TP Mazembe 8-0 Club Africain, tarehe 02 February 2019

Mkiona Simba inacheza na Ihefu au singida Utopolo chukueni daftari na Kalam hamtakosa Cha kuchukua.
 
Haya haya mambo ya ujinga wenu wa kujipa matumaini kupitia kwa watu hivyo hivyo mlisema Al Hilal alipigwa mbili kirafiki pale Kinshasha mkajiaminisha lazima afe kwa Mkapa. Wajinga sana nyie mnatazamia matokeo ya watu yawe yenu wajinga sana

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
nilikuwepo uwanjani hii mechi
 
Vipi mbumbumbu fc mnakumbuka hizi, Aibu Kwa Taifa. View attachment 2403832
Uwe na akili. Hicho ulichokiweka ndio kimeifanya simba iwe BORA kimataifa. Walianza kwa kufungwa vbaya nowadays SIMBA NI MIONGON MWA KLABU KUBWA AFRIKA. Klabu ya 11. Yanga bado yuko ktk hatua Ile ya KUWAOGOPA VIGOGO VYA AFRIKA. Simba yy ni Miongoni mwa vigogo wa AFRIKA. Msipowekeza uwanjani mtaendelea hivyo hvyo. SINCE 1998. AIBU KUBWA
 
HUNA AKILI
 
Haisadii Yanga kutofungwa.
 
Utopoquine endeleeni kuota na kuvuta shuka wakati kumekucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…