TPA yapeana tender nyingine kwa SECO Engineering ya Kenya


Asante mkuu
Kwanini Baharia yaani Captain asitumie helikopta anapotaka kuabiri meli kuu?
 
Asante mkuu
Kwanini Baharia yaani Captain asitumie helikopta anapotaka kuabiri meli kuu?
Pilot lazima atumie pilot boat.

Pilot ni Captain aliye ajiriwa na bandari ambaye ana uzoefu wa muda mrefu kufanya kazi katika meli.Pia analijua vyema eneo la bandari,maboya yaliyopo na maeneo yote ya kuchukua tahadhari.

Pilot akipanda kwenye meli kazi yake ni kutoa maelekezo ya sehemu sahihi za kupita wakati wa kuingia na kutoka bandarini.

Kumpeleka Captain na helicopter melini itakuwa jambo gumu na gharama.

Ugumu unakuja meli inayopokea Helicopter lazima iwe na sehemu maalumu ya helicopter landing na si kila meli inayo. Helicopter ikitaka tua katika meli lazima iandaliwe team kwa ajili ya usaidizi.

Gharama za kuhudumia helicopter kumpakia pilot ni kubwa kwa ajili ya kumtoa na kumrudisha pilot.
 
Kama gani nyingine ispokuwa Big brother Kenya?
 
Mbona Wachina wanajengea barabara wakati nyinyi ni nchi ya wiwanda?

Isikuumize akili, taratibu Wakenya wanazidi kurithi utaalam wote na hivi karibu ndio watakua wnaitwa kufanikisha haya mambo ukanda wote huu, hebu angalia kwa ilivyo geothermal, wataalam wetu wanaitwa kote kote.
 
hongera zetu mazeee....waswahili maneno mengiiii ila utekelezaji zeroooo kabisaa....😂 wajengewe tu .maana hawajiwezii
 
Isikuumize akili, taratibu Wakenya wanazidi kurithi utaalam wote na hivi karibu ndio watakua wnaitwa kufanikisha haya mambo ukanda wote huu, hebu angalia kwa ilivyo geothermal, wataalam wetu wanaitwa kote kote.
Yaani hizo boti tu ndo mnazipigia kelele. Hamuoni madude tunayojenga huku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…