Tozo zatinga kwenye mabenki, kuanza kukusanywa Septemba 8, 2021

Tozo zatinga kwenye mabenki, kuanza kukusanywa Septemba 8, 2021

Waendelee kuimba tu mama huyooo mamaa [emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23]Kabisa mkuu!
.
Zikisikika shangwe toka kila kona ya nchi kwamba baada ya manyanyaso ya miaka 5 bila kupanda madaraja, sasa madaraja yamepanda, payee imepunguzwa huku wakishangilia sasa wanapumua.

Nashauri kiwango kiongezwe maana ni wakati huu ambapo tumepanda madaraja na tunapumua baada ya kuonewa sana kwa miaka 5
 
  • Thanks
Reactions: nao
Waambieni mama D na Jumbe Brown masiempre wawaombee poo, labda watasikilizwa

Tunazichukia tozo sababu ya ugumu wa maisha tulionao kitakachotupa unafuu ni kupata faida zinazotokana na tozo kupunguza makali ya maisha.

Tozo zikiwepo kwa mwananchi ili kumuwezesha mwananchi kupata huduma hadimu na muhimu sio tatizo kabisaa.

Sheria zishapita, Kukatwa tushakatwa, Sasa wacha tusubiri tuone matokeo
 
Halijasemwa hivyo! Wamesema ni tozo za uzalendo kwa ajili ya maendeleo yetu ila sio michango ya kulipa madeni
Endelea kusubiri Kama Kuna siku utaambiwa na serikali kuwa tozo flani ni za kulipia madeni
 
Sawa mzee baba ila kwanini hawakusema na miaka yote madeni yalilipwa na nini mbona hatukuona hizi bill zama za Mkapa, Kikwete wala Magufuli
Tulifutiwa au niseme tulisamehewa madeni ya kimataifa wakati wa Kikwete. Madeni ya nchi masikini za Afrika yalifutwa enzi zile kampeni za "Debt relief".

"From 1996 to 2006, the second round of reform started. The second reform focused on areas like improving government financial services as well as strengthening the goals achieved from the previous reform.[10] One of the most difficult policy goal was the restructuring of the parastatals;[11] under the Poverty Reduction and Growth Facility (PRGF) programs implemented by the IMF, Tanzania successfully privatized most of the parastatals in manufacturing and agricultural sectors in 2005 (see Table A3).[12] As for the financial sector, a joint IMF–World Bank Financial Sector Assessment Program was approved to provide Tanzania with comprehensive and analytical support for better financial development.[10] Under this program, Tanzania received great support from donor countries and eventually unlocked the HIPC and MDRI debt relief to eliminate its existing debt.[13] "

 
Habari wakuu,

Miamala yote ya fedha ya kibenki itayofanyika kupitia simu itaanza kukatwa tozo. Mathalan unataka kuhamisha fedha kutoka kwa Helena mwenye akaunti namba XX kwenda kwa Huruma mwenye Account namba XY na ukatumia simu kufanya mchakato huo utawajibika kuichangia Serikali katika ujenzi wa madarasa, zahanati na mengineyo waliyoyasema.

Kwanini Serikali wasingetumia pesa za kununulia ndege zisizozalisha na gharama za kufanya royal tour kufanya yote wanayotaka kufanya. Ni muda wa kufikiria kupunguza matumizi badala ya kututoza kodi mara mbilimbili kuongeza mapato kufanya matumizi yasiyo na kipaumbele au umuhimu.

View attachment 1927435
Ndege utakuja kuona yake zitakapototoa, wacha zimalize kulalia kwanza.
 
Royal tour yetu tunaimalizia marekani, acha nauli itafutwe......
 
WAWEKE NA TOZO KILA UKIVUTA PUMZI TUWE TUNALIPIA BUKU, AMA KWELI UKISTAAJABU YA MUSSA UTAYOANA YA FIRAUNI, NAJIHISI MPAKA AIBU KUMSIFU MWENDAZAKE, WACHUMI NA WATAALAMU WA KODI WA HII NCHI WANAPOKEA MSHAHARA WA BURE HAKUNA WANACHOKIFANYA. IKIWEZEKANA WAWEKE NA TOZO KWENYE POSHO NA MISHAHARA YA WABUNGE. NARUDIA TENA NILISTAAJABU YA MUSSA SASA NAYAONA YA FIRAUNI, KILA LA KHERI WASAKATONGE.
 
[emoji2][emoji116]
IMG_20210908_135117.jpg
 
Nyingine hii

Dear Customer, Effective Sept 8th 2021 the solidarity levy will be applicable on Banking transactions via Mobile and will continue to apply on Mobile Money tran
Hatupoi mwaka huu,

Wamiliki wa gesti wameletewa tozo ya kitanda.
 
Hatupoi mwaka huu,

Wamiliki wa gesti wameletewa tozo ya kitanda.
Nahisi tozo ya 'kukojoa' itafuata... na nyingine zitafuata kama ifuatavyo:

Tozo ya kutongoza

Tozo ya kuoa

Tozo ya kulewa

Tozo ya kunywa juisi

Tozo ya kupumua

Tozo ya kuwaza

Tozo ya umbeya

Tozo ya kulia au kucheka

Tozo ya kufurahi

Tozo ya kuwa na familia

Tozo ya kufa

Tozo ya kujisaidia haja kubwa

Tozo ya ...... etc
 
Hapo safi kabisa, miamala ya simu hutumiwa na watu wa kipato kidogo na Kati huku miamala ya Benki hutumiwa na watu wa kipato Cha juu, makampuni na wa Kati pia. Sasa wote wamedakwa kwenye Kodi ya uzalendo. Hakuna wa kuikwepa.
 
Mwenyewe nimetumiwa huu ujumbe na airtel sema ambacho sielewi mpaka sasa ni kwamba hizi tozo zote ni kwa ajili ya government au haya makampuni nayenyewe yameona yajiongeze sio!

Kama ni za government mbona kuna hizi ambazo zishaanza kuwa implemented au kiasi kinachopatikana hakitoshi? kama hakitoshi si wajenge tu hiyo miradi taratibu kwani wakianza kujenga hizo sijui hospitali kwa kanda mfano waanze pwani or whatever zone then waende hivo taratibu

Kwani tuna haraka ya kwenda wapi wajomba au kuna mtu kapewa promise tz inabidi iwe vipi kipindi fulani anyway wanasema when you are lost speed is useless
 
Back
Top Bottom