TP MAZEMBE ndiyo timu itakayoidhihirishia timu ya SIMBA kwamba haikustaili kabisa kufika hapo ilipofika.

TP MAZEMBE ndiyo timu itakayoidhihirishia timu ya SIMBA kwamba haikustaili kabisa kufika hapo ilipofika.

Baado ya droo kupangwa jana na timu ya Simba kupangwa na timu ya TP Mazembe ya mjini Lubumbashi mimi mtoa mada nesikia mashabiki wa Simba wakiinadi timu hiyo ya DRC kama ni timu nyepesi eti watatoboa na kutinga nusu fainali, kwa maneno mengine teyari wameisha ifunga TP Mazembe.

Mimi mtazamo wangu ni kwamba hii timu ya DRC yenye maskani Lubumbashi kusini mwa DRC keribu na Zambia ndiyo timu itakayotoa ukweli kwamba Simba haikustahili hata kufikia hapo ilipofika , imefika tu kwa fluke ya home advantage.

Sisemi kidkiteta nina sababu kadha wa kadha za kiufundi. Nazo ni kama ifuatavyo;-

1. Ni nani shabiki wa Simba atanibishia kwamba katika ligi ya hizo timu nne ni Simba pekee haikuweza kufunga goli ugenini
2. Ni nani atasita kustaajabu ni timu ya Simba imetinga robo fainali ikiwa ni timu iliyofungwa goli 13, hii ina maana gani, inamana ilichotegemea ni home advantage tu . lakini ingekuwa Head to head kama hatua inayofuata inamaana Simba ingefurushwa na VITA kwa kufungwa 5 na zidi ya 2 nyumbani au AL-aHLY 5 zidi ya 1 nyumbani.
3. Hatua inayofuata TP Mazembe wanaanzia ugenini, ina maana Simba hawajui wawafunge Mazembe magoli mangapi ili wasonge mbele tofauti na hatua iliyopita ambapo walikua wanajua waifunge VITA Club magoli mangapi ili wasonge mbele, hii ina maana gani ni TP MAZEMBE ambao ni wazoefu wa kufika hatua hizi ndo watakuwa wanajua waifunge Simba mangapi ili wasonge mbele.

4. Mpaka hatua ilipofikia Timu ya Simba haijaweza kupata ushindi ugenini, JE! hivi tutegemee hatua hii ndo wataanza kushinda ugenini? wacha kupata droo?

5. Woo eti Vita imeifunga TP MAZEMBE mabao 5 kwenye ligi yao ya nyumbani, kwani Simba iliifunga VITA mabao mangapi nyumbani kwao VITA.

6. Mpaka kufikia hatua hii ni TP Mazembe imefunga mabao mengi nyumbani na ugenini kuliko timu zote makundi yote mawili hivi Simba ina nini cha mno isifungwe mabao mengi ikiwa ndiyo timi ilyofungwa mabao mengi kuliko zote makundi yote hadi kufia hatua hii?

Kwa hiyo ninawaambie Simba kwa hatua inayofuata nina uhakika wa 100 kwa 100 ndo mtapewa aksante kushiriki, sijawahi kukosea hesabu zangu labda hii iwe ni mala ya kwanza
Umeandika mavi mkuu, tena mabichi na ya mtu mzima.
 
Baado ya droo kupangwa jana na timu ya Simba kupangwa na timu ya TP Mazembe ya mjini Lubumbashi mimi mtoa mada nesikia mashabiki wa Simba wakiinadi timu hiyo ya DRC kama ni timu nyepesi eti watatoboa na kutinga nusu fainali, kwa maneno mengine teyari wameisha ifunga TP Mazembe.

Mimi mtazamo wangu ni kwamba hii timu ya DRC yenye maskani Lubumbashi kusini mwa DRC keribu na Zambia ndiyo timu itakayotoa ukweli kwamba Simba haikustahili hata kufikia hapo ilipofika , imefika tu kwa fluke ya home advantage.

