TP Mazembe ya Katumbi niijuayo Mimi haiwezi kuacha Mchezaji mzuri na ikimuacha jua huyo ni 'Kapi' na hafai Kwingineko

TP Mazembe ya Katumbi niijuayo Mimi haiwezi kuacha Mchezaji mzuri na ikimuacha jua huyo ni 'Kapi' na hafai Kwingineko

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ningeletewa Manzoki pale mbele, Bobosi hapa katikati na akarejeshwa Miquissone upande wa winga ya Kulia halafu nikampata na Kiungo wa Ulinzi halisia Mukoko kisha nikampata yule beki wa kushoto Mkongo (Bandeko Nangai) Baraka kutoka Namungo FC halafu tukampata na Kipa wa Kigeni wa Kumtia Adabu mluguru Wetu ili abadilike kwa Kufungwa Magoli ya Kizembe (Kipuuzi) hapa GENTAMYCINE ningekuwa na amani ya Moyo na mwenye furaha na hata tarehe 9 April, 2023 ningetizama Derby bila Hofu.

Hongera kwa kutoka Sare huko UAE.
 
Kulaumu tunaweza sana utadhani tuna mchango wa kuwawezesha kuwaleta hao tunaowahesabu.

Wengine tunataja tu mabioni kwa ajili ya kusajilia; na kusema zina kazi gani!!! Tunasahau kuwa kuna mishahara, nauli/usafiri, malazi, entertainments and so forth.
Kweli akili ni nywele, kila mtu ana zake.
 
Ningeletewa Manzoki pale mbele, Bobosi hapa katikati na akarejeshwa Miquissone upande wa winga ya Kulia halafu nikampata na Kiungo wa Ulinzi halisia Mukoko kisha nikampata yule beki wa kushoto Mkongo (Bandeko Nangai) Baraka kutoka Namungo FC halafu tukampata na Kipa wa Kigeni wa Kumtia Adabu mluguru Wetu ili abadilike kwa Kufungwa Magoli ya Kizembe (Kipuuzi) hapa GENTAMYCINE ningekuwa na amani ya Moyo na mwenye furaha na hata tarehe 9 April, 2023 ningetizama Derby bila Hofu.

Hongera kwa kutoka Sare huko UAE.
Tuliza kipwinto kwanza hili ni dirisha dogo tu ngendembwe zanini sasa, acha muda uamue wewe...
 
Uyo baleke alipelekwa na tp mazembe arabuni kwa mkopo sasa cha ajabu Mazembe imeachana nae ikawauzia simba, kwa mtu mwenye akili timamu lazima achekeche ubongo wake afikilie nje ya box Mazembe inashiriki kombe la shirikisho Afrika, itamuuzaje mchezaji ambae yuko vizuri na cha ajabu zaidi wamemuuza uyu kwa bei ndogo wakaenda zambia kumsajili mshambuliaji Mwingine Alex ngonga, iyo kitu inawezekana? Gharama waliyotumia kumsajili Ngonga si wangembakisha Baleke, hawa jamaa nimeamini Mhindi wa bombay kagoma kutoa fungu la usajili wamebaki kuokota makapi kwa bei kitonga
 
TP Mazembe ya sasa inasajili kina Mpepo, Singano na Ulimwengu aliyechoka, siyo ile ya Samata
Pamoja na ku flop huwezi linaganisha Mazembe na timu za bongo mwaka jana wamefika semi final na uchovu wao kitu ambacho ni ndoto kwa timu zetu
 
Ningeletewa Manzoki pale mbele, Bobosi hapa katikati na akarejeshwa Miquissone upande wa winga ya Kulia halafu nikampata na Kiungo wa Ulinzi halisia Mukoko kisha nikampata yule beki wa kushoto Mkongo (Bandeko Nangai) Baraka kutoka Namungo FC halafu tukampata na Kipa wa Kigeni wa Kumtia Adabu mluguru Wetu ili abadilike kwa Kufungwa Magoli ya Kizembe (Kipuuzi) hapa GENTAMYCINE ningekuwa na amani ya Moyo na mwenye furaha na hata tarehe 9 April, 2023 ningetizama Derby bila Hofu.

Hongera kwa kutoka Sare huko UAE.
shida ni pesa hakuna
 
Ningeletewa Manzoki pale mbele, Bobosi hapa katikati
Ungeletewa wewe kama nani? Ondoa uwendawazimu wako hapa

1673848988388.png
 
Uyo baleke alipelekwa na tp mazembe arabuni kwa mkopo sasa cha ajabu Mazembe imeachana nae ikawauzia simba, kwa mtu mwenye akili timamu lazima achekeche ubongo wake afikilie nje ya box Mazembe inashiriki kombe la shirikisho Afrika, itamuuzaje mchezaji ambae yuko vizuri na cha ajabu zaidi wamemuuza uyu kwa bei ndogo wakaenda zambia kumsajili mshambuliaji Mwingine Alex ngonga, iyo kitu inawezekana? Gharama waliyotumia kumsajili Ngonga si wangembakisha Baleke, hawa jamaa nimeamini Mhindi wa bombay kagoma kutoa fungu la usajili wamebaki kuokota makapi kwa bei kitonga
Baleke hajauzwa kaletwa simba kwa mkopo
 
Back
Top Bottom