Umtama Mula
Senior Member
- Jan 11, 2021
- 171
- 496
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupeleka kwenye mahakama za kiraia si kosa kwa fifa?Mazembe wanapwaya.
Kesi ilishaamuliwa FIFA, wakashindwa na wakalipa, sasa hii mambo ya kufungua kesi kwenye mahakama zao ni uhuni tu.
Natumai mahakama kuu yetu itafanya lililo sahihi.
Bila kusahau kuidhalilisha Mahakama yao Kuu. Hata mtoto mdogo hapa anaona kuna uhuni wa kiwango cha juu kabisa unafanyikaNimeisoma hiyo article mahali; kiufupi nimewadharau sana Tp Mazembe. Maana walitakiwa wakubaliane tu na ukweli wa kuchemka kumsajili huyo dogo.
Kitendo cha kumbambikia kesi ya mchongo kupitia mahakama ya kwao, na kutaka fedha walizomlipa huyo dogo kupitia benki ya NMB (bilioni +) kwa shinikizo la Fifa, eti zizuliwe na mahakama ya Tanzania, halafu zirejeshwe tena kwao Tp Mazembe; ni kitendo cha kitoto kupitiliza.
Yeah.. lazima Mazembe wapate shida kwa FIFA.Kupeleka kwenye mahakama za kiraia si kosa kwa fifa?
na hapa ndipo alipochemka ajibu naye angejipigia mpunga wa bure kabisaUkiwa n wakala mzuri utacheza kokote hasa kwa afrika eti ramadhani singano Tp Mazembe 😆 jamaa walipigwa parefu Sana😆
Sijawahi kuona mchezaji wa hovyo kwenye hii nchi kama Ajibuna hapa ndipo alipochemka ajibu naye angejipigia mpunga wa bure kabisa
ajibu alifanya ujinga kama ule wa haruna moshi 'boban'Sijawahi kuona mchezaji wa hovyo kwenye hii nchi kama Ajibu
Bila kumsahau anko Ngasaajibu alifanya ujinga kama ule wa haruna moshi 'boban'
Mbona alishajibu hoja hiina hapa ndipo alipochemka ajibu naye angejipigia mpunga wa bure kabisa