Sisemi kidkiteta nina sababu kadha wa kadha za kiufundi. Nazo ni kama ifuatavyo;-

1. Ni nani shabiki wa Simba atanibishia kwamba katika ligi ya hizo timu nne ni Simba pekee haikuweza kufunga goli ugenini
2. Ni nani atasita kustaajabu ni timu ya Simba imetinga robo fainali ikiwa ni timu iliyofungwa goli 13, hii ina maana gani, inamana ilichotegemea ni home advantage tu . lakini ingekuwa Head to head kama hatua inayofuata inamaana Simba ingefurushwa na VITA kwa kufungwa 5 na zidi ya 2 nyumbani au AL-aHLY 5 zidi ya 1 nyumbani.
3. Hatua inayofuata TP Mazembe wanaanzia ugenini, ina maana Simba hawajui wawafunge Mazembe magoli mangapi ili wasonge mbele tofauti na hatua iliyopita ambapo walikua wanajua waifunge VITA Club magoli mangapi ili wasonge mbele, hii ina maana gani ni TP MAZEMBE ambao ni wazoefu wa kufika hatua hizi ndo watakuwa wanajua waifunge Simba mangapi ili wasonge mbele.

4. Mpaka hatua ilipofikia Timu ya Simba haijaweza kupata ushindi ugenini, JE! hivi tutegemee hatua hii ndo wataanza kushinda ugenini? wacha kupata droo?

5. Woo eti Vita imeifunga TP MAZEMBE mabao 5 kwenye ligi yao ya nyumbani, kwani Simba iliifunga VITA mabao mangapi nyumbani kwao VITA.

6. Mpaka kufikia hatua hii ni TP Mazembe imefunga mabao mengi nyumbani na ugenini kuliko timu zote makundi yote mawili hivi Simba ina nini cha mno isifungwe mabao mengi ikiwa ndiyo timi ilyofungwa mabao mengi kuliko zote makundi yote hadi kufia hatua hii?

Kwa hiyo ninawaambie Simba kwa hatua inayofuata nina uhakika wa 100 kwa 100 ndo mtapewa aksante kushiriki, sijawahi kukosea hesabu zangu labda hii iwe ni mala ya kwanza

Lady Jaydee aliimba siku hazigandi. Msemo un maana kubwa.

1. Hayo maelezo yako ni sawa kama siku zinaganda au zinarudi, kwamba Simba ina namna na uwezo ule ule wa ilipofungwa 5, n.k. siyo kweli, kila kitu: mahala na timu zimebadilika. Usipoteze muda kutumia takwimu: statistics, wakati vilivyo static na vina maana kwenye timu ni jina, usajili, kocha n.k. na siyo performance.

2. Simba haijashinda ugenini. Umeirudia hii kwenye no. 2 na 4...mtu asiyekosea hesabu hawezi ku present redundant information

3. Binadamu ni dynamic na anafunction tofauti kwenye mazingira tofauti! unalinganisha league na knock-out. Hiyo ni mifumo ya game. Mshiriki wa game ana respond kwa mahitaji husika. Kama ni ushindi ushindi unahitajika, hata Simba atafanya the same kwa kufunga zaidi na kulinda zaidi ugenini accordingly! Ndiyo maana timu ile ile ikifungwa bila kutegemea huwa inacharuka na kufanya vyema zaidi! rejea performance ya Azam baada ya mabosi wao kufukuzwa; rejea effect ya motisha kama pesa et.c.; rejea effect ya mashabiki et.c.

4. Una haki kutoipenda Simba lakini usivuruge vichwa ambavyo vinaelewa common sense kwenye suala hili

5. Kwa walio sema Simba ni underdog, mbona hawasemi kati ya Taifa Stars na The Cranes nani Underdog? Huu ndiyo wakati muafaka wa kulisema hilo au mnaogopa mkono wa serikali? semeni nani Underdog? kati ya Taifa Stars na Cranes. Kuna mtangazaji wa TBC asubuhi leo alijaribu kufafanua kuwa underdog si neno baya, nikangojea alitumie kuhusu mechi ya Jumapili, hakusema nikajua bahati yake...........
 
Baado ya droo kupangwa jana na timu ya Simba kupangwa na timu ya TP Mazembe ya mjini Lubumbashi mimi mtoa mada nesikia mashabiki wa Simba wakiinadi timu hiyo ya DRC kama ni timu nyepesi eti watatoboa na kutinga nusu fainali, kwa maneno mengine teyari wameisha ifunga TP Mazembe.

Mimi mtazamo wangu ni kwamba hii timu ya DRC yenye maskani Lubumbashi kusini mwa DRC keribu na Zambia ndiyo timu itakayotoa ukweli kwamba Simba haikustahili hata kufikia hapo ilipofika , imefika tu kwa fluke ya home advantage.

