TP Mazembe ya Katumbi niijuayo Mimi haiwezi kuacha Mchezaji mzuri na ikimuacha jua huyo ni 'Kapi' na hafai Kwingineko

Bahati mbaya mpira ni kazi. Kumsajili mchezaji majeruhi ambaye mnafahamu hataweza kucheza kwa muda mrefu, ni sawa na kuajiri mfanyakazi hewa kama walivyokuwa Yacuba Sogne, Tuisila Kisinda na akina Molinga kule Utopolo. Hatufanyi makosa yale tena.

Kocha ndiye anaamua aina ya wachezaji wa kusajiliwa kutokana na mahitaji yake Kitaalamu, si mashabiki kama sisi. Amekuwa na Manzoki, anamfahamu. Hakuwa chaguo lake na huko aliko ni majeruhi wa muda mrefu.

Yule mganda alikula mshahara wa Bure muda mrefu sana alipopata majeraha na hakuweza kuendelea na mkataba. Tuna experience hiyo tayari.
Bahati mbaya sana Manzoki ni majeruhi wa muda mrefu. Simba hatupo tayari kusajili #MfanyakaziHewa kama majirani zetu. #TaddeoLwanga alitumia na mchango wake ulihitajika sana, aka nje muda mrefu akila mshahara wa Bure. Huo upuuzi hautakiwi kurudiwa. Sajili zinafanywa kwa mahitaji na ushauri wa kocha na baada ya kufanya scouting kujiridhisha kuwa walengwa wanaokidhi matarajio yetu.

Hatuwezi kuwazungumzia TPMAZEMBE. Wamepitia kipindi kigumu sana. Si wale unaowafahamu wa enzi zile.
 
Haelewi kitu huyo, wameona nao waijibu Yanga kwa kumleta Chiko Ushindi wao
Kama Simba wamemchukua kwa Mkopo kutoka TP Mazembe maana yake Bado anahitajika nao. Muhimu mchezaji acheze katika mashindano makubwa

Ni ndoto ya mchezaji yeyote kuchezea Simba akipata nafasi. Anajitangaza na kuongeza fursa ya kupata timu Bora zaidi au kurejeshwa kikosi Cha Kwanza mkataba wa Mkopo ukiisha.

Simba pia imewatoa Akpan na Okwa kwa Mkopo kwenda Ihefu. Wanatakiwa wacheze.
 
Mchezaji alikuwa Nejmeh sc kwa mkopo ya huko nchini Lebanon. Maanake hakuwa na namba Tp Mazembe, hata Simba wapewa kwa mkopo vile vile
 
Na happ hapo pia ukumbjke TP Mazembe iyo iyo ikimtaka.Mchezaji haiwezi ikamkosa sasa iweje Wamkose Muchonda ? I'm kiona ivyo walijua ni garasa
 
Hakutokea Mazembe,wacha kukariri kama kasuku
 
Hakutokea Mazembe,wacha kukariri kama kasuku
Simba ilipomuuza Miquissone si kuwa haikumhitaji, vivyo hivyo Utopolo ilipomuuza Makambo Horoya si kuwa haikumhitaji. Mpira ni fursa na biashara. Timu za waungwana, zikiona Hazina nafasi kwa mchezaji Fulani, au mchezaji Fulani ana fursa ya kukua kupitia kujaribu changamoto Mpya, humuachia aende. Ndiyo maana na msingi wa wachezaji kuuzwa.
 
Akili siyo kitu cha kukosa. Aliyekuambia katokea Mazembe ni nani?
Unataka kutuambia katoka wapi? Au kule arabuni ambako mazembe walimpeleka kwa mkopo? Honestly mchezaji ni mzuri, tis promising sio wa kukupa matokeo ya haraka coz hata huko mazembe alikuwa hapati nafasi ndio akatolewa kwa mkopo uarabuni nako hajafanya vzr thus why waarabu wamemruhusu kurudi angekuwa mzuri waarabu wangeendelea kibaki nae coz cash wanazo kutushinda sisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…