Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Uzi wa kupima mitazamo ya wadau dhidi ya GERMAN MACHINEGame imeshaisha hii. Hongera sana wananchi. Haikuwa na namna ni kuwachapa hao waduanzi kwao na kisha kuja kuwachapa na huku kwetu.
TP Mazembe ilikuwa zamani kwa sasa jamaa ni wazembe sana. Ni majamaa mazembe. Tipwa Tipwa Mazembe. TP Mazembe. Wachezaje sasa wamemwelewa coach wa kijerumani. Soka linapigwa la Bundasliga
Pole mzee baba...ila leo goli muhimu..Dah! Mimi kama shabiki wa Yanga nashindwa kabisa kuwawekea dhamana kwa kweli, kutokana na ukweli kwamba timu yetu imepoteza mwelekeo kwenye hizi siku za karibuni.
Mazembe?Sawasawa.Mola awe nao.
Mwiko Football Club.Mazembe?
sio poa ..hatuna hali nzuriDah! Mimi kama shabiki wa Yanga nashindwa kabisa kuwawekea dhamana kwa kweli, kutokana na ukweli kwamba timu yetu imepoteza mwelekeo kwenye hizi siku za karibuni.
Kuwa mzalendo uwaombee dua njema aisee!Wehu unakunyemelea wewe wahi ukaanze tiba kabla haujaingia jalalani
Kuwa na amani mkuu, tunashindaDah! Mimi kama shabiki wa Yanga nashindwa kabisa kuwawekea dhamana kwa kweli, kutokana na ukweli kwamba timu yetu imepoteza mwelekeo kwenye hizi siku za karibuni.
😅We kolo nae hupitwiPole mzee baba...ila leo goli muhimu..
Kwenye timu hakunaga uzalendo hata kwa bahati mbaya wapigwe tuuKuwa mzalendo uwaombee dua njema aisee!
Acha uzwazwa wewe ndo maana unaambiwa huna akili...haahah😅We kolo nae hupitwi
Subiria kesho shirikisho yenu, Leo ni CAFCL
Kwa kweliDah! Mimi kama shabiki wa Yanga nashindwa kabisa kuwawekea dhamana kwa kweli, kutokana na ukweli kwamba timu yetu imepoteza mwelekeo kwenye hizi siku za karibuni.
Tembea kifua mbele sheikh wangu hii game tumeimalizia huku huku huyu kocha alikuwa mbishi ameambiwa akae pembeni aache watu wajipange kama anataka ushindi.Dah! Mimi kama shabiki wa Yanga nashindwa kabisa kuwawekea dhamana kwa kweli, kutokana na ukweli kwamba timu yetu imepoteza mwelekeo kwenye hizi siku za karibuni.
Hongereni sana 🐸 🐸 🐸....Game imeshaisha hii. Hongera sana wananchi. Haikuwa na namna ni kuwachapa hao waduanzi kwao na kisha kuja kuwachapa na huku kwetu.
TP Mazembe ilikuwa zamani kwa sasa jamaa ni wazembe sana. Ni majamaa mazembe. Tipwa Tipwa Mazembe. TP Mazembe. Wachezaje sasa wamemwelewa coach wa kijerumani. Soka linapigwa la Bundasliga