Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,837
Vp umevua nguo..au Simba imeponzwa na BoccoYanga bana,kufatilia michezo ya wanaume tu. Game zao aibu kabisa bora hata niangalie rede nione hata chupi kuliko Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp umevua nguo..au Simba imeponzwa na BoccoYanga bana,kufatilia michezo ya wanaume tu. Game zao aibu kabisa bora hata niangalie rede nione hata chupi kuliko Yanga
Kwa kusubiria homa za vipindi za chama zipone,leo best player wa simba walikuwa nyoni na shabalala,simba hii ambayo ikienda ugenini inakuwa kama mshamba kaletwa mjini!!??labda aiseeGame bado bichiiii kwa wajuvi wa mpira,hao hata kwao wanatoka,hawana uzuri kama wa vita hawa,mputu huyo waliyemsifia hana lolote,kazidiwa hata na niyonzima
Game bado bichiiii kwa wajuvi wa mpira,hao hata kwao wanatoka,hawana uzuri kama wa vita hawa,mputu huyo waliyemsifia hana lolote,kazidiwa hata na niyonzima
Sasa unataka profit & loss account ya Simba ww una share kiasi gani?? Kwani hujui kawekeza kiasi gani?? Eti unafuatilia mpira, haya ww tueleze kwenye mfuko changia yanga kule Dodoma kiasi gani kimepatikana??Uwekezaji wa aina gani??? Kwa hiyo huyo mwekezaji wa Simba amewekeza kiasi gani?? Akaunti ya Simba inaonyeshaje? Tuelezwe profit and loss account ya simba ikoje kama ni kweli kuna uwekezaji hapo...
Sasa unataka profit & loss account ya Simba ww una share kiasi gani?? Kwani hujui kawekeza kiasi gani?? Eti unafuatilia mpira, haya ww tueleze kwenye mfuko changia yanga kule Dodoma kiasi gani kimepatikana??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tukiwa club bingwa kenyewe kawe shirikisho alafu tuona nani atatia aibu na kutoka kwenye mashindano mapemaYanga bana,kufatilia michezo ya wanaume tu. Game zao aibu kabisa bora hata niangalie rede nione hata chupi kuliko Yanga
Hakuna timu kama iyo, matonya ipo moja tu ambayo inazidiwa hata na mwadui fc.Na kale katimu ambako ni maskini ila wanachama na wapenzi kwa pamoja wanatambia fedha au utajiri wa mtu mwingine kanaitwaje vile?? Yaani kenyewe ni maskini ila kwa kuwa mmoja wao ni tajiri na kanyewe kanajiita ni tajiri...Yaani hako hakaombi ila kamekaa chini kanaletewa chakula...
Hawezi elewa maana ya uwekezaji huyo matonya fc ni matonya hadi kichwani.
Ndio matatizo ya kujua mpira ukubwani, fatilia vikao vya uwekezaji vya club ya simba utajua amewekeza kiasi gani kwa mwaka na wanachama kiasi na muda sio mrefu tutahamia kwenye uwanja wetu wa club. We subiria profit & Loss kwenye lile bwawa pale bondeni kila siku vyura wanasumbua wakazi wa mabondeni kwa keleleUwekezaji wa aina gani??? Kwa hiyo huyo mwekezaji wa Simba amewekeza kiasi gani?? Akaunti ya Simba inaonyeshaje? Tuelezwe profit and loss account ya simba ikoje kama ni kweli kuna uwekezaji hapo...
Huyo Mputu utamfahamu huko Lubumbashi
Hivi wale wachezaji wanaotangaza bakuli kwenye tv ndio usajili wao unavyosema, TFF hili inabidi waliangalie km usajili wa wachezaji ni hadi kuombaomba hela kwenye tv, soon tutakutana na Yondani ubungo mataa na bakuli lake...Kwani kuna ubaya gani kujiunga na mfuko huo???
Kwa kusubiria homa za vipindi za chama zipone,leo best player wa simba walikuwa nyoni na shabalala,simba hii ambayo ikienda ugenini inakuwa kama mshamba kaletwa mjini!!??labda aisee
Huyo bendera fata upepo hana anachojua khs simba, wakishakula mihogo pale jangwani na kuvimbiwa akili zinaishia hapohapoSasa unataka profit & loss account ya Simba ww una share kiasi gani?? Kwani hujui kawekeza kiasi gani?? Eti unafuatilia mpira, haya ww tueleze kwenye mfuko changia yanga kule Dodoma kiasi gani kimepatikana??
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo bendera fata upepo hana anachojua khs simba, wakishakula mihogo pale jangwani na kuvimbiwa akili zinaishia hapohapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna ubaya gani kujiunga na mfuko huo???
hakika hata mimi nimeona MPUTU kawa MPOTOGame bado bichiiii kwa wajuvi wa mpira,hao hata kwao wanatoka,hawana uzuri kama wa vita hawa,mputu huyo waliyemsifia hana lolote,kazidiwa hata na niyonzima