Tozo zetu hazifanyi kazi tulizoambiwa

Tozo zetu hazifanyi kazi tulizoambiwa

Ego is the Enemy

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
8,201
Reaction score
16,246
Habari zenu wanajukwaa.

Hili suala napenda lifike mamlaka zinazohusika.

Jamani tuliambiwa michango inajenga madarasa n.k Ila Cha kushangaza tunaanza kuibiwa kuwa tuchangie hela ya ujenzi.

Hebu afisa elimu mkoa wa mwanza ,afisa elimu wilaya,karibu elimu kata na wizara mwenye dhamana unalijua kuwa wasaidizi wako huku wamejiwekea namna ya upigaji kwa mgongo sijui wa kujifanya Kama wao wanaoipenda hii nchi.

Tozo, mafuta, hela za chanjo hazitumiki vizuri, kumbuka sie ni machinga na saivi tumefukuzwa tumepelekwa maeneo ambayo hayana wateja wanadai kufikia uchaguzi tutakuwa tumezoea. Hatuuzi kabisa hapa tulipo. Mnaanza Tena kutuletea kuwa tuchangie ujenzi wa shule kwani serikali imeshindwa kufanya wajibu wake kwa wananchi kweli Raisi Samia Hassan suluhu.

Shule zetu pendwa zimeanza michango ambayo Haina mbele Wala nyuma.

Hii shule mwezi uliopita waliomba mchango wa shilling Elfu tano (5000/=) kwa kila mwanafunzi wa darasa la sita kwa kila mwezi mpaka wanamaliza la Saba.

Mpaka la Saba Ina Mana tutakuwa tumechangja Ada ya shule jumla ya ~60k

Eti la kuwafundisha masomo ya jioni ili wakiingia sekondari wawe wanajua kusoma kabisa kabisa. Yaani wao hawawezi kufundisha kwa kazi waliyoajiriwa nayo, wamezoea mshahara wanaona ni mdogo, yaani wao hawana wito wa kufundisha mpaka wabustiwe, hawawezi kuwaza miradi mingine nje ya kufundisha wanabaki kutuumiza.

Wao wanawapenda Sana watoto wetu mpaka wanaomba kulipwa ili kuwafundisha.

Kama wanajua kuwa kusoma twisheni ndo kufaulu sijui wao ni kwa Nini hawakusoma iyo twisheni ili wafaulu matokeo Yao wakaishia kidato pendwa.

ombi langu kama walimu wanataka kufundisha twisheni basi iwe hiari kwa mtoto ama mzazi wake.

Sasa cha kushangaza MTT asipopeleka wanamchapa na kumrudisha nyumbani. Muacheni asome yale yale masomo ambayo serikali ilikuajiri uje kufundisha.

Yaani mie hapa nalia na hapa nilipo nina siku nne siuzi matunda yangu yameoza afu naombwa mchango wa ujenzi wa shule na huku tuliambiwa kuwa hela zetu zimetolewa kwa ujenzi wa madarasa manne manne kila shule.

Enzi za JPM hii michango iliisha.

Natumaini andiko langu litawafikia walengwa

Naomba niambatanishe na ushahidi kabisa

IMG_20211116_155816_528.jpg
 
Hizi maazimio ya wazazi ni kuwa wapo wachache wanapangwa kushabikia kuwa tuchangie.

Wao wafanye hiari Mana sio kuwa wao walimu ndio Wana uchungu na mwanangu.

Watoto wanatoka saa 12 jioni yaani mtoto wa primary anafundishwa masomo yenye uzito gani huo mpaka watoke muda huo.

Wanashindwa kuwandaa tokea mapema wanakuja kuzma Moto mwishoni.

Kiukweli hii michango Kuna watu inatumiza Sana na Kuna wakinana wanalia wanadai kuwa mpaka wale ganji hela ya matumizi ivyo anabana wanawe wasipate lishe nzuri kwa hela aliyoachiwa na mmewe Bali apelekee walimu.

Wafundishwe kwa muda wa kawaida wa serikali.

Kama mzazi atataka afundishwe kwa muda mwingine wa ziada atatafuta mwalimu wake mwenyewe.

Mtoto hata hapati muda wa kupumzika na kumeng'enya alivyofundishwa.

Naombeni wanaohusika na hili suala waliangalie Mana tunaumizwa Sana Tena Sana.

Walimu najua kipato kidogo mpe kijana boda ya mktaba na hapo mpaka ujibane miaka mitano tunajua mshahara ni mdogo.
 
Umeeleza mengi mazuri lakini ulipodai wakati wa Magufuli eti michango haikuwepo umesema uongo.
 
Siku uje unirudishie mtoto nyumbani kwa huu ujinga ndo nitafahamika mimi ni nani!!.

Ntaghutuna ubhukangi!![emoji51][emoji51]
 
utatwanga maji kwenye kinu, ccm ni ilele milele na milele amina, jitaidi kupaza sauti mahaili ulipo tupate katiba mpya tuweke viongoz watakao sikiriza wanainchi kama waajiri matatizo yote hayo yataisha.
 
Habari zenu wanajukwaa.

Hili suala napenda lifike mamlaka zinazohusika.

Jamani tuliambiwa michango inajenga madarasa n.k Ila Cha kushangaza tunaanza kuibiwa kuwa tuchangie hela ya ujenzi.

Hebu afisa elimu mkoa wa mwanza ,afisa elimu wilaya,karibu elimu kata na wizara mwenye dhamana unalijua kuwa wasaidizi wako huku wamejiwekea namna ya upigaji kwa mgongo sijui wa kujifanya Kama wao wanaoipenda hii nchi.

