ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kampuni ya China National Offshore Oil Corporation (CNOOC) na Shirika la TPDCTZ kushirikiana katika uwekezaji katika sekta ya gesi nchini.
Aidha, Kampuni ya CNOOC imeahidi kuendelea kushirikiana na wadau wengine katika uwekezaji wa ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta kutoka Uganda hadi Bandari ya Tanga.
Taarifa hiyo imetolewa leo jijini Beijing wakati wa Mkutano wa Waziri wa Nishati January Makamba na Mwenyekiti wa Kampuni ya CNOOC Ndugu WANG Dongjin uliofanyika leo jijini Beijing.