TPDC kushirikiana na Kampuni ya China kuwekeza kwenye Gas

TPDC kushirikiana na Kampuni ya China kuwekeza kwenye Gas

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687


Kampuni ya China National Offshore Oil Corporation (CNOOC) na Shirika la TPDCTZ kushirikiana katika uwekezaji katika sekta ya gesi nchini.

Aidha, Kampuni ya CNOOC imeahidi kuendelea kushirikiana na wadau wengine katika uwekezaji wa ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta kutoka Uganda hadi Bandari ya Tanga.

Taarifa hiyo imetolewa leo jijini Beijing wakati wa Mkutano wa Waziri wa Nishati January Makamba na Mwenyekiti wa Kampuni ya CNOOC Ndugu WANG Dongjin uliofanyika leo jijini Beijing.
 
Mabwana wale, wanajihisi sana issue ya udini wameileta wenyewe, Yani watu wasitoe hoja zao kisa DP world ni waarabu wasisemwe eti ni dini fulani !!
 
WAJUKUU WA MTUME BANA NDIO MAANA HUWA NAPATA MASHAKA NA DINI YAO... 🤣

KWA HIYO WATU WASIHOJI MAMBO YA MSINGI KAMA BANDARI ETI KWA SABABU WALETA DINI WAO NDO WANAKUJA KUTUNYONYA
 
WAJUKUU WA MTUME BANA NDIO MAANA HUWA NAPATA MASHAKA NA DINI YAO... [emoji1787]

KWA HIYO WATU WASIHOJI MAMBO YA MSINGI KAMA BANDARI ETI KWA SABABU WALETA DINI WAO NDO WANAKUJA KUTUNYONYA
Ni ujinga tu, akili za kidwanzi kabisa wanazoleta, watu wanajadili kuhusu mkataba, wao wanaleta mambo ya kipuuzi
 
Horodhesha nchi 10 za kushirikiana nazo ili mamlaka wazione
Waarabu wote,Wazungu wote,Wamarekani Kaskazini na Baadhi ya Waafrica ,Asia huko ni kucjagua Nchi mana wengi hawaaminiki.
 
DP World na Dubai wamekuja kupima IQ yetu watanzania na kuiona ndogo sana. Imagine wako wanaouliza Serikali imeshindanisha na nani hata DP World kashinda. Yaani investment siku hizi ni mwendo wa bidding,😆
 
WAJUKUU WA MTUME BANA NDIO MAANA HUWA NAPATA MASHAKA NA DINI YAO... 🤣

KWA HIYO WATU WASIHOJI MAMBO YA MSINGI KAMA BANDARI ETI KWA SABABU WALETA DINI WAO NDO WANAKUJA KUTUNYONYA
Kuna watu wamepewa dhamana ya kukaa mbele ya watu lkn bongo zao ni finyu!
 
Mkataba wa bandari ni wa miaka mingap? Na swala la bandari lipo ndani ya muungano sasa inakuwaje bandari za Zanzibar hazipo?
 
Jamaa wanachuki binafsi na waarabu
Tuache kuangalia range na dini
Tuangalie concept
Mimi sina chuki na mwekezaji yeyote yule kama anafuata Sheria, Taratibu na Kanuni za uwekezaji zilizopo kama kampuni binafsi kupitia TIC au kwa Ubia na kampuni za ndani, na si vinginevyo
 
WAJUKUU WA MTUME BANA NDIO MAANA HUWA NAPATA MASHAKA NA DINI YAO... [emoji1787]

KWA HIYO WATU WASIHOJI MAMBO YA MSINGI KAMA BANDARI ETI KWA SABABU WALETA DINI WAO NDO WANAKUJA KUTUNYONYA
Hawajiamini kabisa
 
Back
Top Bottom