TPDF malizieni kazi, M23 wamejikusanya karibu na nyumbani kwao Kanyabayonga na wapo Kama wote!

TPDF malizieni kazi, M23 wamejikusanya karibu na nyumbani kwao Kanyabayonga na wapo Kama wote!

Paul Alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2012
Posts
4,351
Reaction score
9,838
Tarehe 29 ya mwezi wa sita M23 wameichukua Kanyabayonga Kaskazini mashariki mwa Congo na wanaelekea Butembo. Sasa naona wanacheza karibu na nyumbani ili likitokea la kutokea wakimbilie nyumbani kwao.


c68f6ce3e6a2873ccd1941d9ac07331d

M23 waliichukua Kanyabayonga ijumaa baada ya wiki mbili za mapigano na vikosi vya serikali ya Congo.

Msemaji wa M23 Willy Ngoma aliwaambia raia jumamosi hii kuacha kukimbia kwenye maeneo yao kwasababu wana malengo ya kwenda hadi Kinshasa, akadai hamuwezi kukimbia milele.

Hiki ni kiburi, TPDF hebu sogeeni hapo tuone watasemaje tena.

Kanyabayonga, ni nyumbani kwa zaidi ya watu elfu 60, na ni mji wa kimkakati kwakua uko Kaskazini mwa maeneo ya mapambano, Kaskazini mwa Jimbo la Kivu. Ni mji ambao ni lango kubwa la kibiashara kwa miji ya kibiashara Kama Butembo na Beni.

Viongozi wa maeneo hayo wanasema ni zaidi ya wanamgambo 4000 wa M23 waliouvamia mji wa Kanyabayonga. Na Mimi naona safi, hapa ndio pa kuchapa, tutengeneze Brenda ya nyama za watu.

Kwasababu ya Logistics tu! Majeshi hayakuweza kufika kwa wakati hayo maeneo. Majeshi yetu yapo Kama kilometer 20 kutoka hapo.

Wazee tuwape mambo, acha raia waondoke kwanza halafu tumwage moto hapo.

Kagame muda huu ni kumpa tabasamu la kwenye kioo, chapa mpaka akili ikae sawa.
 
Hao tpdf kiboko yao ni Alshabab wa Somalia.
Leo kijana wa TPDF umwambie umepangiwa mission somalia atalia mpaka kamasi limtoke.
Sipondei jeshi letu lakini ukweli ni kwamba jwtz bado sana
Lini tulishapeleka heshi kwenda kupigana na al shabab?
huwa atupeleki jeshi letu kwenye kila vita hasa vita zenye mitazamo ya kidini.
 
Hao tpdf kiboko yao ni Alshabab wa Somalia.
Leo kijana wa TPDF umwambie umepangiwa mission somalia atalia mpaka kamasi limtoke.
Sipondei jeshi letu lakini ukweli ni kwamba jwtz bado sana
Common ignorance iliyopo katikati ya wabongo ni kushabikia vita as if ni mpira wa miguu. If hujawahi serve kwenye component yoyote au kushiriki vita, nikwambie war is no joke na si kitu cha kushabikia

Na for the record at one time , in 2014 tpdf ili ilitoa mafunzo tu kwa somalia army but si direct conflict with alshabab
Ishi ya somalia ina run deep within country ethnic groups, it not easy but its not impossible.

Sisemi tpdf is the best, but huwez linganisha kundi fulani na jeshi wakati hawajahi kutana kwenye uwanja wowote ule
 
Hao tpdf kiboko yao ni Alshabab wa Somalia.
Leo kijana wa TPDF umwambie umepangiwa mission somalia atalia mpaka kamasi limtoke.
Sipondei jeshi letu lakini ukweli ni kwamba jwtz bado sana
Somalia nani aende?
Kule uwezekano wa kufa ni mkubwa sana,hakuna hata misitu ya kujificha,thubutuuu,sidhani hata kama MPANGO unaweza kufikirika.
 
Common ignorance iliyopo katikati ya wabongo ni kushabikia vita as if ni mpira wa miguu. If hujawahi serve kwenye component yoyote au kushiriki vita, nikwambie war is no joke na si kitu cha kushabikia

Na for the record at one time , in 2014 tpdf ili ilitoa mafunzo tu kwa somalia army but si direct conflict with alshabab
Ishi ya somalia ina run deep within country ethnic groups, it not easy but its not impossible.

Sisemi tpdf is the best, but huwez linganisha kundi fulani na jeshi wakati hawajahi kutana kwenye uwanja wowote ule
Mkuu vita ikitokea jeshi lifanye kazi,sasa nini maana ya mgawanyo wa kazi?
Mwalimu anafanya kazi ya kufundisha,daktari pia anafanya kazi ya kutibu,mkulima analima na wengine wenye kazi wanafanya,kwanini jeshi nalo lisiwaziwe suala la kama vita ikitokea?
Vita vitokee,ni sawa tu maana tuna jeshi ambalo tena hulipwa,halijitolei,na malipo hayo yanatoka kwenye kodi ZETU,kwahiyo lazima kwa lolote tujihisi tuko salama,maana walinzi wapo wanatakiwa kutimiza wajibu wao kama wasiokua wanajeshi wanavyotimiza.
 
Jana nilikuwa naangalia kwenye TV moja ikieleza jinsi RAIA MUTOMBOKI wanavyotoa Dozi kali kwa Wahutu wa FLDR wanasema wanataka Wahutu hao waondoke Kongo na warudi kwao Rwanda.

Mimi nikawa najisemea Moyoni kuwa Karibuni AMANI ya kudumu itapatikana Mashariki mwa DRC.
 
Back
Top Bottom