Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 6,581
- 11,572
muulize Nabi akwambia namna mnavyoshinda.sisi tunaanza kujiimarisha ndani tukitoka nje tutafika had fainali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muulize Nabi akwambia namna mnavyoshinda.sisi tunaanza kujiimarisha ndani tukitoka nje tutafika had fainali
inaonekana unamjua sana nabi na yule ni mwarabu, je kuna siri gani hapo au anakukula tunda kimasihara ?muulize Nabi akwambia namna mnavyoshinda.
Weka na ile simba 5 yanga 0Vipi mbumbumbu fc mnakumbuka hizi, Aibu Kwa Taifa. View attachment 2403832
Labda fainali uzeenisisi tunaanza kujiimarisha ndani tukitoka nje tutafika had fainali
humu jf vilaza wengi sanaMkiona Simba inacheza na Ihefu au singida Utopolo chukueni daftari na Kalam hamtakosa Cha kuchukua.
sisi tunaanza kujiimarisha ndani tukitoka nje tutafika had fainali
Haya haya mambo ya ujinga wenu wa kujipa matumaini kupitia kwa watu hivyo hivyo mlisema Al Hilal alipigwa mbili kirafiki pale Kinshasha mkajiaminisha lazima afe kwa Mkapa. Wajinga sana nyie mnatazamia matokeo ya watu yawe yenu wajinga sanaMwaka 2019 tarehe kama ya kesho mwezi wa pili timu ya club africain kutoka nchini Tunisia ilipigwa nane bila na timu ya TP Mazembe pale mjini Lubumbashi nchini Congo DRC katika uwanja wa Stade TP Mazembe.
Hivi nawaomba mashabiki wa mikia aka makolo kama Gentacymine waache kimbele mbele kama masingle mama wa kwa mzee mwange kua TImu ya wananchi yanga Africans itafungwa na hawa watunisia kwa mkapa.
Vipi mbumbumbu fc mnakumbuka hizi, Aibu Kwa Taifa. View attachment 2403832
nilikuwepo uwanjani hii mechiMwaka 2019 tarehe kama ya kesho mwezi wa pili timu ya club africain kutoka nchini Tunisia ilipigwa nane bila na timu ya TP Mazembe pale mjini Lubumbashi nchini Congo DRC katika uwanja wa Stade TP Mazembe.
Hivi nawaomba mashabiki wa mikia aka makolo kama Gentacymine waache kimbele mbele kama masingle mama wa kwa mzee mwange kua TImu ya wananchi yanga Africans itafungwa na hawa watunisia kwa mkapa.
Uwe na akili. Hicho ulichokiweka ndio kimeifanya simba iwe BORA kimataifa. Walianza kwa kufungwa vbaya nowadays SIMBA NI MIONGON MWA KLABU KUBWA AFRIKA. Klabu ya 11. Yanga bado yuko ktk hatua Ile ya KUWAOGOPA VIGOGO VYA AFRIKA. Simba yy ni Miongoni mwa vigogo wa AFRIKA. Msipowekeza uwanjani mtaendelea hivyo hvyo. SINCE 1998. AIBU KUBWAVipi mbumbumbu fc mnakumbuka hizi, Aibu Kwa Taifa. View attachment 2403832
HUNA AKILIMwaka 2019 tarehe kama ya kesho mwezi wa pili timu ya club africain kutoka nchini Tunisia ilipigwa nane bila na timu ya TP Mazembe pale mjini Lubumbashi nchini Congo DRC katika uwanja wa Stade TP Mazembe.
Hivi nawaomba mashabiki wa mikia aka makolo kama Gentacymine waache kimbele mbele kama masingle mama wa kwa mzee mwange kua TImu ya wananchi yanga Africans itafungwa na hawa watunisia kwa mkapa.
Haisadii Yanga kutofungwa.Mwaka 2019 tarehe kama ya kesho mwezi wa pili timu ya club africain kutoka nchini Tunisia ilipigwa nane bila na timu ya TP Mazembe pale mjini Lubumbashi nchini Congo DRC katika uwanja wa Stade TP Mazembe.
Hivi nawaomba mashabiki wa mikia aka makolo kama Gentacymine waache kimbele mbele kama masingle mama wa kwa mzee mwange kua TImu ya wananchi yanga Africans itafungwa na hawa watunisia kwa mkapa.
Kuliganisha TP Mazembe na yanga ni ujinga usiomithilika.Kwa hyo Yanga ni TP mazembe ya Tanzania?
wewe debe tupuHUNA AKILI