ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #21
Hawajiamini kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajiamini kabisa
Kuna uzi ulitembea kuhusu bongo zozo kujipenyeza Tz, sikuwahi ona udini mle ndani, lakini mtu akihoji kuhusu wasudani hamtaki waguswe.Haya na wanafunzi kutoka Sudan wamewanyonya nini mbona imekua kero?
China ni afadhali kidogo kwanza walitujengea reli ambayo mataifa yote ya Magharibi na mashirika yao yalikataaChina siyo wa kushirikiana nao hawa
China ya akina Bruce Lee na akuna Bolo Yeung siyo China hii ya sasa. Hii ya hivi sasa ni maumivu tu. Sijui China hii imefanyiwa crossbreeding na India au sijui taifa gani hata sielewi!!? Lakini ambacho nina uhakika nacho ni kwamba, China hii siyo ile.China ni afadhali kidogo kwanza walitujengea reli ambayo mataifa yote ya Magharibi na mashirika yao yalikataa
ambae hajitambui ni maaamko. kalye umsino gwaa nyoko.Haijalishi nchi inauzwa wapi/mikataba
iwe mchina, mwaarabu, au mkenya
shida ni mikataba mibovu ya mama yako huyo asiyejitambua
Ule wa trillion 70 umeshaafika wapiKampuni ya China National Offshore Oil Corporation (CNOOC) na Shirika la TPDCTZ kushirikiana katika uwekezaji katika sekta ya gesi nchini.
Aidha, Kampuni ya CNOOC imeahidi kuendelea kushirikiana na wadau wengine katika uwekezaji wa ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta kutoka Uganda hadi Bandari ya Tanga.
Taarifa hiyo imetolewa leo jijini Beijing wakati wa Mkutano wa Waziri wa Nishati January Makamba na Mwenyekiti wa Kampuni ya CNOOC Ndugu WANG Dongjin uliofanyika leo jijini Beijing.
Majadiliano ya mwisho kabla ya.kusaini makubaliano ya awaliUle wa trillion 70 umeshaafika wapi
Unaongea nini bro. So hapo Djibouti nao walikuwa na chuki nao sio. Acheni kuonyesha upunguan wenu. Kwani shida iko wap mtu akikuambia rekebisha mkataba kwa maslah ya nchiJamaa wanachuki binafsi na waarabu
Tuache kuangalia range na dini
Tuangalie concept