazima ilipiwe. Hata kama serikali ikikopa hela za kujenga miradi ya maendeleo kuna siku itabidi waanze kulipa madeni. Hakuna cha bure duniani, kila kitu kina gharama.Kmmmk walai Magufuli alikuwa mwanaume, nchi ilisonga bila kuumizana wala kelele
Mafal.... AKA Wakulia-lia.....Ndiyo faida ya kuwa nchi yenye wananchi mafala. Viongozi wanatumbua na wananchi wanakamuliwa! Tutakiona cha mtema kuni kama hatutakuwa wakali.
Ningewaelewa kama kweli wako serious ilikuwa ni kulifilisi shirika na kujenga shirika jipya kuanza zero kama shirika jipya kuendeshwa kisasa na wafanyakazi wapya hapo ningejuwa wako serious lakini unawapa walewale kosa kubwa. Hili kosa linataka kujirudia katika SGR reli mpya walitakiwa kujenga shirika jipya sio kuwakabidhi TRC waliouwa reli ya kati utegemee waliendeshe na hili watauwa tu. jenga kitu kipya lakini naona hawa TRC kimbelembele kama wameshajikabidhi SGR kosa kubwa sana.Mkuu usemayo yana MANTIKI...shirika letu la NDEGE limekuwa na changamoto NYINGI MNO NA ZA KUTOSHA TU...
Ila.....
Na kesho jua litaendelea kutoka.....
Serikali ya awamu ya 5 na 6 wameamua KUTAFUTA SULUHU ya KUDUMU ya matatizo ya ATCL....uamuzi wao huo si wa kubezwa mno mkuu.....
Muda UTAONGEA kaka......
Kwa hiyo unaenda hotel unatizama Menu bila kuangali bei au? sijakuelewa mantiki yako kuna mtu anaenda hotel hana pesa mfukoni au unaenda unakula kuliko ulichonacho bill ikija kubwa unasema sina nipeni kazi ya kuosha vyombo? ndio maana kuna watu wanaenda kula kwa mama ntilie na mwingine anaenda chief kwa mfano na wengine 5 star sasa usiniambie una pesa ya mama ntilie unaenda chief ikija bill kubwa unaanza kupigia ukoo jamani mchango nilipe huku maana hakuna cha bure. Unakula kutoka na uwezo wako ndio yale yale ya kufanya harusi kubwa kuliko uwezo wako ukitegemea michango ya family ndio unaleta katika serikali. ujinga tuNchi ilisonga ila sasa mnaletewa bill. Ni kama mtu aliyeenda hotelini akaagiza chakula akala akashiba akafurahi halafu alivyoletewa bill anashtuka. Miradi yote serikali ilifanya lazima ilipiwe. Hata kama serikali ikikopa hela za kujenga miradi ya maendeleo kuna siku itabidi waanze kulipa madeni. Hakuna cha bure duniani, kila kitu kina gharama.
Sasa serikali si inafanya kwa niaba ya wananchi au? Miradi ya maendeleo inatumiwa na wananchi. Tena wananchi wanajivunia hiyo miradi maana wanaona nchi imeendelea baada ya miaka 60 ya uhuru. Sasa kwa nini wananchi hawakuuliza hiyo miradi inalipiwa vipi wakati ikijengwa maana hakuna kitu cha bure duniani leo? Mmependa na mliikubali kuletewa maendeleo, sasa ni zamu ya kuilipia. Bill hiyo mmeletewa sasa.Kwa hiyo unaenda hotel unatizama Menu bila kuangali bei au? sijakuelewa mantiki yako kuna mtu anaenda hotel hana pesa mfukoni au unaenda unakula kuliko ulichonacho bill ikija kubwa unasema sina nipeni kazi ya kuosha vyombo? ndio maana kuna watu wanaenda kula kwa mama ntilie na mwingine anaenda chief kwa mfano na wengine 5 star sasa usiniambie una pesa ya mama ntilie unaenda chief ikija bill kubwa unaanza kupigia ukoo jamani mchango nilipe huku maana hakuna cha bure. Unakula kutoka na uwezo wako ndio yale yale ya kufanya harusi kubwa kuliko uwezo wako ukitegemea michango ya family ndio unaleta katika serikali. ujinga tu
Equity bank wameshaanza kitambo,hiyo tarehe unayosema labda itapandaHabari wakuu,
Miamala yote ya fedha ya kibenki itayofanyika kupitia simu itaanza kukatwa tozo. Mathalan unataka kuhamisha fedha kutoka kwa Helena mwenye akaunti namba XX kwenda kwa Huruma mwenye Account namba XY na ukatumia simu kufanya mchakato huo utawajibika kuichangia Serikali katika ujenzi wa madarasa, zahanati na mengineyo waliyoyasema.
Kwanini Serikali wasingetumia pesa za kununulia ndege zisizozalisha na gharama za kufanya royal tour kufanya yote wanayotaka kufanya. Ni muda wa kufikiria kupunguza matumizi badala ya kututoza kodi mara mbilimbili kuongeza mapato kufanya matumizi yasiyo na kipaumbele au umuhimu.
View attachment 1926880
Hapa bill inaletwa kabla ya huduma na mbaya zaidi huduma yenyewe hujaiomba......Sasa serikali si inafanya kwa niaba ya wananchi au? Miradi ya maendeleo inatumiwa na wananchi. Tena wananchi wanajivunia hiyo miradi maana wanaona nchi imeendelea baada ya miaka 60 ya uhuru. Sasa kwa nini wananchi hawakuuliza hiyo miradi inalipiwa vipi wakati ikijengwa maana hakuna kitu cha bure duniani leo? Mmependa na mliikubali kuletewa maendeleo, sasa ni zamu ya kuilipia. Bill hiyo mmeletewa sasa.
Sawa mzee baba ila kwanini hawakusema na miaka yote madeni yalilipwa na nini mbona hatukuona hizi bill zama za Mkapa, Kikwete wala MagufuliNchi ilisonga ila sasa mnaletewa bill. Ni kama mtu aliyeenda hotelini akaagiza chakula akala akashiba akafurahi halafu alivyoletewa bill anashtuka. Miradi yote serikali ilifanya lazima ilipiwe. Hata kama serikali ikikopa hela za kujenga miradi ya maendeleo kuna siku itabidi waanze kulipa madeni. Hakuna cha bure duniani, kila kitu kina gharama.
Mama yeye ni Masalia ya nani?Mwigulu huyu ni Masalia ya Magufuli, hakustaili kupewa uwaziri wowote ule.
Ndio unaona sasa [emoji3]Sawa mzee baba ila kwanini hawakusema na miaka yote madeni yalilipwa na nini mbona hatukuona hizi bill zama za Mkapa, Kikwete wala Magufuli
Tutamkubuka kwa mema aliotutendea kama taifa ameacha alama! Japo vizabi zabina aliwakomesha ila ilikuwa ni kwa manufaa ili nchi itawalike na nidhamu iwepoHakika na alisema mtanikumbuka. Sasa hata mwaka halijaisha tushaanza kumkumbuka.
Halijasemwa hivyo! Wamesema ni tozo za uzalendo kwa ajili ya maendeleo yetu ila sio michango ya kulipa madeniNdio unaona sasa [emoji3]