Suala la bandari ni uelewa mdogo wa watanzania: Professor Mussa Assad former Controller and Auditor General
Quote
Assad ni mtaalam wa hesabu na uchumi siyo sheria. Ila magwiji wa sheria na waliofundisha wanasheria wengi nchini Issa Shivji na wengine wengi wamesema mkataba ni mbovu.
Hata huyo Assad, ambaye hata mm namkubali, katika kujibu kwake, hajajibu yanayo ulizwa. Assad Naye unamwonea tu, maana hata kipindi cha mwenda zake alisema 1.5t zimechotwa visivyo, alipoulizwa na mwenyewe kuwa hayo ni kweli ama siyo kweli, alijibuje?
Watu wote hawana shida na dp world, shida ipo kwny mkataba.