Tozo zatinga kwenye mabenki, kuanza kukusanywa Septemba 8, 2021

Tozo zatinga kwenye mabenki, kuanza kukusanywa Septemba 8, 2021

AWAMU HII YA 6 imeona kitu....

AWAMU HII YA 6 inatambua vyema MALALAMIKO YA BAADHI YA WATANZANIA kuhusu TOZO mbalimbali......

Ila......

IMEONA KITU.....

Ndani ya mwezi tu baada ya makusanyo ya zile BILIONI 63....zikapelekwa kujengewa vituo vya afya zaidi ya 200....

HILI HALIJAWAHI KUTOKEA.....

Ni suala la muda tu WATANZANIA TUTAMUELEWA VYEMA MH.SSH......

#MwanzoMgumu
#SiempreJMT
#TozoKwaMaendeleoYetu
#SemaUtaifanyiaNiniNchiYakoTulivuNaYenyeAmaniKulikoZoteAfrika
 
LIPA KODI; Jenga nchi
Kodi hailipwi kwa style hii mkuu, hii no kuumizana. Kwani hapo swali madarasa na vituo vya afya vilikuwa havijengwi? Hakuna anayekataa kulipa Kodi lakini this is too much
 
Huyu Mama nilikuwa na namuunga mkono lakini kila leo anazidi kunitoka wakati mwingine namkumbuka JPM japo sijawahi kumpenda lakini kwa sasa naona Marehemu pamoja na mapungufu yake lakini alikuwa afadhali alikuwa anajuwa kucheza na akili za watu anauma akiona upepo unaenda vibaya anaingilia kati na kujitoa na lawama tunamuona mwamba huyu Mama hajielewi.

Ok tusema tunataka kujenga Zahanati na Madarasa kwani wasiseme kiasi kinachotakiwa ni hichi tukikusanya hichi basi inatosha au ndio kimekuwa kichaka cha kupiga pesa maisha kwa maana yakiisha madarasa watasema sasa tunajenga vyoo, baadae nyumba za walimu, baadae barabara sijui baadae upuuzi mwingine hii tozo ni utapeleli na kichaka za kuiba pesa wazi kabisa. Mama jitafakari hakukuwa na haja kujigamba tumelipa mabilioni ya ndege cash malipo ya kwanza Billion 250 sijui kitu sio kipaumbele hapohapo unakuja kusema tumekusanya Billion 68 zimejenga madarasa na zahanati 200 na bado unakusanya. sasa kweli hizo billion 250 mngejenga vingapi?

Na bado kuna malipo awamu ya pili. Unaumiza wananchi na hii kibri yako itakupeleka chini hautapona na hili wala hutakumbukwa na lolote zuri, wamekuingiza katika mtego na umeingia kichwa kichwa maadui zako wa 2025 tumia akili Mama siasa za bongo fitna na wewe wamekupatia sana na kama hujielewi. Donors country
 
AWAMU HII YA 6 imeona kitu....

AWAMU HII YA 6 inatambua vyema MALALAMIKO YA BAADHI YA WATANZANIA kuhusu TOZO mbalimbali......

Ila......

IMEONA KITU.....

Ndani ya mwezi tu baada ya makusanyo ya zile BILIONI 63....zikapelekwa kujengewa vituo vya afya zaidi ya 200....

HILI HALIJAWAHI KUTOKEA.....

Ni suala la muda tu WATANZANIA TUTAMUELEWA VYEMA MH.SSH......

#MwanzoMgumu
#SiempreJMT
#TozoKwaMaendeleoYetu
#SemaUtaifanyiaNiniNchiYakoTulivuNaYenyeAmaniKulikoZoteAfrika
Zile Billion 250 malipo ya awali ya ndege wangejenga vituo vingapi? 800, kipi muhimu ndege au zahanati?
 
Zile Billion 250 malipo ya awali ya ndege wangejenga vituo vingapi? 800, kipi muhimu ndege au zahanati?
Mkuu wangu UVIKO itaisha ndugu.....

Hizo ndege zinakwenda KUINUA uchumi wetu BAADA TU ya kufunguliwa kwa anga za kimataifa....

Mkuu hulioni lengo la ROYAL TOUR ?!!!!

Liko kimkakati zaidi sambamba na UNUNUZI WA HIZO NDEGE.....

Ni suala la muda tu tutaelewa.....

Mkuu usisahau SERIKALI hiyohiyo ina mipango mingi mno ya kutekeleza....si sekta ya afya pekee....

#SiempreJMT
#TozoMuhimuKwaMaendeleoYetu
 
Hii nchi ukitaka uonekane Hero, Tengeneza tatizo kisha litatue. Hapo ikishafika siku za ukingoni wataondoa tozo zote ili waonekane wanasikiliza.
 
AWAMU HII YA 6 imeona kitu....

AWAMU HII YA 6 inatambua vyema MALALAMIKO YA BAADHI YA WATANZANIA kuhusu TOZO mbalimbali......

Ila......

IMEONA KITU.....

Ndani ya mwezi tu baada ya makusanyo ya zile BILIONI 63....zikapelekwa kujengewa vituo vya afya zaidi ya 200....

HILI HALIJAWAHI KUTOKEA.....

Ni suala la muda tu WATANZANIA TUTAMUELEWA VYEMA MH.SSH......

#MwanzoMgumu
#SiempreJMT
#TozoKwaMaendeleoYetu
#SemaUtaifanyiaNiniNchiYakoTulivuNaYenyeAmaniKulikoZoteAfrika
@Crimea Musiba mwingine wa awamu ya 6 aliyekurithi huyu hapa
 
Habari wakuu,
Miamala yote ya fedha ya kibenki itayofanyika kupitia simu itaanza kukatwa tozo. Mathalan unataka kuhamisha fedha kutoka kwa Helena mwenye akaunti namba XX kwenda Huruma mwenye Account namba XY na ukatumia simu kufanya mchakato huo utawajibika kuichangia Serikali katika ujenzi wa madarasa, zahanati na mengineyo waliyoyasema.

