TPDC: Mafuta yaliyopo yatosha siku 15

Jinsi kauli ilivyotolewa inaweza kusababisha taharuki kwenye jamii, watu wakaanza kuhifadhi mafuta majumbani na hata kuweza kusababisha majanga ya moto. Kwani upungufu huo umegundulika leo tu ambapo kabla ya hapo wahusika waliamini mafuta yatatosha kwa muda mrefu zaidi? Pamoja na hayo, siku 15 ni nyingi kwa wahusika kuweza kuchukua hatua za tahadhari badala ya kutia wananchi wasiwasi. Badala ya mhusika kutangaza kama alivyofanya, ingebidi awe ameishatafuta suluhu ya tatizo na baadaye ndiyo anawatangazia umma kwamba kuna tatizo hili na tumefanya kadha wa kadha kukabiliana na taizo hilo.
 
TPDC inatafuta Wadau ili wasaidiane kuagiza mafuta? Mbona huku ni kurudi nyuma ya maamuzi ya kulifanya Shirika hili liagize mafuta lenyewe na kupunguza gharama za mafuta kwa mlaji wa mwisho. Hapo lazima kuna jambo, si bure.
 
Aaagh, kwanini siku zote walikuwa hawaagizi na kuweka akiba?, ili pakitokea upungufu ndio wayaingize sokoni. Wawe na reserve kama za NFRA, ili kustabilize soko panapotokea uhaba
 
wafuasi wa Chadema kama kawaida yao na tabia zao za kigaidi za kutaka nchi iwe ktk taharuki na shida,
muda wote wao wanataka habari mbaya ziikumbe Tanzania.
kweli nimeamini wafuasi wa mboe wana chembe chembe za kihalifu.

ukiwafuatilia wafuasi wa mboe utagundua mara zote kunapokuwa na tatizo kama nchi basi huwa wao wana shangilia sana.
hawa watu ni hatari sana, mwaka 2025 hawafai hata kupata kiti kimoja cha ubunge.
 
Wewe utakuwa mwalimu
Yes, mtu yeyote yule mwenye ujuzi, maarifa na taaluma ya mambo mtambuka jina sahihi la kumwita ni Mwl, kwa sababu anakuelimisha.

Acha nyeeer nyeeeee na mihemuko. Sema usikike upatiwe jibu toshelezi.

Ujue mimi baba yako we bwana mdogo[emoji1783][emoji1783]
 
Kwani mkurugenzi wa tpdc alietoa hizi taarifa ni mwana CHADEMA?
 
Sometimes hauna haja ya kuongea ila muda wenyewe utaongea na yanazidi kutokea, kuna mwana siasa mmoja alisema "acha legacy yake ijitetee ",sijui alizani Legacy ni mtu au mzimu wa Magu akasahau Muda utaongea.
Watu badala ya kufanya kazi wanahangaika kuharibu na kuonesha Hayati hajafanya chochote! Hata mradi wa umeme wanataka kuubaribu?! Kweli watu wana roho mbaya kiasi hiki? Unawaathiri Watanzania wote ili ionekane adui yako hajafanya chochote! Inasikitisha sana
 
Aisee namanga-kitonga umenifurahisha sana umeona wadau wanakosea sana umeanza kusahihisha yani
😂😂😂
 
Ila mafuta ulikuwa unapata, vp sasa hivi uwazi upo? Je mafuta yapo ya uhakika?,so impact ya kukosekana kwa mafuta ina ambatana na upandaji wa gharama za maisha, sasa bora kipi uwazi bila mafuta au uficho na mafuta ya kutosha.
Kwahiyo kipindi cha mwendazake maisha yalikuwa rahisi?
 
HIi ni man-made/organized chaos, nahisi kunawatu wana test mitambo
 
HIi ni man-made/organized chaos, nahisi kunawatu wana test mitambo
 
Aisee namanga-kitonga umenifurahisha sana umeona wadau wanakosea sana umeanza kusahihisha yani
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1783][emoji1783][emoji1783]. Sisi wahenga ni vyema tukawapa mawaidha hawa bwana wadogo wapate walau ufahamu.

Wanaandika kama wanakimbizwa. Wakienda intaviu baada ya kuandika barua wanakuwa hawaeleweki kuanzia barua yenyewe hadi intaviu.

Wakikosa kazi wanaanza lawama kama kahaba anavyomlaumu mteja wake kumkojolesha (hawapendi kukojoleshwa aslani[emoji1][emoji1]).

Acha watuite walimu,ndio maana alikuwepo Great/Legend Teacher Hon. Julius K. Nyerere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…