Tozo, mafuta, hela za chanjo hazitumiki vizuri, kumbuka sie ni machinga na saivi tumefukuzwa tumepelekwa maeneo ambayo hayana wateja wanadai kufikia uchaguzi tutakuwa tumezoea. Hatuuzi kabisa hapa tulipo. Mnaanza Tena kutuletea kuwa tuchangie ujenzi wa shule kwani serikali imeshindwa kufanya wajibu wake kwa wananchi kweli Raisi Samia Hassan suluhu.

Shule zetu pendwa zimeanza michango ambayo Haina mbele Wala nyuma.

Hii shule mwezi uliopita waliomba mchango wa shilling Elfu tano (5000/=) kwa kila mwanafunzi wa darasa la sita kwa kila mwezi mpaka wanamaliza la Saba.

Mpaka la Saba Ina Mana tutakuwa tumechangja Ada ya shule jumla ya ~60k

Eti la kuwafundisha masomo ya jioni ili wakiingia sekondari wawe wanajua kusoma kabisa kabisa. Yaani wao hawawezi kufundisha kwa kazi waliyoajiriwa nayo, wamezoea mshahara wanaona ni mdogo, yaani wao hawana wito wa kufundisha mpaka wabustiwe, hawawezi kuwaza miradi mingine nje ya kufundisha wanabaki kutuumiza.

Wao wanawapenda Sana watoto wetu mpaka wanaomba kulipwa ili kuwafundisha.

Kama wanajua kuwa kusoma twisheni ndo kufaulu sijui wao ni kwa Nini hawakusoma iyo twisheni ili wafaulu matokeo Yao wakaishia kidato pendwa.

ombi langu kama walimu wanataka kufundisha twisheni basi iwe hiari kwa mtoto ama mzazi wake.

Sasa cha kushangaza MTT asipopeleka wanamchapa na kumrudisha nyumbani. Muacheni asome yale yale masomo ambayo serikali ilikuajiri uje kufundisha.

Yaani mie hapa nalia na hapa nilipo nina siku nne siuzi matunda yangu yameoza afu naombwa mchango wa ujenzi wa shule na huku tuliambiwa kuwa hela zetu zimetolewa kwa ujenzi wa madarasa manne manne kila shule.

Enzi za JPM hii michango iliisha.

Natumaini andiko langu litawafikia walengwa

Naomba niambatanishe na ushahidi kabisa

View attachment 2012950
Kiongozi acha ulalamishi mbona hiyo barua inaonyesha ni makubaliano yaliyofikiwa katika vikao halali vya wazazi?.
 
Ebu changia kidogo kaka yaani unataka mtoto asome bure kabisa alafu wewe kama mzazi upo kweli utajiita baba kweli mtoto lazima umpambanie kwa kila hali kuna watu wanasomesha watoto kwa hela ndefu sasa hizi kidogo ebu tuwe tunaipa serikali kidogo tafu mzazi japo baadae mtoto unaweza ata kumfokea kuwa ulimsomesha
 
Tozo wanachanja nazo mbuga tu. Wizi mtupu.
 
Makubaliano ya nini ikiwa mlisema tozo ndio zitafanya hiyo kazi?
Achana na tozo kiongozi,hapo wazazi mlikubaliana na wewe ukiwepo kama mzazi mchangie elfu 2 kila mzazi ,sasa kuja kulia lia huku ni usaliti kwa wazazi wenzio.Nadhani ingekuwa busara sana kwako kuja kuuliza ni jinsi gani mnaweza kuzifanyia auditing hizo pesa mnazochangia ili kujiridhisha zinatumika katika jambo kusudiwa.
 
Kiongozi acha ulalamishi mbona hiyo barua inaonyesha ni makubaliano yaliyofikiwa katika vikao halali vya wazazi?.
Nashangaa hapo walimu wanahusikaje ikiwa barua inaonesha ni maazimio ya vikao vya wazazi,barua imesainiwa na mwenyekiti wa kamati ya wazazi hamna sehemu nimeona mwalimu akihusika
Ndugu mwandishi jitahidi kuwa unahudhuria vikao
 
Umeeleza mengi mazuri lakini ulipodai wakati wa Magufuli eti michango haikuwepo umesema uongo.
Ukweli ni upi?
Sisi wazazi hatukuona michango Kwenye shule yetu wewe kwenu ulioona na azimio la serikali lilikuwaje?
 
Kuna pesa za tozo na zile za IMF zote hazijatosha kujenga madarasa, hii nchi tunapigwa...
 
watu wanasomesha watoto kwa hela ndefu
Waacha wawasomeshe mkuu ni chaguzi zao. Mie nimeamua kuchagua ambapo serikali inanilipia. Nikuambie nimesoma recently. From STD 1 mpaka chuo sijamaliza hata milioni nimeingia chuo serikali ikanilipia asilimia Mia mkopo.
Sijasoma twisheni Wala babake. Boarding miaka sita kula kulala kusoma mpaka maji umeme na choo bure. Afu nikakutana na hao walisoma kwa pesa ndefu mpaka wengine wakawa wanadisco ama unamuacha mbali Sana.
So siamini kuwa hela ndizo zinamfanya mtu anasoma kusoma kupo kichwani kwa mtu.

Ama kwenda Serena na kunywa soda ya Mia tano kwa alfu tano sio kuwa na wewe utakuwa tajiri.
Going outside and buying expensive cigarette doesn't make you rich waingereza wanasema.
Yaani mwanangu hatumii hata kumi shilingi.
Kusoma ni bure kabisa na maarifa yapo kila sehemu ni wewe tu kutokuwa mvivu wa kuyatafuta
 
Back
Top Bottom