Sisemi kidkiteta nina sababu kadha wa kadha za kiufundi. Nazo ni kama ifuatavyo;-

1. Ni nani shabiki wa Simba atanibishia kwamba katika ligi ya hizo timu nne ni Simba pekee haikuweza kufunga goli ugenini
2. Ni nani atasita kustaajabu ni timu ya Simba imetinga robo fainali ikiwa ni timu iliyofungwa goli 13, hii ina maana gani, inamana ilichotegemea ni home advantage tu . lakini ingekuwa Head to head kama hatua inayofuata inamaana Simba ingefurushwa na VITA kwa kufungwa 5 na zidi ya 2 nyumbani au AL-aHLY 5 zidi ya 1 nyumbani.
3. Hatua inayofuata TP Mazembe wanaanzia ugenini, ina maana Simba hawajui wawafunge Mazembe magoli mangapi ili wasonge mbele tofauti na hatua iliyopita ambapo walikua wanajua waifunge VITA Club magoli mangapi ili wasonge mbele, hii ina maana gani ni TP MAZEMBE ambao ni wazoefu wa kufika hatua hizi ndo watakuwa wanajua waifunge Simba mangapi ili wasonge mbele.

4. Mpaka hatua ilipofikia Timu ya Simba haijaweza kupata ushindi ugenini, JE! hivi tutegemee hatua hii ndo wataanza kushinda ugenini? wacha kupata droo?

5. Woo eti Vita imeifunga TP MAZEMBE mabao 5 kwenye ligi yao ya nyumbani, kwani Simba iliifunga VITA mabao mangapi nyumbani kwao VITA.

6. Mpaka kufikia hatua hii ni TP Mazembe imefunga mabao mengi nyumbani na ugenini kuliko timu zote makundi yote mawili hivi Simba ina nini cha mno isifungwe mabao mengi ikiwa ndiyo timi ilyofungwa mabao mengi kuliko zote makundi yote hadi kufia hatua hii?

Kwa hiyo ninawaambie Simba kwa hatua inayofuata nina uhakika wa 100 kwa 100 ndo mtapewa aksante kushiriki, sijawahi kukosea hesabu zangu labda hii iwe ni mala ya kwanza
Al ahly hajashinda ugenini pia,
Mamelod sandowns naye hajashinda ugenini
Nao wamebahatisha?
Wivu ukienea mwili mzima hugeuka kuwa upumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baado ya droo kupangwa jana na timu ya Simba kupangwa na timu ya TP Mazembe ya mjini Lubumbashi mimi mtoa mada nesikia mashabiki wa Simba wakiinadi timu hiyo ya DRC kama ni timu nyepesi eti watatoboa na kutinga nusu fainali, kwa maneno mengine teyari wameisha ifunga TP Mazembe.

Mimi mtazamo wangu ni kwamba hii timu ya DRC yenye maskani Lubumbashi kusini mwa DRC keribu na Zambia ndiyo timu itakayotoa ukweli kwamba Simba haikustahili hata kufikia hapo ilipofika , imefika tu kwa fluke ya home advantage.

Sisemi kidkiteta nina sababu kadha wa kadha za kiufundi. Nazo ni kama ifuatavyo;-

1. Ni nani shabiki wa Simba atanibishia kwamba katika ligi ya hizo timu nne ni Simba pekee haikuweza kufunga goli ugenini
2. Ni nani atasita kustaajabu ni timu ya Simba imetinga robo fainali ikiwa ni timu iliyofungwa goli 13, hii ina maana gani, inamana ilichotegemea ni home advantage tu . lakini ingekuwa Head to head kama hatua inayofuata inamaana Simba ingefurushwa na VITA kwa kufungwa 5 na zidi ya 2 nyumbani au AL-aHLY 5 zidi ya 1 nyumbani.
3. Hatua inayofuata TP Mazembe wanaanzia ugenini, ina maana Simba hawajui wawafunge Mazembe magoli mangapi ili wasonge mbele tofauti na hatua iliyopita ambapo walikua wanajua waifunge VITA Club magoli mangapi ili wasonge mbele, hii ina maana gani ni TP MAZEMBE ambao ni wazoefu wa kufika hatua hizi ndo watakuwa wanajua waifunge Simba mangapi ili wasonge mbele.

4. Mpaka hatua ilipofikia Timu ya Simba haijaweza kupata ushindi ugenini, JE! hivi tutegemee hatua hii ndo wataanza kushinda ugenini? wacha kupata droo?

