Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Swali toka kwa mwana mbumbumbu FCVipi unayo yako mkononi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali toka kwa mwana mbumbumbu FCVipi unayo yako mkononi?
Vipi upatiwe betri za akiba?Swali toka kwa mwana mbumbumbu FC
Dunduka mwana mbumbumbu FC anaendelea na maswaliVipi upatiwe betri za akiba?
Nimeamini.Aliyewaita mbumbumbu mashabiki wa aina hii, ajengewe mnara wa kumbukumbu.
Ilikuwa saa ngapi hiyo wakiwa mazoezi wakaangua kilioWakiwa kambini huku wakiomba dua na kuchoma ubani wengine wakiimba tenzi za rohoni, usinipite mwokozi kuiombea dua TP Mazembe iifunge MC Alger mambo yakaenda kinyume
Mmoja wa viongozi wa Yanga aliangua kilio kulichoambatana na kwikwi akijua safari imeishia hapo na morali ya wachezaji imepotea ghafla.
Tuwaombee
Mbona kama mnaishiwa nguvu!Dunduka mwana mbumbumbu FC anaendelea na maswali
Wanaweza kufuzu ukapata aibu......weka akiba ya manenoWakiwa kambini huku wakiomba dua na kuchoma ubani wengine wakiimba tenzi za rohoni, usinipite mwokozi kuiombea dua TP Mazembe iifunge MC Alger mambo yakaenda kinyume
Mmoja wa viongozi wa Yanga aliangua kilio kulichoambatana na kwikwi akijua safari imeishia hapo na morali ya wachezaji imepotea ghafla.
Tuwaombee
Dunduka anaendeleza alipoishiaMbona kama mnaishiwa nguvu!
Anza kushinda ya leo kwanza mtaniYanga anapita na anashinda mechi zote mbili hao waarabu hawawezi kuzuia Sare Mkapa hata wakija na mabehewa yao ya SGR watakufa tu..
Ya kesho tunashinda kama hatutakosa magoli kama mechi ya kwanza...maana jamaa wanazuia sana ila wanakufa tu sioni mpira wao wa kutisha sana...Anza kushinda ya leo kwanza mtani
Mkivuka kiunzi cha kesho mnaweza mkatoboaYa kesho tunashinda kama hatutakosa magoli kama mechi ya kwanza...maana jamaa wanazuia sana ila wanakufa tu sioni mpira wao wa kutisha sana...
We Mzee ulipotelea wapiWenye Akili tunajua kuwa Safari yao ndiyo imeshakwisha rasmi.
Yaani simba kutinga robo yanga kuishia makundi!Dunduka anaendeleza alipoishia
Endelea...!!! Usisahau yafuatayo;Yaani simba kutinga robo yanga kuishia makundi!
Utopolo 🐸 🐸 🐸 wakishinda jiandae kutupiwa maweWengi wetu tulishangazwa na biashara ya kalikuleta kushamiri jijini dar na mikoani mwanzo tulijua ni wafanyabiashara waliotaka kurahisisha mahesabu yao,pili tukafikiri ni wanafunzi lakini tukaona wanataka kalikuleta yeyote sio kama tulivyozoea wanafunzi hupendelea zaidi sayantifiki,
Cha zaidi ni leo na jana kila mmoja na bado wapo vikundi vikundi ndipo jamaa akatusanua zaidi hii imeletwa na matokeo ya jana usiku ni kuwa kesho yanga pamoja na kuoga lakini haendi mjini sisi wafanya biashara wa kalikuleta tumefurahi kwa biashara yetu kutoka mpaka kesho jioni Alhilal 2-1 yanga je hapa hata kwa hizo kalikuleta zitasaidia nini?
Mungu ibariki yanga ifungwe 2-1 itoke kelele ziishe!
Ni kabisa sasa kwanini mfanye kalikuleta ziadimike mpira na kalikuleta vinahusiano gani?Endelea...!!! Usisahau safari ya mwendawazimu anaenda mbali lakini anarudi bila kitu