ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
China siyo wa kushirikiana nao hawa
Endeleeni kushirikiana nao ,hao hawanaga mbambamba,watawanyooshaChina siyo wa kushirikiana nao hawa
Horodhesha nchi 10 za kushirikiana nazo ili mamlaka wazioneChina siyo wa kushirikiana nao hawa
Ni ujinga tu, akili za kidwanzi kabisa wanazoleta, watu wanajadili kuhusu mkataba, wao wanaleta mambo ya kipuuziWAJUKUU WA MTUME BANA NDIO MAANA HUWA NAPATA MASHAKA NA DINI YAO... [emoji1787]
KWA HIYO WATU WASIHOJI MAMBO YA MSINGI KAMA BANDARI ETI KWA SABABU WALETA DINI WAO NDO WANAKUJA KUTUNYONYA
Waarabu wote,Wazungu wote,Wamarekani Kaskazini na Baadhi ya Waafrica ,Asia huko ni kucjagua Nchi mana wengi hawaaminiki.Horodhesha nchi 10 za kushirikiana nazo ili mamlaka wazione
Haya na wanafunzi kutoka Sudan wamewanyonya nini mbona imekua kero?WAJUKUU WA MTUME BANA NDIO MAANA HUWA NAPATA MASHAKA NA DINI YAO... [emoji1787]
KWA HIYO WATU WASIHOJI MAMBO YA MSINGI KAMA BANDARI ETI KWA SABABU WALETA DINI WAO NDO WANAKUJA KUTUNYONYA
Wajinga sana hao mburumunduHaya na wanafunzi kutoka Sudan wamewanyonya nini mbona imekua kero?
Kuna watu wamepewa dhamana ya kukaa mbele ya watu lkn bongo zao ni finyu!WAJUKUU WA MTUME BANA NDIO MAANA HUWA NAPATA MASHAKA NA DINI YAO... 🤣
KWA HIYO WATU WASIHOJI MAMBO YA MSINGI KAMA BANDARI ETI KWA SABABU WALETA DINI WAO NDO WANAKUJA KUTUNYONYA
Mfano mzuri ni Samia nape na mwiguluKuna watu wamepewa dhamana ya kukaa mbele ya watu lkn bongo zao ni finyu!
USHorodhesha nchi 10 za kushirikiana nazo ili mamlaka wazione
Mimi sina chuki na mwekezaji yeyote yule kama anafuata Sheria, Taratibu na Kanuni za uwekezaji zilizopo kama kampuni binafsi kupitia TIC au kwa Ubia na kampuni za ndani, na si vinginevyoJamaa wanachuki binafsi na waarabu
Tuache kuangalia range na dini
Tuangalie concept
Hawajiamini kabisaWAJUKUU WA MTUME BANA NDIO MAANA HUWA NAPATA MASHAKA NA DINI YAO... [emoji1787]
KWA HIYO WATU WASIHOJI MAMBO YA MSINGI KAMA BANDARI ETI KWA SABABU WALETA DINI WAO NDO WANAKUJA KUTUNYONYA