Nilimtembelea kijana wamgu yuko huko kaniambia hakuna popote palipoandikwa kuwa wanajeshi wa JWTZ walihusika kuzuia jaribio hilo wakati sisi tulikuwa kwenye Operation hiyo tupo.Fikiria na sisi tukifa who will know this??? Tanzania kuna sehemu tumejisahau sana!!.Mkuu Asante kwa kurejea jamvini. Nchi yetu ina historia kubwa mno lakini haiandikwi na mbaya zaidi mashujaa wenyewe wanapukutika.
Mkuu tunakushukuru sana kwa huduma yako kwa Taifa. Hongera sana.Habari za siku nyingi wakuu!! Nimepigiwa simu asubuhi hii ya leo na kutaarifiwa kuwa yule Mtemi wa Pointe La Rue keshatutoka katangulia mbele ya haki kwa kweli kifo hicho kimenistua sana ninaposema Pointe La Rue ni jina la uwanja wa ndege wa MAHE huko kwenye visiwa vya Seychells ambako usiku wa Nov,25,1981 wanajeshi wetu nikiwemo mwenyewe Echolima tulitua kwenye uwanja mdogo wa mpira wa shule kwa kutumia ndege yetu DHC-5 Buffalo(Najua sasa hivi ndege hiyo imeshakuwa-Retired from military oprations)Kisa cha safari hiyo ilikuwa kusaidia jahazi lisizame baada ya Mamluki kutoka uliokuwa utawala wa kibaguzi wa afrika kusini kutaka kumuondoa madaraka Rais Rene wa visiwa vya Seychells,Operation hiyo haiwezi kukamilika bila kumtaka Mtemi wa Pointe La Rue Marehemu Brigadier.Hassan Ngwilizi Baada ya kuzima Jaribio hilo mimi na wezangu tulirejea nyumbani Dec,29,1981.
Ni kweli niliahidi kutoa historia yangu ya Operation hiyo lakini kutokana na mambo mbalimbali ya Ki-maisha sikuweza kufanya hivyo lakini kikubwa Namshukuru sana Mungu kwa kutuweka hai mpaka sasa hivi ili kuweza kuyasimlia haya yote kwangu binafsi ni bahati sana maana wengi wetu wamepoteza maisha kutokana na Posttraumatic stress disorder (PTSD) na tulio hai inabidi kumshukuru sana Mungu.Kuna msemo wa Kijeshi unasema Mwanajeshi hafi maana hata akifa Matendo yake yanaishi!!!Kwa maana hiyo Matendo na opration alizozifanya Brigadier.Hassan Ngwilizi huko Msumbiji walipokuwa wanapambana na Renamo na baada huko kwenye Visiwa vya Seychells matendo hayo hayafutiki bali yanaishi hata leo!!!!.
Gamba la Nyoka
JokaKuu
Mdau
Nicholas J Clinton
majeshi 1981
Ndio uandike sasaNilimtembelea kijana wamgu yuko huko kaniambia hakuna popote palipoandikwa kuwa wanajeshi wa JWTZ walihusika kuzuia jaribio hilo wakati sisi tulikuwa kwenye Operation hiyo tupo.Fikiria na sisi tukifa who will know this??? Tanzania kuna sehemu tumejisahau sana!!.
Hii ilikuwa 2013, na leo ni 2019.
Huko peke yako mTanzania mwenzangu. Hivi ndivyo tulivyo waTanzania wengi, na kimekuwa kilema cha taifa letu.
Tuendelee kusubiri 'kidogo', maanake tunaamini "Haraka haraka haina Baraka" Sisi ni waumini wakubwa wa msemo huo.
Na kama ulitegemea kuhusisha mahojiano yako na Brig. Hasan Ngwlizi, sasa umepata sababu nzuri zaidi ya kuchelewa au kutotoa kabisa andiko lako hilo.
Hivi kuna wakati nasi siku moja tutaondokana na tabia hii kweli?
Ndiyo.inawezekana guyu jamaa alishakufa!
Kenya ni mtumwa wa mabeberu, hawana tofauti na waafrika walio wasaidia waarabu na wazungu kukamata na kuwadhibiti waafrika wenzao watumwa.
Kenya ni mtumwa wa mabeberu, hawana tofauti na waafrika walio wasaidia waarabu na wazungu kukamata na kuwadhibiti waafrika wenzao watumwa.
Kenya nia adui wa Tanzania daima.
