TP Mazembe tupo pamoja na nyinyi kwa hali na mali hapo kesho

Kuna watu wanashida kubwa sana , hawajui mipaka ya uzalendo , what to do and when to do something. Mazembe wenyewe wanawashangaa , Hao wakienda Congo mnafikiri kuna mkongoman atashangilia Lions !! Sijui nani ametuloga tu . Tunatia huruma sana. Nilienda Sheikh Amri Abeid pale Arusha , kunagalia mechi ya Yanga na Oljoro FC , Uwanja mzima umevaa jezi za Njano , Nilikuwa na mgeni akaniuliza which one is the Home team , nikajibu those with Blue akashangaa sana . Sasa Oljoro siku nyingi imeshuka Daraja Arusha hatuna hata team kwenye Ligi kuu !!!
 
Scroll hadi post No1 uone uzi huu unahusu nini...??
Uzi uliwekwa na mzalendo wa Tp mazembe.... Mutu ya Congo

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Scroll hadi post No1 uone uzi huu unahusu nini...??
Uzi uliwekwa na mzalendo wa Tp mazembe.... Mutu ya Congo

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
Sio sababu pamoja na hayo , wako mashabiki ambao ni Watanzania walishangilia JSaoura , As Vita na Kesho wanatafuta hadi Jezi za TP Wazembe kesho ili wawashangilie.
 
Tulia Karma iteki effect kwanza baadae ndio ulete hizi pumba za Uzalendo feki wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwwli kabisa mkuu, tuko pamoja nao bana Congo .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio sababu pamoja na hayo , wako mashabiki ambao ni Watanzania walishangilia JSaoura , As Vita na Kesho wanatafuta hadi Jezi za TP Wazembe kesho ili wawashangilie.

naona unamsema huyu mwenye uzi... ndio tabia yake.. hapa nataka nimuazime jezi yake ya mazembe kesho niivae
 
Sio sababu pamoja na hayo , wako mashabiki ambao ni Watanzania walishangilia JSaoura , As Vita na Kesho wanatafuta hadi Jezi za TP Wazembe kesho ili wawashangilie.
Acha kwanza Deni lilipwe kisha ndio tuje tujadili uzalendo

""...IF PIANO IS OUT OF TUNE, THE MUSICIAN WILL FAIL, NO MATTER HOW MUCH OF A MUSICIAN HE MAY BE...""
 
Sijawahi ipenda yanga, na wala sitaki ushabiki wao wa kinafiki. Waendelee kushabikia timu dhidi ya simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…