DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Jamaa Bora hata asingesoma, Ni KERO sanaKilaza sana, halafu anajiita daktari wa uchumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa Bora hata asingesoma, Ni KERO sanaKilaza sana, halafu anajiita daktari wa uchumi
Umeona eenhh??!. Watumishi tushaota suguHii Nchi imeshakua tayari ya moto! Ingawa kwa sisi watumishi wa umma, kitambo haya maumivu tulishayazoea.
Muhuni tu huyoJamaa Bora hata asingesoma, Ni KERO sana
Mwenyewe nimetumiwa huu ujumbe na airtel sema ambacho sielewi mpaka sasa ni kwamba hizi tozo zote ni kwa ajili ya government au haya makampuni nayenyewe yameona yajiongeze sio!
Kama ni za government mbona kuna hizi ambazo zishaanza kuwa implemented au kiasi kinachopatikana hakitoshi? kama hakitoshi si wajenge tu hiyo miradi taratibu kwani wakianza kujenga hizo sijui hospitali kwa kanda mfano waanze pwani or whatever zone then waende hivo taratibu
Kwani tuna haraka ya kwenda wapi wajomba au kuna mtu kapewa promise tz inabidi iwe vipi kipindi fulani anyway wanasema when you are lost speed is useless
Uongozi wasipewe watu maskiniWaziri wa fedha hatakiwi kutokea mkoa masikini ataumiza sana Wananchi wake maana anataka yeye na kundi lao ndio wale matunda ya Nchi..
Serikali imegundua njia rahisi sana ya kupata fedha, kupitia vitu ambavyo hata wananchi masikini hawawezi kuviepuka.Hakika huyu anaupiga mwingi tena mwingi sana keshakuja na tozo kubwa kwenye miamala yote ya benki
Huyu mama atatuua narudia tena atatuua na bado siku si nyingi tutatangaziwa tozo mpya kwenye mitandao ya kijamii
Navyosikia hasira ni basi tu,najikaza tu hapa natamani hata nitu.... lakini wacha nivumilie tu.
Tena msiba mzito Sana[emoji3525]Duh, kweli tumefiwa.
Sasa si Bora TU upeleke kwa wakala uweke burembona hii ilishaanza siku nyingi ama, nilituma pesa kutoka kwenye simu kwenda bank 85,000 niliambiwa ada ni 5000 na Tozo 2500 jumla 7500. ilishaanza hii
hatuweki benki sasa[emoji23][emoji23]Wakiona hamtumi pesa watahamia kwenye deposit na ATMs!