TP Mazembe yamsajili Ambokile wa Mbeya city

Dogo kaangalia mbele. Nina uhakika hata Samata alianza hivyo mdogo mdogo na thamani yake ikapanda baada ya kuonyesha uwezo.
 
Eliud Ambokile ni mchezaji mzuri sana tena ana umri mdogo na ndicho tim kubwa huangalia.
Unaposema ulidhan wanasajili mchezaj ambaye ni the finest ktk nchi basi pasipo kujua ulikuwa unamtaja Eliud Ambokile. Huyu ni mshambuliaji aliyecheza round ya kwanza tu ktk ligi tena kutoka tim ya kawaida Lakini alifunga goal 10.

Utamfananisha Ambokile na straika gan mzawa aliyecheza bongo msimu uliopit? Ambokile angecheza round zote mbili angeweza kufunga hata goal 18 au 20 kabisa. Utamfananisha na nani huyu?

Bila kupata changamoto kule south Africa bila shaka Ambokile angekuwepo na stars AFCON.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…