Kwanini Serikali wasingetumia pesa za kununulia ndege zisizozalisha na gharama za kufanya royal tour kufanya yote wanayotaka kufanya. Ni muda wa kufikiria kupunguza matumizi badala ya kututoza kodi mara mbili mbili kuongeza mapato kufanya matumizi yasiyo na kipaumbele au umuhimu.

View attachment 1926880
Ukweli ni Huu...
IMG_20210822_215259.jpg
 
Tulipe kodi..kwa maendeleo ya Taifa letu..

Dada zetu wa Corner bar,Mwananyamala,Uwanja wa Fisi,Sudan,Kigamboni na kwingineko nchini biashara yao iongezwe thamani waanze kulipa kodi..
Mbususu iliyotumika zaidi ya mwaka 1 unaiongezaje thamani ????
 
Mkuu wangu UVIKO itaisha ndugu.....

Hizo ndege zinakwenda KUINUA uchumi wetu BAADA TU ya kufunguliwa kwa anga za kimataifa....

Mkuu hulioni lengo la ROYAL TOUR ?!!!!

Liko kimkakati zaidi sambamba na UNUNUZI WA HIZO NDEGE.....

Ni suala la muda tu tutaelewa.....

Mkuu usisahau SERIKALI hiyohiyo ina mipango mingi mno ya kutekeleza....si sekta ya afya pekee....

#SiempreJMT
#TozoMuhimuKwaMaendeleoYetu
Natamani kama unafanya jokes tu nitakuelewa ila kama uko serious....mhhh. shirika la ndege lilikufa kabla ya Corona. Kweli tumefikia mwisho wa kuwaza kukusanya kodi tunawatumia watu dhaifu tutauwa kama tuliyouwa korosho taratibu tu.
 
Jana asubuhi namtumia pesa mdau kijijini akiwa na line ya voda mi nikiwa na tigopesa niliona hii issue ni sio,ni WIZI kama wizi mwingine ambapo Serikali ikishirikiana na sekta binafsi(Banks na Makampuni ya simu) Kuwaibia wanyonge.Nilikuwa nimtumie mdau kama laki 1 (100,000 tsh) . Mi asubuhi kucheck sina pesa kwenye tigopesa hivyo ikabidi nihamishe 110,000 toka CRDB kwenda tigopesa.

Kucheck gharama ya muamala huo kwa benk ni tsh 6500 hv. Yaani 5400 na VAT 940. Sasa ikafika hatua ya kutuma tigo pesa kwenda mpesa ikanicost tena tsh 4500. Hapo jumla sh 11,000. Kama gharama ya kuhamisha benk CRDB to tigopesa na tigopesa kwenda Mpesa. Ilibidi nitume 106,000 ili naye aweze kutoa hiyo 100,000.

So jumla ya kuhakikisha mdau anapata 100,000 nilitumia 11,000 ya awali na 6000 jumla 17,000. Hii ni zaidi ya riba ya kukopeshana kwenye mabenki kwa mwaka mzima. Gharama nilioingia ni 17% ya laki 1 ndani ya dk 2 tu za kufanya muamala huo. Wakati mtu angekopa laki 1 angelipa laki 1 na riba elfu 15 ndani ya mwaka mzima.

Kwa hili hatari iliyopo ni kwamba watakaothirika ni ndugu zetu ambao wanatutegemea kwa namna moja au nyingine. Mfano ikiwa Huna pesa kabisa ingebidi ubalance hiyo laki itoshe kila kitu. So huenda yule mdau angepokea 83,000 na kushindwa kutimiza lengo na kama lengo ni matibabu, ada ya shule n.k hapo inakuwa hatari zaidi.

Hatari nyingine ni kwamba tunarudi nyuma miaka 20 hivi. Maana itabidi watu waingie ndani benki kutoa akaunti moja na kuingiza akaunti nyingine na hivyo hatari ni kuwa lengo la kujenga zahanati, madarasa halitatimia kwa kuwa miamala hiyo haina tozo na mwakani itabidi turudi kufuta hili.

Najua kukosea huwa kupo kwa kilabinadamu Including serikali. Wangesawazisha hili mapema kwa kukusanya kidogo mfano 1000 au 500 kwa transactions na namba ya miamala ingekuwa mingi miamala ambayo inafanyika na lengo lingetimia bila kumuumiza mtu wa chini. Hili hawajachelewa ila wakiendelea hivi watapoteza vyote ikiwemo trust kwa wananchi na pesa wanaotegemea kukusanya.
Wanaupiga Mwingi serikali
 
Natamani kama unafanya jokes tu nitakuelewa ila kama uko serious....mhhh. shirika la ndege lilikufa kabla ya Corona. Kweli tumefikia mwisho wa kuwaza kukusanya kodi tunawatumia watu dhaifu tutauwa kama tuliyouwa korosho taratibu tu.
Mkuu usemayo yana MANTIKI...shirika letu la NDEGE limekuwa na changamoto NYINGI MNO NA ZA KUTOSHA TU...

Ila.....

Na kesho jua litaendelea kutoka.....

Serikali ya awamu ya 5 na 6 wameamua KUTAFUTA SULUHU ya KUDUMU ya matatizo ya ATCL....uamuzi wao huo si wa kubezwa mno mkuu.....

Muda UTAONGEA kaka......
 
Bomu linalotengenezwa likianza kulipuka, nchi itakuwa ngumu kutawalika
 
Back
Top Bottom