TP Mazembe ilikuwaga ile ya Samatta tu

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman kwenu

Njoon tucheke

Hahahahahahaaahahaaaa tp mazembe ilikuwaga ile ya samata ila hii ni kibonde kwa mchina lazima ife na imekufa kweli


LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman kwenu

Njoon tucheke

Hahahahahahaaahahaaaa tp mazembe ilikuwaga ile ya samata ila hii ni kibonde kwa mchina lazima ife na imekufa kweli


LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app

Wazalendo wa Jangwani tulijiandaa kushangiliaaaa lkn ndo hivyo tena. Tungekuwa na uwezo tungeenda Lubumbashi tukonyeshe uzalendo![emoji35][emoji16][emoji35][emoji16]
 

Na kale katimu ambako ni maskini ila wanachama na wapenzi kwa pamoja wanatambia fedha au utajiri wa mtu mwingine kanaitwaje vile?? Yaani kenyewe ni maskini ila kwa kuwa mmoja wao ni tajiri na kanyewe kanajiita ni tajiri...Yaani hako hakaombi ila kamekaa chini kanaletewa chakula...
 
Hata chelsea na man city zina wawekezaji kama ilivyo simba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vp kale katimu kanakoomba kujiunga na mfuko wa TASAF?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…