5. Woo eti Vita imeifunga TP MAZEMBE mabao 5 kwenye ligi yao ya nyumbani, kwani Simba iliifunga VITA mabao mangapi nyumbani kwao VITA.

6. Mpaka kufikia hatua hii ni TP Mazembe imefunga mabao mengi nyumbani na ugenini kuliko timu zote makundi yote mawili hivi Simba ina nini cha mno isifungwe mabao mengi ikiwa ndiyo timi ilyofungwa mabao mengi kuliko zote makundi yote hadi kufia hatua hii?

Kwa hiyo ninawaambie Simba kwa hatua inayofuata nina uhakika wa 100 kwa 100 ndo mtapewa aksante kushiriki, sijawahi kukosea hesabu zangu labda hii iwe ni mala ya kwanza
We naona unatafuta bwana tuu hapa uliwe kinyeo hicho. Mlishaongea saaaana na bado mnyama anasonga mbele .
 
Jamaa ni kiazi kweli kweli..! Mbabane Swalloz hawakufungwa nje ndani, Nkana hakufungwa goli 1 kwao..! Sasa inakuwaje useme simba haijwahi kushinda ugenini au kufunga goli lolote ugenini ktk mashindano haya..!
Acha ngenga kijana, utaolewa
 
Lady Jaydee aliimba siku hazigandi. Msemo un maana kubwa.

1. Hayo maelezo yako ni sawa kama siku zinaganda au zinarudi, kwamba Simba ina namna na uwezo ule ule wa ilipofungwa 5, n.k. siyo kweli, kila kitu: mahala na timu zimebadilika. Usipoteze muda kutumia takwimu: statistics, wakati vilivyo static na vina maana kwenye timu ni jina, usajili, kocha n.k. na siyo performance.

2. Simba haijashinda ugenini. Umeirudia hii kwenye no. 2 na 4...mtu asiyekosea hesabu hawezi ku present redundant information

3. Binadamu ni dynamic na anafunction tofauti kwenye mazingira tofauti! unalinganisha league na knock-out. Hiyo ni mifumo ya game. Mshiriki wa game ana respond kwa mahitaji husika. Kama ni ushindi ushindi unahitajika, hata Simba atafanya the same kwa kufunga zaidi na kulinda zaidi ugenini accordingly! Ndiyo maana timu ile ile ikifungwa bila kutegemea huwa inacharuka na kufanya vyema zaidi! rejea performance ya Azam baada ya mabosi wao kufukuzwa; rejea effect ya motisha kama pesa et.c.; rejea effect ya mashabiki et.c.

4. Una haki kutoipenda Simba lakini usivuruge vichwa ambavyo vinaelewa common sense kwenye suala hili

5. Kwa walio sema Simba ni underdog, mbona hawasemi kati ya Taifa Stars na The Cranes nani Underdog? Huu ndiyo wakati muafaka wa kulisema hilo au mnaogopa mkono wa serikali? semeni nani Underdog? kati ya Taifa Stars na Cranes. Kuna mtangazaji wa TBC asubuhi leo alijaribu kufafanua kuwa underdog si neno baya, nikangojea alitumie kuhusu mechi ya Jumapili, hakusema nikajua bahati yake...........


Yaani kuna watu wa Ajabu.

Kuna mchambuzi mmoja underdog, Kabla ya ligi ya mabingwa alipenda sana kuzungumzia usajili wa zaidi ya bilioni kama hauna maana, na kupata wafuasi ovyo ovyo wengi, kana kwamba kweli pesa haihitajiki kwenye mpira.
i. Simba ilipofungwa 5 na Vita, akaanza kuzungumzia wachezaji raia na wa nje ooh Simba imejaza wa kigeni wakati Vita imejaza raia ingawa kabla ya pambano walionyesha kiasi gani bajeti ya vita ni kubwa kuliko Simba.
a. uhusiano kati ya uzawa na performance haukuwekwa bayana
b. kusifia bajeti ya Vita alijipinga kwa lawama kwa Simba kuwa na bajeti kubwa
Hizo ndiyo hoja zisizo na mashiko.