Mozambique alienda kama kiongozi tena? Gen. Hassan Ngwilizi(Rip)
Mkuu una vitabu umeandika khs hizo historia za operesheni ulizoshiriki ? Naomba uniambie vinapatikana wapi?Habari za siku nyingi wakuu!! Nimepigiwa simu asubuhi hii ya leo na kutaarifiwa kuwa yule Mtemi wa Pointe La Rue keshatutoka katangulia mbele ya haki kwa kweli kifo hicho kimenistua sana ninaposema Pointe La Rue ni jina la uwanja wa ndege wa MAHE huko kwenye visiwa vya Seychells ambako usiku wa Nov,25,1981 wanajeshi wetu nikiwemo mwenyewe Echolima tulitua kwenye uwanja mdogo wa mpira wa shule kwa kutumia ndege yetu DHC-5 Buffalo(Najua sasa hivi ndege hiyo imeshakuwa-Retired from military oprations)Kisa cha safari hiyo ilikuwa kusaidia jahazi lisizame baada ya Mamluki kutoka uliokuwa utawala wa kibaguzi wa afrika kusini kutaka kumuondoa madaraka Rais Rene wa visiwa vya Seychells,Operation hiyo haiwezi kukamilika bila kumtaka Mtemi wa Pointe La Rue Marehemu Brigadier.Hassan Ngwilizi Baada ya kuzima Jaribio hilo mimi na wezangu tulirejea nyumbani Dec,29,1981.
Ni kweli niliahidi kutoa historia yangu ya Operation hiyo lakini kutokana na mambo mbalimbali ya Ki-maisha sikuweza kufanya hivyo lakini kikubwa Namshukuru sana Mungu kwa kutuweka hai mpaka sasa hivi ili kuweza kuyasimlia haya yote kwangu binafsi ni bahati sana maana wengi wetu wamepoteza maisha kutokana na Post traumatic stress disorder (PTSD) na tulio hai inabidi kumshukuru sana Mungu.Kuna msemo wa Kijeshi unasema Mwanajeshi hafi maana hata akifa Matendo yake yanaishi!!!Kwa maana hiyo Matendo na Operation alizozifanya Brigadier.Hassan Ngwilizi huko Msumbiji walipokuwa wanapambana na Renamo na baada huko kwenye Visiwa vya Seychells matendo hayo hayafutiki bali yanaishi hata leo!!!!.
Gamba la Nyoka
JokaKuu
Mdau
Nicholas J Clinton
majeshi 1981
Hawa jamaa wakienda mbele za haki history itapotea maana hakuna maandishi..Brigadier General Hassan Ngwilizi [ r.i.p] ndiyo aliongoza askari waliokwenda kusaidiana na majeshi ya Msumbiji na Zimbabwe kupambana na magaidi wa Renamo.
..askari hao walikwenda Msumbiji muda mfupi baada ya kifo cha Raisi Samora Machel baada ya hali ya usalama nchini humo kuwa mbaya.
..Operation aliyoongoza Brig.Gen.Ngwilizi ilipewa jina " Operation safisha. " Raisi Kikwete kabla hajastaafu alitoa nishani kwa askari walioshiriki operation hiyo.
Hawa jamaa wakienda mbele za haki history itapotea maana hakuna maandishi
..Hassan Ngwilizi amefariki.
..Imran Kombe aliuawa.
..Muhidin Kimario amefariki.
..Ahmed Kitete alipata ajali akafariki.
..James Luhanga almetangulia.
..Rowland Makunda ametutoka.
..kweli HISTORIA inatutoka.
..na jambo lingine tunakosea kwamba hatuipi SIKUKUU YA MASHUJAA uzito inaostahili.
Loo!!! post hii ndiyo nimeiona leo kweli hata mimi mwenyewe ninasikitika sana!!!Mambo ni mengi sana katika kutafuta rizki ya kila siku!!!Hii ilikuwa 2013, na leo ni 2019.
Huko peke yako mTanzania mwenzangu. Hivi ndivyo tulivyo waTanzania wengi, na kimekuwa kilema cha taifa letu.
Tuendelee kusubiri 'kidogo', maanake tunaamini "Haraka haraka haina Baraka" Sisi ni waumini wakubwa wa msemo huo.
Na kama ulitegemea kuhusisha mahojiano yako na Brig. Hasan Ngwlizi, sasa umepata sababu nzuri zaidi ya kuchelewa au kutotoa kabisa andiko lako hilo.
Hivi kuna wakati nasi siku moja tutaondokana na tabia hii kweli?