TP Mazembe 8-0 Club Africain, tarehe 02 February 2019

TP Mazembe 8-0 Club Africain, tarehe 02 February 2019

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Mwaka 2019 tarehe kama ya kesho mwezi wa pili timu ya club africain kutoka nchini Tunisia ilipigwa nane bila na timu ya TP Mazembe pale mjini Lubumbashi nchini Congo DRC katika uwanja wa Stade TP Mazembe.

Hivi nawaomba mashabiki wa mikia aka makolo kama Gentacymine waache kimbele mbele kama masingle mama wa kwa mzee mwange kua TImu ya wananchi yanga Africans itafungwa na hawa watunisia kwa mkapa.

tp mazembe.png
 
Jamani Parapandaaa....!!!

Parapandaaa Italia Parapandaaa..!

Ehee Parapandaaa..!
Parapandaaa Italia parapanda

Utopolo wotee Watakuwa wamekwisha nyakuliwa...!

K

Jamani Parapandaaa....!!!

Parapandaaa Italia Parapandaaa..!

Ehee Parapandaaa..!
Parapandaaa Italia parapanda

Utopolo wotee Watakuwa wamekwisha nyakuliwa...!

Kwendaaaa..!

Kuenda Sindikizaaaa Wenzao..!

Nasemaa Parapandaaa..
Club africain na Mtibwa tofaut yao ni kwamba mtibwa na shamba la miwa na club africain hana
 
Ngoja tuone, tutakuwa pale kwa mkapa tukiwashangilia watoto wa mjomba
 
Hahaaaa
Jamani Parapandaaa....!!!

Parapandaaa Italia Parapandaaa..!

Ehee Parapandaaa..!
Parapandaaa Italia parapanda

Utopolo wotee Watakuwa wamekwisha nyakuliwa...!

Kwendaaaa..!

Kuenda Sindikizaaaa Wenzao..!

Nasemaa Parapandaaa..
 
Vipi mbumbumbu fc mnakumbuka hizi, Aibu Kwa Taifa.
Screenshot_20221101-120651.jpg
 
Back
Top Bottom