ii. Kuja Al Ahly akaanza tena, bajeti bajeti........tukafungwa 5, akaendelea, siku saba baadaye tukawapiga 1, akapotea.
iii. siku tatu kabla ya mechi na Vita akagundua hoja mpya. wakongo siyo waarabu, unajua mwarabu akienda nje, sijuii.........
hana hoja. Tumewachapa vita nasikia watu wanamsaidia ooh mchambuzi underdog alitoa changamoto.
iv. Changamoto huwa inawasilishwa kimkakati kwenye matayarisho. Kwenye uwanja wa mapambano huwa inatolewa motisha siyo changamoto. Chifu Mkwawa alikuwa akimsikia jemedari anahimiza nguvu za adui kwenye kipindi cha kuingia mapambanoni alikuwa anawamaliza( "Mkasipele", yaani mkawape ndege wa porini. alichukuliwa na kutoweka) Simba na serikali inasema tunaweza, pambaneni, yeye anasema hamuwawezi hao alafu anasema anawapa changamoto.
v. wakati wa vita ya uganda, Amin alivotuvamia, kuna watanzania walisema aaah yule mwanamme hatumuwezi. Wiki tatu baadaye waliufyata.
vi. mchambuzi underdog pamoja na juhudi zake kwenye soka, anapaswa kujifunza eneo moja(one dimension) ambayo anaonekana hana na hakuna dalili za kupenda kujifunza.
vii. Akina Kashasha, fanyeni mentoring kwa baadhi ya wachambuzi ili wawe na manufaa kwa jamii yetu siku za usoni.
 
Kuna dogo kajiunga simba leo, alikua mbishi hakuna mfano.
Mm nasubiri simba anyanyue ndoo.

not but pray.
 
Baado ya droo kupangwa jana na timu ya Simba kupangwa na timu ya TP Mazembe ya mjini Lubumbashi mimi mtoa mada nesikia mashabiki wa Simba wakiinadi timu hiyo ya DRC kama ni timu nyepesi eti watatoboa na kutinga nusu fainali, kwa maneno mengine teyari wameisha ifunga TP Mazembe.

Mimi mtazamo wangu ni kwamba hii timu ya DRC yenye maskani Lubumbashi kusini mwa DRC keribu na Zambia ndiyo timu itakayotoa ukweli kwamba Simba haikustahili hata kufikia hapo ilipofika , imefika tu kwa fluke ya home advantage.

Sisemi kidkiteta nina sababu kadha wa kadha za kiufundi. Nazo ni kama ifuatavyo;-

1. Ni nani shabiki wa Simba atanibishia kwamba katika ligi ya hizo timu nne ni Simba pekee haikuweza kufunga goli ugenini
2. Ni nani atasita kustaajabu ni timu ya Simba imetinga robo fainali ikiwa ni timu iliyofungwa goli 13, hii ina maana gani, inamana ilichotegemea ni home advantage tu . lakini ingekuwa Head to head kama hatua inayofuata inamaana Simba ingefurushwa na VITA kwa kufungwa 5 na zidi ya 2 nyumbani au AL-aHLY 5 zidi ya 1 nyumbani.
3. Hatua inayofuata TP Mazembe wanaanzia ugenini, ina maana Simba hawajui wawafunge Mazembe magoli mangapi ili wasonge mbele tofauti na hatua iliyopita ambapo walikua wanajua waifunge VITA Club magoli mangapi ili wasonge mbele, hii ina maana gani ni TP MAZEMBE ambao ni wazoefu wa kufika hatua hizi ndo watakuwa wanajua waifunge Simba mangapi ili wasonge mbele.

4. Mpaka hatua ilipofikia Timu ya Simba haijaweza kupata ushindi ugenini, JE! hivi tutegemee hatua hii ndo wataanza kushinda ugenini? wacha kupata droo?

5. Woo eti Vita imeifunga TP MAZEMBE mabao 5 kwenye ligi yao ya nyumbani, kwani Simba iliifunga VITA mabao mangapi nyumbani kwao VITA.

6. Mpaka kufikia hatua hii ni TP Mazembe imefunga mabao mengi nyumbani na ugenini kuliko timu zote makundi yote mawili hivi Simba ina nini cha mno isifungwe mabao mengi ikiwa ndiyo timi ilyofungwa mabao mengi kuliko zote makundi yote hadi kufia hatua hii?

Kwa hiyo ninawaambie Simba kwa hatua inayofuata nina uhakika wa 100 kwa 100 ndo mtapewa aksante kushiriki, sijawahi kukosea hesabu zangu labda hii iwe ni mala ya kwanza
shafii jitahidi kuwa mzalendo
 
Back
Top Bottom