KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Haya sasa.Loo!!! post hii ndiyo nimeiona leo kweli hata mimi mwenyewe ninasikitika sana!!!Mambo ni mengi sana katika kutafuta rizki ya kila siku!!!
vipi ushatoaNatarajia kutoa historia ya OPERATION MAHE pindi nitakapopata mda mzuri maana nilishiriki ilikuwa 29 Dec 1981.
Nitaelezea kwa kifupi sana.
Halikufanywa siri, bali labda watu hawakulifuatilia tu. Kuna mtanzania mmoja aliwahi kuwa mtawala wa Seychells kwa muda mfupi wakati wa mapinduzi yale na ilijulikana waziwazi tu. Ni kwa vile Seychells haikuwa high octane story ndiyo maana haikuvuma sana. Hata Nyerere aliwahi kukiri hadharani kabisa kuwa alipeleka jeshi kwenda kumsaidia msoshalisti mwenzake kule Sychells. Ni kutokana na opereshini ile ndiyo maana Seychells ilikuwa na maafisa waandimizi wengi kutoka Tanzania; kwa mfano mwanasheria mkuu wa Seychelles kwa muda mrefu alikuwa ni mtanzania.Kwa miaka mingi suala hili lilikuwa ni SIRI.
Lakini ktk zama hizi za utawandawazi habari hizi zimeanza kujitokeza.
Kuna makala iliandikwa na Makwaia Kuhenga kuzungumzia tukio hili.
Jenerali Ulimwengu, ktk gazeti la raia mwema, amezungumzia ushiriki wa Brigadier.Hassan Ngwilizi ktk operation ya JWTZ Seychelles.
Waziri Membe pia amewahi kuulizwa na vyombo vya habari na alitoa jibu fupi kuhusu kilichotokea.
Kwa mtizamo wangu haya ni mambo ya kihistoria ambayo yanapaswa kuwekwa wazi. Tusipoandika historia yetu wenyewe, wengine watafanya hivyo na hilo lina madhara yake.
cc Moshe Dayan, Nyenyere, Junior Clinton Mr.
Umekatisha story mkuu...unaweza kututajia hao watanzania japo kwa uchache??Halikufanywa siri, bali labda watu hawakulifuatilia tu. Kuna mtanzania mmoja aliwahi kuwa mtawala wa Seychells kwa muda mfupi wakati wa mapinduzi yale na ilijulikana waziwazi tu. Ni kwa vile Seychells haikuwa high octane story ndiyo maana haikuvuma sana. Hata Nyerere aliwahi kukiri hadharani kabisa kuwa alipeleka jeshi kwenda kumsaidia msoshalisti mwenzake kule Sychells. Ni kutokana na opereshini ile ndiyo maana Seychells ilikuwa na maafisa waandimizi wengi kutoka Tanzania; kwa mfano mwanasheria mkuu wa Seychelles kwa muda mrefu alikuwa ni mtanzania.
Siwakumbuki majina yao ndugu yangu; ila kulikuwa na wapare/wachaga kadhaa waliokuwa na nafasi za juu sana serikalini. Nadhani Kanali Ngwilizi, kabla hajawa brigedia, alitawala Seychelles kwa siku mojaUmekatisha story mkuu...unaweza kututajia hao watanzania japo kwa uchache??
Kaka Zitto kwenye ule uzi wako wa Operation Kitona niliwahi kukwambia Tanzania imefanya oparesheni za kijeshi nyingi na hatari mno ambazo hazijaandikwa popote.......Aisee
Kaka Zitto kwenye ule uzi wako wa Operation Kitona niliwahi kukwambia Tanzania imefanya oparesheni za kijeshi nyingi na hatari mno ambazo hazijaandikwa popote.......
ujinga wao kujisifia wanajua kingerezawakenya siku zote wanchagua upande mbaya wa historia.
Kama vile tupo enzi za ujimaWatanzania hatupendi kuandika..inabaki historia ya kusimulia kwa mdomo tu